Kitendo cha Nyalandu kuhudhuria Kamati Kuu ya CHADEMA kinamaanisha ameshazawadiwa ujumbe wa KK?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Igwe wanaJF!

Maajabu hayaishi, Chadema sikio la kufa. Ndugu Lazaro Nyalandu amehudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema. Ikumbukwe kikao cha KK hujadili mambo ya juu na ya siri kubwa. Hii ni dalili ya kuwa 'Kamanda' Nyalandu sasa kaingia kunako chungu.

Hongera Nyalandu kwa kuaminiwa mapema ndani ya Chadema.

Picha zinakujia muda mfupi.

eeda76755842d7bf3c5477c4d40f4d65.jpg
 
Igwe wanaJF!

Maajabu hayaishi, Chadema sikio la kufa. Ndugu Lazaro Nyalandu amehudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema. Ikumbukwe kikao cha KK hujadili mambo ya juu na ya siri kubwa. Hii ni dalili ya kuwa 'Kamanda' Nyalandu sasa kaingia kunako chungu.

Hongera Nyalandu kwa kuaminiwa mapema ndani ya Chadema.

Picha zinakujia muda mfupi.
Shughulikia kwanza rushwa inayotembea kwenye chaguzi za UVCCM ya Chadema huyawezi.
 
Igwe wanaJF!

Maajabu hayaishi, Chadema sikio la kufa. Ndugu Lazaro Nyalandu amehudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema. Ikumbukwe kikao cha KK hujadili mambo ya juu na ya siri kubwa. Hii ni dalili ya kuwa 'Kamanda' Nyalandu sasa kaingia kunako chungu.

Hongera Nyalandu kwa kuaminiwa mapema ndani ya Chadema.

Picha zinakujia muda mfupi.
Inakuuma nini wewe mwanaccm !!??
 
Chadema hakuna biashara ya watu so hamna siri yoyote ndo mana hadi Chakubanga wenu alipewa mwakiko na CDM wateue mwakilishi ahudhurie kikao cha KK
 
Igwe wanaJF!

Maajabu hayaishi, Chadema sikio la kufa. Ndugu Lazaro Nyalandu amehudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema. Ikumbukwe kikao cha KK hujadili mambo ya juu na ya siri kubwa. Hii ni dalili ya kuwa 'Kamanda' Nyalandu sasa kaingia kunako chungu.

Hongera Nyalandu kwa kuaminiwa mapema ndani ya Chadema.

Picha zinakujia muda mfupi.
Mbona ya ccm waliingia hadi wakina Masha? Umeona hivyo tu au!!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom