Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Eti atapata kazi nzuri

Kitaaluma Lema ana fani gani? Tuanzie hapo kwanza.

Kwa taarifa yako Ugaibuni kama huna taaluma ya kueleweka utaishia kubeba mabox

Ukibeba box ughaibuni utakuwa na kipato kizuri tu. Kuliko kuishi kikondoo hapa bora ukabebe box ughaibuni. Kama huamini siku serikali ya Canada itangaze watanzania wanaotaka kubeba box Canada waende, utashangaa mpaka watu watu wanaofanya kazi TRA, TANAPA nk wanaacha kazi wanaenda kubeba box Canada.
 
Kwahiyo nawwe unaamini kabisa kwamba Lema alikua anatishiwa uhai wake na watawala.

Sio kwamba ninaamini, ndio ilivyo. Mambo yanayofanyika sasa hivi dhidi ya wapinzani wa kweli, tunayaona kwa macho yetu wala sio ya kuhadithiwa.
 
Nyie ndio wahafidhina wa mifumo outdated, ndio maana unaleta hoja za utetezi wa kipuuzi, huku watu wakichukua nia sahihi kwa mustakabali wa maisha yao. Nampongeza Lema kupata ukimbizi wa kisiasa ili akapate maisha bora.

Wakati mnajikongoja kujenga flyover na bwawa la umeme, yeye ataishi kwenye flyover kila panapostahili, huko ataishi mahali umeme usipokatika. Watoto wake watapata elimu bora. Nyie kaeni vikao vya kutaka kutoa uhai wa kila asiyekubali kuwa kondoo. Endelea kuongoza vikao vya wizi wa kura, huku wanaume wakitumia hizo tabia zenu za kihuni, kupata fursa ya kwenda kwenye nchi bora.
Nahitimisha kwa kusema wewe ni kilema wa fikra, hufai kuwepo Tanzania leo na kesho.
 
Wakimbizi wapo tangu kipindi cha Mkapa wengi tuu, wapo kila kona ya dunia, US, UK, Canada, Belgium, Sweden, nk nk. Sio big deal kihivyo mnavyofikiria, sana sana kaongeza namba ya wategemea benefits, ila ni nzuri kwa watoto wake watasoma vizuri kama wako seerious.

Balozi Slaa alihamiaje kule baada ya vijimambo vilee?
 
Ukimbizi wanajitengenezea wenyewe, mbona huo Ubalozi wa Canada haukumuuliza Lema kipindi akiwa jambazi wa kuiba magari aliua watu wangapi kama kweli kafanyiwa veting ya kutosha kabla ya kupewa hifadhi ya ukimbizi?

Vijana wengi wanakaa mitandaoni kuongea pumba ukiuliza umewahi kufanyia nini nchi yako hawana jibu? Unapanga kufanyia nini nchi yako hawajui. wamebakiza madongo yasiyo na msingi na ushabiki tu. Hii ndiyo sababu nchi yetu inaingia kwenye udikteta! Tuna vijana wengi sana ambao bado hawana upeo kama huyu. Inawezekana upeo mdogo ni umri au kuhujumiwa na propaganda
 
Canada iko wazi kwa mtu yeyote kuhamia huko. Yaani ukijihisi tu unahitaji kwenda huko unaenda.

Bosi wangu alikuwa muarabu mkataba wake ulipoisha mwaka jana akatimukia Canada.
 
Nahitimisha kwa kusema wewe ni kilema wa fikra, hufai kuwepo Tanzania leo na kesho.

Ni kweli ni kilema wa fikra kwa mtu mwenye mitazamo ya kikomunisti kama ww. Kwanza ungesema nina fikra sahihi ningeshangaa sana, ingebidi niangalie nimekosea wapi. Ni hivi, enzi za kutawala watu kwa shuruti zimeisha, watu watakaa kimya sio kwa kuridhika, bali ni kwakuwa wakionyesha hisia zao tofauti na watawala, watauwawa, kuhujumiwa njia zao za kuwaingizia kipato, kutekwa na madhila mengine kama hayo. Lakini ukweli tumechoka kutawaliwa kwa shuruti. Kama ni bwawa la umeme, reli, barabara nk, hata makaburu wa Afrika kusini walijenga maana walikuwa wanakusanya kodi. Iweje leo tutawaliwe kwa shuruti na wezi wa kura, kisa tu kuna reli ya mkopo inajengwa?
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.



