Kitendo Cha Rev. Mtikila Kugomea Arrest!, Kinastahili Pongezi!. Watanzania Sasa Tugomee...!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,466
113,548
Wanabodi,

Nimeguswa na kitendo cha Mchungaji Christopher Mtikila kugoma kukamatwa na polisi bila arrest warrant, ni kitendo cha kustahili pongezi, kufuatia polisi wetu kutekeleza majukumu yao ya kipolisi kwa umbumbumbu wa hali ya wa sheria kunakopelekea ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu hadi kusababisha vifo vya raia wasio na hatia akiwemo Mpiganaji, Daudi Mwangosi!.

Mara baada ya kushinda kesi yake ya uchochezi, kuna polisi mmoja wa cheo cha chini, alikwenda pale mahakamani na RB ya kosa liingine la jinai ambalo Rev. Mtikila anatuhumiwa kubomoa nyumba ya mtualipaswa kukamatwa!. Kwa kuanzia Mtikila alimbeza kuwa polisi huyo ni wa cheo cha chini sana kuweza kumkamata kiongozi wa Chama cha kitaifa!. Akamwambia yeye hana haja ya kukamatwa, akihitajika polisi, huwa anakwenda mwenyewe, hata Saidi Mwema hili analijua, sasa iweje uje unikamate as if mimi ni mhalifu?, akamgomea na kumwambia huwezi kunikamata wewe!.

Ndipo Mtikila akamuuliza, si unajua mimi nazijua sheria!, haya basi naomba hiyo arrest warrant uliyopewa unikamate!. Polisi yule akatoa RB, Mtikila akamwambia hiyo ni RB, siyo arrest warrant, kama kweli umetumwa kunikamata, ulipaswa upewe arrest warrant ya kunikamata!. Mtikila akaondoka bila kuguswa na askari wote waliojazana mahakama ya Kisutu.

Yule polisi akaishia kuwalalamikia polisi wenzake hawakumpa ushirikiano wowote ili hali amewaonyesha RB!.

Lengo la pongezi hizi kwa Rev. Mtikila, ni Watanzania wengi ni wahanga wa unyanyasaji wa polisi kwa kutotambua haki zao!. Watu wengi wa kawaida akishatumiwa polisi tuu, wananywea na kujisalimisha, hali iliyopelekea polisi kufanya arrest bila arrest warrant, na wakati mwingine hufanya hadi serach bila search warrant kwa sababu wanaokamatwa hawajui haki zao!.

Tena mtu akishikwa na polisi, na kuulizwa maswali, hujibu mbio mbio bila kuelewa kuwa unapokamatwa kwa kosa lolote, "you have the right to remain silence" mpaka upate legal reprsentation!. Its high time somo la uraia lifundishe haki za binaadamu in full tangu primary ili watu wajua raia ndio yuko juu ya kila kitu, hata rais wa nchi ni mtumishi wako, na polisi ndio kabisa, alipaswa kukulamba miguu!.

Hata familia ya Daudi Mwangosi wanapaswa kulishitaki jeshi la polisi na kudai fidia ya kifo cha mpendwa wao, not only for loss of love, and loss of life, but loss of bread winner na serikali inapaswa kulipa fidia, waweze kuishi vizuri maisha yao yote, as if Daudi Mwangosi is still alive!.

Kitendo hiki cha Mchungaji Mtikila Kugomea Arrest ni cha Kupongezwa, Haya Shime Watanzania Sasa, Tusikubali Kuendelea Kupelekwa Pelekwa, Tugomee hata ....

Naomba kuwasilisha!.

Pasco.
 
Sitachoka kusikitika jinsi askari wa tanzania, tena wenye vyeo vya chini wanavyotumika pasipo hata kua na ufahamu. Hivi mnapokua huko mafunzoni ya awali huwa mnafunzwa nini?? Au ndio tuzidi kuamini kimbilio la walio feli ni....!
 
Wanabodi,

Nimeguswa na kitendo cha Mchungaji Christopher Mtikila kugoma kukamatwa na polisi bila arrest warrant, ni kitendo cha kustahili pongezi, kufuatia polisi wetu kutekeleza majukumu yao ya kipolisi kwa umbumbumbu wa hali ya wa sheria kunakopelekea ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu hadi kusababisha vifo vya raia wasio na hatia akiwemo Mpiganaji, Daudi Mwangosi!.

