Tanzania tumekuwa na tabia ya kuwakatalia Wakenya kwenye nafasi za juu vibali vya kazi huku tukiwapa wale wengine ambao sio Wakenya bila sababu ya Msingi.
Nimesikia Mkurugenzi wa Cocacola Kwanza kakataliwa kibali wakidai kuna Watanzania wenye uwezo lakini vilevile Mkurugenzi wa Voda naye wa Kenya alikataliwa kwa sababu hizohizo.
Cha ajabu mfano Voda hiyo nafasi hajapewa Mtanzania badala yake idara hiyo hiyo ya uhamiaji imempa kibali Hisham Hendi ambaye katokea Misri.
Sasa Tanzania ina vigezo gani vya kutoa vibali? Hii inashangaza sana. Lakini ukienda kwenye viwanda vingi kuna wahindi wengi tu wana vibali ambavyo wenzetu wa EAC hatuwezi kuwapa.
Hii inaonyesha sio sera bali ni chuki binafsi kama tunanyima tunyime wote lakini isifikie mahali kujidharau wenyewe maana kumuona mtu kutoka Misri ni bora kuliko Mkenya ni sawa na sisi kujibagua wenyewe.
Hii haiko sawa maana haitasaidia Watanzania kujiamini wala kusaidia kampuni za nje kuamini watu weusi kama wenyewe tunajibagua bila sababu za msingi.
Nimesikia Mkurugenzi wa Cocacola Kwanza kakataliwa kibali wakidai kuna Watanzania wenye uwezo lakini vilevile Mkurugenzi wa Voda naye wa Kenya alikataliwa kwa sababu hizohizo.
Cha ajabu mfano Voda hiyo nafasi hajapewa Mtanzania badala yake idara hiyo hiyo ya uhamiaji imempa kibali Hisham Hendi ambaye katokea Misri.
Sasa Tanzania ina vigezo gani vya kutoa vibali? Hii inashangaza sana. Lakini ukienda kwenye viwanda vingi kuna wahindi wengi tu wana vibali ambavyo wenzetu wa EAC hatuwezi kuwapa.
Hii inaonyesha sio sera bali ni chuki binafsi kama tunanyima tunyime wote lakini isifikie mahali kujidharau wenyewe maana kumuona mtu kutoka Misri ni bora kuliko Mkenya ni sawa na sisi kujibagua wenyewe.
Hii haiko sawa maana haitasaidia Watanzania kujiamini wala kusaidia kampuni za nje kuamini watu weusi kama wenyewe tunajibagua bila sababu za msingi.