Tusubiri kuna waziri amewekwa kabisa kushughulikia mitandao hii ili Watanzania wafugwe midomo kabisa. Wameanza kupiga marufuku whatup group za wafanyakazi wa serikali na watajaribu kufunga mitandao baada ya hapo ni nchi ya kunyamaza na kusubiri kuambiwa kila kitu. Upigaji kura umeshakuwa bure! ni ndani ya nyama tu!. Waliwaambia mkafikiri uzushi sasa mtaona tunakoenda. Ushabiki mbaya hamkuwasikiliza sasa Watanzania wote tutakuwa watumwa
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Lema kakimbia madeni
 
Ukimbizi wanajitengenezea wenyewe, mbona huo Ubalozi wa Canada haukumuuliza Lema kipindi akiwa jambazi wa kuiba magari aliua watu wangapi kama kweli kafanyiwa veting ya kutosha kabla ya kupewa hifadhi ya ukimbizi?
Jeshi letu la polisi na mahakama zetu walimwuliza hilo swali? Au wao.hawajui? Ingekuwa vizuri ungelisaidia jeshi la polisi maana una taarifa za kutosha
 
0Mkuu,

Your thread is emotionally polarized.

Wewe mpaka unaandika huu uzi uko Tanzania au nje ya Tanzania ?

Kama uko ndani ya Tanzania, je kuna mazingira hayo unayodai yamefanikisha huyo mtu wako kupata hadhi ya ukimbizi?

Hao wasomi unaodai waishauri serikali kutumia rejea ipi iliyothibitishwa na mamlaka halali za kitaifa na kimataifa?

Kupata hifadhi kwenye nchi kama Kanada (Quebec/Ottawa) ni mkakati wa kiuchumi kwa kuwa wawekezaji wengi wa madini ambao mikataba yao iligundulika kuwa ilikuwa ya kitapeli wanatokea huko (Reference Barrick Gold Mines & Associates).

Lema anauzandiki mkubwa sana yuko tayari kuuza utu, hadhi ya nchi ili mradi apate mali kwa yeyote.

Siasa huwa ni vichaka vya watu wenye historia mbaya, tabia mbovu na ukosefu wa maadili kwa baadhi yao kukimbilia huko kama kinga ya maovu yao.

Tambua uhalifu wote chanzo chake ni wanasiasa hasa wanaharakati ( Study on criminality, criminology and & crimes Source)

Mleta mada huyo aliyekimbia ni mwenzio kwa kumbukumbu tulizonazo hivyo amekutuma kupima joto la kisiasa litaashiria kitu gani kwa wananchi . The methodology you have agreed on to surface through a vagued political barometer survey shall not sustain teh status quo.

Huyo yumo kwenye mnyororo wa mamluki, usaliti na pandiki uasi dhidi ya nchi yake kwa kisingizio hawakubaliani na kiongozi wa nchi aliyeko madarakani kutokana na kudhibitiwa utukutu wao. Any elect regime that comes to power through the citizens endorsement and performs in accordance with teh citizen will he shall stay until such time.....so do not stir up panic among the good people of the lovely Tanzania and strangers enjoying its gracious haven peace.

Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Kizazi hiki sio cha hizi propaganda zako za kizee.
 