Mara baada ya kushinda kesi yake ya uchochezi, kuna polisi mmoja wa cheo cha chini, alikwenda pale mahakamani na RB ya kosa liingine la jinai ambalo Rev. Mtikila anatuhumiwa kubomoa nyumba ya mtualipaswa kukamatwa!. Kwa kuanzia Mtikila alimbeza kuwa polisi huyo ni wa cheo cha chini sana kuweza kumkamata kiongozi wa Chama cha kitaifa!. Akamwambia yeye hana haja ya kukamatwa, akihitajika polisi, huwa anakwenda mwenyewe, hata Saidi Mwema hili analijua, sasa iweje uje unikamate as if mimi ni mhalifu?, akamgomea na kumwambia huwezi kunikamata wewe!.

Ndipo Mtikila akamuuliza, si unajua mimi nazijua sheria!, haya basi naomba hiyo arrest warrant uliyopewa unikamate!. Polisi yule akatoa RB, Mtikila akamwambia hiyo ni RB, siyo arrest warrant, kama kweli umetumwa kunikamata, ulipaswa upewe arrest warrant ya kunikamata!. Mtikila akaondoka bila kuguswa na askari wote waliojazana mahakama ya Kisutu.

Yule polisi akaishia kuwalalamikia polisi wenzake hawakumpa ushirikiano wowote ili hali amewaonyesha RB!.

Lengo la pongezi hizi kwa Rev. Mtikila, ni Watanzania wengi ni wahanga wa unyanyasaji wa polisi kwa kutotambua haki zao!. Watu wengi wa kawaida akishatumiwa polisi tuu, wananywea na kujisalimisha, hali iliyopelekea polisi kufanya arrest bila arrest warrant, na wakati mwingine hufanya hadi serach bila search warrant kwa sababu wanaokamatwa hawajui haki zao!.

Tena mtu akishikwa na polisi, na kuulizwa maswali, hujibu mbio mbio bila kuelewa kuwa unapokamatwa kwa kosa lolote, "you have the right to remain silence" mpaka upate legal reprsentation!. Its high time somo la uraia lifundishe haki za binaadamu in full tangu primary ili watu wajua raia ndio yuko juu ya kila kitu, hata rais wa nchi ni mtumishi wako, na polisi ndio kabisa, alipaswa kukulamba miguu!.

Hata familia ya Daudi Mwangosi wanapaswa kulishitaki jeshi la polisi na kudai fidia ya kifo cha mpendwa wao, not only for loss of love, and loss of life, but loss of bread winner na serikali inapaswa kulipa fidia, waweze kuishi vizuri maisha yao yote, as if Daudi Mwangosi is still alive!.

Kitendo hiki cha Mchungaji Mtikila Kugomea Arrest ni cha Kupongezwa, Haya Shime Watanzania Sasa, Tusikubali Kuendelea Kupelekwa Pelekwa, Tugomee hata ....

Naomba kuwasilisha!.

Pasco.
sawa,nami nimemsikia leo kupitia habar za clouds fm,ila huyo ulomtaja hapa si mahala pake
BAJABIRI
 
sawa,nami nimemsikia leo kupitia habar za clouds fm,ila huyo ulomtaja hapa si mahala pake
BAJABIRI
Mkuu Bajabiri, nahisi kama sijakuelewa vile, naomba unifafanulie "hapa sii mahali pake" kivipi labda nitakuelewa?!.
P.
 
Hebu tujuzwe pia namna ya kulishtaki jeshi na Polisi wanapomkamata mtu kwa kutumia RB ili na wao waadhibiwe kwa fidia so iwe sote tunafuata Sheria bila shuruti na kuwaonea wasiojua Sheria
 
tutambue kuwa kuna makosa polosi watakamata wakiwa na hati ya kukamata na kuna makosa utakamatwa pasipo hati, kuhusu marehemu Mwangosi ningeshauri familia yake ifungue civil case ile criminal jamhuri waendelee kushtaki.
 
Polisi wa Tanzania wengi hawajui wanachofanya. Nafikiri kuna kila sababu ya kuongeza mafunzo ya sheria na haki za binadamu ili waweze kupambana vizuri na changamoto zinajitokeza sasa hivi bila kuishia kuwa wahalifu.
 
