Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Nadhani kesho watazima na umeme hawa!
Hata aibu hawana wasenge hawa
Nimekereka sana leo. Mambo gani haya karne hii?
Kama playstore haidownload njoo inbox
Nakuja mkuu
URL unfurl="true"]https://m.apkpure.com/ufo-vpn-basic-free-vpn-proxy-master-secure-wifi/ufovpn.free.unblock.proxy.vpn[/URL]Vpn gani nzuri kuinstall nnje ya play store?
Nadhani kesho watazima na umeme hawa!
Siku imekuwa yenye msongo kwakoTarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Kweli kakaHali ya ccm mahamumu kama mnapendwa ya nini kufungia mitandao?chama mfu hicho
Yan lisu kaweka rekodi aseeeDictator mshamba sana huyu anaogopa hata watu kupeana habari tahira kabisa huyu
Punguani kichwani. CCM itashinda kwa kishindo kikubwa,watanzania wazalendo tunakwenda na JPM mpaka 2025.Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Huyu mmmbwwa afurushwe, this is too much.Hili genge linaloongozwa na joni linadhani Tanzania ni milki binafsi.
Hili genge lipumzishwe lisituharibie nchi na future ya watoto wetu.
Sales invoices na cash sales utatota ijumaaaSISI KAZINI KWETU TOKA JANA HAKUNA INTERNET, KI UKWELI TUMEUMIA SANA...TUMESHINDWA KUTOA SALES INVOICES NA CASH SALES KWA SABABU YA KUKOSA INTERNET...ACHA KESHO NIKAPIGE KURA YANGU...HALAFU NISIKIE MTU ANAKUJA KUMTANGAZA MWINGINE AMBAYE HAJASHINDA...TUTAELEWANA AISEE...
Mimi nimewaza sasa kupitia WIFI USIKU HUU Ndio App Store imefunguka
Muulize meko na majaliwa ndio watakujibu
Kweli kaK maan wengine kazi ztu tunafanya kwa kutumia social media hii ni hasara tupuSiku imekuwa yenye msongo kwako
Wengine sie TUKO POA
Na tutamchagua Magu
Tukisema magufuli hafai kuwa Raisi msidhani kuwa tuna chuki nae bali tunasema ukweli na tunamaanisha kweli. Huyu mtu ni kweli hafai kabisa sio tu kuwa Raisi bali hata diwani tu. Huyu mtu ni fedhuli na dikteta wa kiwango cha juu kabisa na hana ubinadamu kabisa.Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store)...
Duuh ko Jf wamejikuta north koreaHata downloading engine za google zimefungwa. Ingia google ufanye kama unadownload kitu chochote itakupa majibu.
Yani hapa kagusa pa baya ni jambo la kipuuzi atuvunje miguu, atoboe macho ili tushindwe kupiga kulaTarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store)...