We unajua aliwekeza bei gan ktk harakati za kutaka kurejea Bungeni?
Atawekeza ngapi kwa ubunge wa Arusha mjini? Kama ni uungwaji mkono alikuwa nao, hakuna mbunge wa upinzani anayeweza kuhonga wapiga kura maana wapiga kura wengi wa upinzani wanamkubali mtu sio kwa rushwa. Kama alitumia nyingi haikufika 100m. Fahamu kuwa hakuweka bango hata moja, hakugawa tshirt ama vyakula, na mikutano hakuwa anafanya kila siku.
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Jamani uzi unajieleza vizuri, mbona mnaleta masihara ktk issue nyeti kwa taifa letu? Tujitafakari tumekosea wapi mpaka tunaanza kutengeneza wakimbizi. Sifa ya taifa letu inaharibika. TUTAFAKARI kwa kina!
 
kuna muda tunatakiwa tufikirie siwezi ongelea upande wa mtu ila kwa tunavyodhani je kuna sehemu utaipenda na itakupenda kama nyumbani kweli?

Unajua it needs to reach a time supremacy not to exceed humanity you can do anything yaani na ndio tatizo kubwa duniani kwa sasa supremacy is really hight than humanity people can decide and make anything for it karatasi zinapotezea ndugu zangu

Huwezi kuwa tajiri kama hauli,haupumui na huna sehemu salama na moyo una ridhika kulala tupende nchi yetu Africa ndio sehemu pekee utakayo kuwa na amani nchi za nnje hakuna kipya mtu uta accumulate stress nothing new about it

what's the meaning of life ukishatoka huko nnje uone nchi imebaki magofu na uongozi haupo eeeh

the way we are Africans isn't our leaders faults wanakuta hiyo mifumo tunatakiwa tuelewe sio misaada inayotolewa ndio unadhani wanatupenda sanaa noo ni kwa faida yao leo atatoa msaada wa barabara ya lami kutoka geita hata hadi nyerere airport for his benefit na viongozi wana hangaika sema propaganda ni mbaya

unadhani kiongozi target yake ni kuwa na hela na kutumia madaraka vibaya juu ya Africa do you think that?

fikiria mtu ana kutengenezea tatizo alafu anaaminishwa mwingine ndio ana sababisha then anarudi kusolve tatizo kwa vita really?

the whole world there's is no peacefully democracy hata uende wapi people are there for their national interest wazungu huwa wanatanguliza taifa hawawezi leta vita ya wao kwao kirahisii never utaona Africa tuu

kwasababu ndio wamepandikiza hiyo mbegu ya kutugawanya na kututawala
je unadhani mtu ukienda nnje utatumika kama nani kama si mpinzani kwa Africa
they got goals

Among them ni 2050 60% ya africa wawe youth under 25 years do you think they still love you?
hiyo ni nini itafika wakati wataweka ikifika 2070 afrika 70%wawe under 20 yaani juu ya 20 years sio wengi wanakufa au wameshakufa

so watakuwa na control over vyanzo vya asili kwa style hii they'll still use a lot of traitors kuiangamaiza afrika

Yaani sasa hivi hawasumbuki kuja tena ni chuki inapandikizwa black na black mna malizana full stop wao wanakuja kusomba madini uranium mafuta wanaondoka

na wakimaliza kutu swipe hata 2150 huko mbele ndio watakuja kuweka makazi rasmi kwasababu watakuwa wamefanikiwa

Africa tuzuie linalokuja mzungu ana plan hata za miaka 100 mbele tuta waachia nani hili bara kwakweli he can't, he will never ever be your sponsor just for free your black Africa is home don't be traitors what history are you making wangapi wanafanya huo ujingaa mwishoni wanakuta nchi zao magofu

kuwa na ushawishi kwa jamii isimfanye mtu kuwapa watu hadi ujinga wao
sipo upande wowote hapa wa kichama ila nasimamia asili yangu

naamini kwenye ukombozi wa mtu mweusi bado maana vita ya sasa ni hatari ukizoea story huelewi kinacho endelea duniani fungueni machoo
Nimesoma huu ujinga umeandika hapa nikacheka kwa nguvu. Eti wazungu wanataka tugombane ili waje wachukue raslimali zetu miaka hata mia ijayo. Mpaka sasa tuko na hizo raslimali bila hao wazungu kuwepo, mbona sio matajiri? Huu ujinga mmeupata ukubwani au ni wa kuzaliwa nao?
 
Back
Top Bottom