Halafu sio kila mtu hata kama una arrest warrant eti unakamata tu kama kibaka... Wako watuambao unawataarifu tu kuwa wanahitajika polisi basi watakuja tu.. may be kama ni kesi ya mauaji lakini hizi kesi za mbuzi eti mmeandamana bila kibali unamuarrest dk slaa tena mbele ya umati wa washabiki wake... si unatafuta balaa wewe?? kwani ukimtumia taarifa anahitajika polisi hatokwenda?? Sijui wanatumia nini kufikiri anyway!
 
mkuu Pasco ninachofaham katika maswala ya kisheria kuna ukamataji wa aina mbili. Ukamatai wa hati ya kukamatia na uakamtaji usiokuwa na hati ya kukamatia.
1. Ukamataji na hati ya kukamatia.
Zipo 2, inayotolewa mahakaman ambayo mtikila aliidai, na Rb inayotolewa Kituo cha polisi ndo hiyo huitwa Hii inayotoka mahakaman huwa inatolewa baada ya mtu kupewa dhamana halafu akashindwa kuhudhuria mahakani. Au mtu amemdhamini mtu lakini mtu wake hafiki, hutolewa hati hiyo ili akamatwe asaidie kumpata aliyedhaminiwa. Lakini pia hutolewa kwa ajili ya kuwakamata watu wanaoaminika kuwa na ushahidi wa kukamilisha kesi lakini kila wakitumiwa (samansi) summons hawaitikii wito, ndipo askari hupewa hati hiyo kumfikisha mahakaman mtu wa aina hiyo.

Kwa upande wa hati ya kukamatia inayotoka polisi, na baada ya mtu kumlalamikia mtu, sasa ili kukusanya ushahidi mtu sharti akamatwe afikishwe kituoni ili upelelezi uendelee kabla ya kufikishwa mahakaman. Polisi wanatakiwa kumshikilia mtu si zaidi ya masaa 24 kabla ya kupeleka mahakan, lakini masaa na siku huongezeka kwanza kwa ushahidi kutokamilika na mtu mwenyewe akawa hana vigezo vya kupata dhamana.

KWA NINI MTIKILA ALIKATAA.
Kwa maoni yangu ni kuwa, mtikila alijua kabisa kuwa hilo ni zengwe anaundiwa, kwani kama ni kustakiwa au kufunguliwa kesi, kwa nini wasubiri amalize kesi moja halafu ndo wamkamate? Kwani ilikuwa haiwezekani kumkamata kabla ya kwenda mahakani? By the way, watu ambao ni viongozi, kulingana na hadhi zao ndani ya nchi, huwa hawakamatwi, huwa wanapigiwa simu na hufika kituo cha polisi kusikiliza shtaka lake na mambo mengine hufuatia.

Ndio maana wakati anamjibu askari huyo, alimwambia sijawahi kuitwa nikakataa sasa iweje wewe utumwe kuja kunikamata? na akamfanyia ubabaishaji kidogo halafu akasepa.

Sasa kama na wewe Pasco ni mtikila, au una hadi sawa na mtikila, mtu akulalamikie, ifunguliwe kesi dhidi yako, askari aje kukuita kuwa unatakiwa polisi halafu ukatae, utakuwa unajisababishia fedheha tu, kwani najua utakuwa umewapa grounds za kukufanyia kitu. Epuka fedhaha, itika wito, kataa neno kwa taratibu zilizopo.

yangu ni hayo tu.
 
Halafu sio kila mtu hata kama una arrest warrant eti unakamata tu kama kibaka... Wako watuambao unawataarifu tu kuwa wanahitajika polisi basi watakuja tu.. may be kama ni kesi ya mauaji lakini hizi kesi za mbuzi eti mmeandamana bila kibali unamuarrest dk slaa tena mbele ya umati wa washabiki wake... si unatafuta balaa wewe?? kwani ukimtumia taarifa anahitajika polisi hatokwenda?? Sijui wanatumia nini kufikiri anyway!

ndilo balaa alilolitaka askari huyo, lakini siyo yeye ni njaa. Nasikia posho na mshahara bado havijasomeka, sasa ukimpa vijisent anang'oa akili zote, anatanguliza njaa yake mbele mwisho wa siku fedheha tu.
 
Wanabodi,

Nimeguswa na kitendo cha Mchungaji Christopher Mtikila kugoma kukamatwa na polisi bila arrest warrant, ni kitendo cha kustahili pongezi, kufuatia polisi wetu kutekeleza majukumu yao ya kipolisi kwa umbumbumbu wa hali ya wa sheria kunakopelekea ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu hadi kusababisha vifo vya raia wasio na hatia akiwemo Mpiganaji, Daudi Mwangosi!.

