Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
Wanabodi,
Nimeguswa na kitendo cha Mchungaji Christopher Mtikila kugoma kukamatwa na polisi bila arrest warrant, ni kitendo cha kustahili pongezi, kufuatia polisi wetu kutekeleza majukumu yao ya kipolisi kwa umbumbumbu wa hali ya wa sheria kunakopelekea ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu hadi kusababisha vifo vya raia wasio na hatia akiwemo Mpiganaji, Daudi Mwangosi!.
Mara baada ya kushinda kesi yake ya uchochezi, kuna polisi mmoja wa cheo cha chini, alikwenda pale mahakamani na RB ya kosa liingine la jinai ambalo Rev. Mtikila anatuhumiwa kubomoa nyumba ya mtualipaswa kukamatwa!. Kwa kuanzia Mtikila alimbeza kuwa polisi huyo ni wa cheo cha chini sana kuweza kumkamata kiongozi wa Chama cha kitaifa!. Akamwambia yeye hana haja ya kukamatwa, akihitajika polisi, huwa anakwenda mwenyewe, hata Saidi Mwema hili analijua, sasa iweje uje unikamate as if mimi ni mhalifu?, akamgomea na kumwambia huwezi kunikamata wewe!.
Ndipo Mtikila akamuuliza, si unajua mimi nazijua sheria!, haya basi naomba hiyo arrest warrant uliyopewa unikamate!. Polisi yule akatoa RB, Mtikila akamwambia hiyo ni RB, siyo arrest warrant, kama kweli umetumwa kunikamata, ulipaswa upewe arrest warrant ya kunikamata!. Mtikila akaondoka bila kuguswa na askari wote waliojazana mahakama ya Kisutu.
Yule polisi akaishia kuwalalamikia polisi wenzake hawakumpa ushirikiano wowote ili hali amewaonyesha RB!.
Lengo la pongezi hizi kwa Rev. Mtikila, ni Watanzania wengi ni wahanga wa unyanyasaji wa polisi kwa kutotambua haki zao!. Watu wengi wa kawaida akishatumiwa polisi tuu, wananywea na kujisalimisha, hali iliyopelekea polisi kufanya arrest bila arrest warrant, na wakati mwingine hufanya hadi serach bila search warrant kwa sababu wanaokamatwa hawajui haki zao!.
Tena mtu akishikwa na polisi, na kuulizwa maswali, hujibu mbio mbio bila kuelewa kuwa unapokamatwa kwa kosa lolote, "you have the right to remain silence" mpaka upate legal reprsentation!. Its high time somo la uraia lifundishe haki za binaadamu in full tangu primary ili watu wajua raia ndio yuko juu ya kila kitu, hata rais wa nchi ni mtumishi wako, na polisi ndio kabisa, alipaswa kukulamba miguu!.
Hata familia ya Daudi Mwangosi wanapaswa kulishitaki jeshi la polisi na kudai fidia ya kifo cha mpendwa wao, not only for loss of love, and loss of life, but loss of bread winner na serikali inapaswa kulipa fidia, waweze kuishi vizuri maisha yao yote, as if Daudi Mwangosi is still alive!.
Kitendo hiki cha Mchungaji Mtikila Kugomea Arrest ni cha Kupongezwa, Haya Shime Watanzania Sasa, Tusikubali Kuendelea Kupelekwa Pelekwa, Tugomee hata ....
Naomba kuwasilisha!.
Pasco.
Nimeguswa na kitendo cha Mchungaji Christopher Mtikila kugoma kukamatwa na polisi bila arrest warrant, ni kitendo cha kustahili pongezi, kufuatia polisi wetu kutekeleza majukumu yao ya kipolisi kwa umbumbumbu wa hali ya wa sheria kunakopelekea ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu hadi kusababisha vifo vya raia wasio na hatia akiwemo Mpiganaji, Daudi Mwangosi!.
Mara baada ya kushinda kesi yake ya uchochezi, kuna polisi mmoja wa cheo cha chini, alikwenda pale mahakamani na RB ya kosa liingine la jinai ambalo Rev. Mtikila anatuhumiwa kubomoa nyumba ya mtualipaswa kukamatwa!. Kwa kuanzia Mtikila alimbeza kuwa polisi huyo ni wa cheo cha chini sana kuweza kumkamata kiongozi wa Chama cha kitaifa!. Akamwambia yeye hana haja ya kukamatwa, akihitajika polisi, huwa anakwenda mwenyewe, hata Saidi Mwema hili analijua, sasa iweje uje unikamate as if mimi ni mhalifu?, akamgomea na kumwambia huwezi kunikamata wewe!.
Ndipo Mtikila akamuuliza, si unajua mimi nazijua sheria!, haya basi naomba hiyo arrest warrant uliyopewa unikamate!. Polisi yule akatoa RB, Mtikila akamwambia hiyo ni RB, siyo arrest warrant, kama kweli umetumwa kunikamata, ulipaswa upewe arrest warrant ya kunikamata!. Mtikila akaondoka bila kuguswa na askari wote waliojazana mahakama ya Kisutu.
Yule polisi akaishia kuwalalamikia polisi wenzake hawakumpa ushirikiano wowote ili hali amewaonyesha RB!.
Lengo la pongezi hizi kwa Rev. Mtikila, ni Watanzania wengi ni wahanga wa unyanyasaji wa polisi kwa kutotambua haki zao!. Watu wengi wa kawaida akishatumiwa polisi tuu, wananywea na kujisalimisha, hali iliyopelekea polisi kufanya arrest bila arrest warrant, na wakati mwingine hufanya hadi serach bila search warrant kwa sababu wanaokamatwa hawajui haki zao!.
Tena mtu akishikwa na polisi, na kuulizwa maswali, hujibu mbio mbio bila kuelewa kuwa unapokamatwa kwa kosa lolote, "you have the right to remain silence" mpaka upate legal reprsentation!. Its high time somo la uraia lifundishe haki za binaadamu in full tangu primary ili watu wajua raia ndio yuko juu ya kila kitu, hata rais wa nchi ni mtumishi wako, na polisi ndio kabisa, alipaswa kukulamba miguu!.
Hata familia ya Daudi Mwangosi wanapaswa kulishitaki jeshi la polisi na kudai fidia ya kifo cha mpendwa wao, not only for loss of love, and loss of life, but loss of bread winner na serikali inapaswa kulipa fidia, waweze kuishi vizuri maisha yao yote, as if Daudi Mwangosi is still alive!.
Kitendo hiki cha Mchungaji Mtikila Kugomea Arrest ni cha Kupongezwa, Haya Shime Watanzania Sasa, Tusikubali Kuendelea Kupelekwa Pelekwa, Tugomee hata ....
Naomba kuwasilisha!.
Pasco.