Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kabla ya yote napenda kumpongeza mama Samia Suluhu. Kwa moyo wa kwenda kumtembelea Lissu akiwa hospitali
Lakini hii ni aibu kubwa kwa wabunge wa Singida ambao mmeshidwa kwenda kumtembelea ndugu yenu Lissu mnywiramba mwenzenu. Kitu nilichotegemea wabunge kama akina Mwigulu, Juma Mkamia na wengineo mngefika hospitali lakini kinachonishangaza
Wengine ndio mmekwenda jimboni kwake kufanya siasa na kuna Mbunge mmoja kujifanya anataka kubeba majukumu ya Lissu
Hili ni Pigo na aibu
Lakini hii ni aibu kubwa kwa wabunge wa Singida ambao mmeshidwa kwenda kumtembelea ndugu yenu Lissu mnywiramba mwenzenu. Kitu nilichotegemea wabunge kama akina Mwigulu, Juma Mkamia na wengineo mngefika hospitali lakini kinachonishangaza
Wengine ndio mmekwenda jimboni kwake kufanya siasa na kuna Mbunge mmoja kujifanya anataka kubeba majukumu ya Lissu
Hili ni Pigo na aibu