Mara baada ya kushinda kesi yake ya uchochezi, kuna polisi mmoja wa cheo cha chini, alikwenda pale mahakamani na RB ya kosa liingine la jinai ambalo Rev. Mtikila anatuhumiwa kubomoa nyumba ya mtualipaswa kukamatwa!. Kwa kuanzia Mtikila alimbeza kuwa polisi huyo ni wa cheo cha chini sana kuweza kumkamata kiongozi wa Chama cha kitaifa!. Akamwambia yeye hana haja ya kukamatwa, akihitajika polisi, huwa anakwenda mwenyewe, hata Saidi Mwema hili analijua, sasa iweje uje unikamate as if mimi ni mhalifu?, akamgomea na kumwambia huwezi kunikamata wewe!.

Ndipo Mtikila akamuuliza, si unajua mimi nazijua sheria!, haya basi naomba hiyo arrest warrant uliyopewa unikamate!. Polisi yule akatoa RB, Mtikila akamwambia hiyo ni RB, siyo arrest warrant, kama kweli umetumwa kunikamata, ulipaswa upewe arrest warrant ya kunikamata!. Mtikila akaondoka bila kuguswa na askari wote waliojazana mahakama ya Kisutu.

Yule polisi akaishia kuwalalamikia polisi wenzake hawakumpa ushirikiano wowote ili hali amewaonyesha RB!.

Lengo la pongezi hizi kwa Rev. Mtikila, ni Watanzania wengi ni wahanga wa unyanyasaji wa polisi kwa kutotambua haki zao!. Watu wengi wa kawaida akishatumiwa polisi tuu, wananywea na kujisalimisha, hali iliyopelekea polisi kufanya arrest bila arrest warrant, na wakati mwingine hufanya hadi serach bila search warrant kwa sababu wanaokamatwa hawajui haki zao!.

Tena mtu akishikwa na polisi, na kuulizwa maswali, hujibu mbio mbio bila kuelewa kuwa unapokamatwa kwa kosa lolote, "you have the right to remain silence" mpaka upate legal reprsentation!. Its high time somo la uraia lifundishe haki za binaadamu in full tangu primary ili watu wajua raia ndio yuko juu ya kila kitu, hata rais wa nchi ni mtumishi wako, na polisi ndio kabisa, alipaswa kukulamba miguu!.

Hata familia ya Daudi Mwangosi wanapaswa kulishitaki jeshi la polisi na kudai fidia ya kifo cha mpendwa wao, not only for loss of love, and loss of life, but loss of bread winner na serikali inapaswa kulipa fidia, waweze kuishi vizuri maisha yao yote, as if Daudi Mwangosi is still alive!.

Kitendo hiki cha Mchungaji Mtikila Kugomea Arrest ni cha Kupongezwa, Haya Shime Watanzania Sasa, Tusikubali Kuendelea Kupelekwa Pelekwa, Tugomee hata ....

Naomba kuwasilisha!.

Pasco.

Hilo la familia ya mwangosi kushtaki polisi ningeahkuru kama tungepata ufafanuzi legal framework nani na nani mwenye uwezo wa kuwasue polisi kwenye kifo cha Mwongosi. Niliandika post yangu nikiuliza the same question
Link www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/322342-je-nani-anaweza-kuwashtaki-polisi-walio-muua-mwangosi.html#post4612512
 
mimi huwa nawatimuaga sijui mtikila aliniiga.

jogoolakigoma. tupe experience yako usije kuwa unatafuta sifa za kijinga.

unaweza kukataa kuwekwa chini ya ulinzi kwa kuwa umemdharau askari aliyekuja kukukamata, askari kama anaweza sheria inamruhusu kutumia nguvu kiasi kukufikisha kituoni, lakini ni kwa baadhi ya makaosa ambayo anajua kabisa usipofika kituoni siku hiyo utatoroka. Na ukikataa kwa kutaka kuonesha wewe n noma, anashauriwa akupotezee, aende kwa kiongozi wake then kiongozi anatuma zile njemba zinazovaa kama maroboti, ninachofaham kuhusu wale watu ni kama wanavuta bangi, hawana kutoa taarifa, ni amri tu, na ukikataa unalo. nimeyaona sana kaka.

Kama na wewe ni mtu maarufu, unaweza kumtimua kwa kuzingatia nature ya kosa unalotuhumiwa nalo na kutokuwepo uwezekano wa kukimbia. Mtu kama mtikila, atakimbia aende wapi?
 
Back
Top Bottom