Kitendo cha Mashabiki wa Yanga kuonyesha picha ya Mwenyekiti wa CCM kwenye tamasha lao kilaaniwe na wapenda soka dunia nzima

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,586
217,976
Tuna_wajibu_kama_wananchi_kutambua_wajibu_wetu,_Lakini_kikubwa_zaidi_ni_kuwa_wazalendo_kwenye_...jpg

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
 
Mbona unaweweseka na vitu vidogo sana mkuu !
View attachment 1916399

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
 
Back
Top Bottom