Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,586
- 217,976
Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .
Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?
Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !
Naomba kuwasilisha .