Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,977
- 20,244
Katika gazeti makini la Mwanahalisi toleo la leo 27/7/2011 kuna habari iliyo jaa ukura wa mbele inasomeka "JK amuangukia Rostam Azizi"
Mwandishi wa habari hii ni mpiganaji mahiri tz ndugu Said Kubenea.
Nimeisoma na kuitafakari kwa kina habari hii nikapata mitazamo ya aina mbili inayohitaji kupembuliwa kwa akili ya kimang'amuzi!
Je hii inatoka moyoni mwake au ni unafiki?
Mwandishi wa habari hii ni mpiganaji mahiri tz ndugu Said Kubenea.
Nimeisoma na kuitafakari kwa kina habari hii nikapata mitazamo ya aina mbili inayohitaji kupembuliwa kwa akili ya kimang'amuzi!
Je hii inatoka moyoni mwake au ni unafiki?