Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,563
- 188,760
Habari.
Kuna mambo ya ajabu sana kwenye jamii zetu na kila kukicha yanazidi kutokea na kuna siku yataonekana ya kawaida.
Mada inaweza kuwa na uzi wenye maneno yasiyofaa ila ndio maneno ambayo hata vitabu vya dini hutumia hayo.
Mwanamke kuwa na ujasiri wa kutoa mimba hapa tukiwatoa wale waliandikiwa na daktari kimatibabu na kiafya imetakiwa kuwa hivyo.
Mwanamke kama ameweza kutoa mimba kwa kuamua yeye / kushawishiwa na mwanaume wake na kukubali huyo ni zaidi ya kahaba au malaya kabisa.
Naweza kuwapa mfano mmoja ambao nilikutana nao moja kwa moja. Kuna mwanamke mmoja niliwahi kukutana nae katika harakati za hapa na pale.
Kwa kweli nilitumia kila njia ya kuwa nae takribani mwaka mzima alisema yupo kwenye mahusiano hivyo basi kuna wakati niliendelea kufanya mambo yangu na kuachana na upande huo wa mahusiano.
Mambo yalikwenda baada ya mwaka mmoja na miezi miwili yule mwanamke sijui nini kilitokea ila kwa maelezo yake mambo hayakuwa sawa na mahusiano yake.
Ikafika hatua za mwanzo alifanikiwa kutoa ile mimba na baada ya hapo mahusiano yao yalivunjika ila kiafya aliteseka kidogo hadi kurudi sawa.
Kutokana na ukaribu nae niliona kabisa alihitaji msaada wa karibu hivyo nilijitolea kwenda nae hospital na kuwekewa ratiba ya kumuona daktari (Nilikuwa nafahamiana nae haikuwa ngumu sana kutusaidia kwa swala hilo la kufanyiwa usafi).
Alifanyiwa usafi na kupewa dawa kwa muda mara tatu ndani kama ya week tatu mfululizo.
Alifanikiwa kurudi katika hali yake kama kawaida na maisha yakaendelea. Ila mambo kwa upande wake yalibadilika kwa kiasi kikubwa na kutaka tuwe kwenye mahusiano.
Aisee! Huyu mwanamke ki ukweli nilimsaidia lengo kubwa arudi katika hali yake si kwa ajili ya mahusiano.
Maana mwanamke aliyetoa mimba kwa upande wangu namuona ni zaidi ya kahaba / malaya.
Wanawake wote kuwekeni makini sana kwenye maamuzi yenu hata mwanaume akushauri vipi/ hali ya maisha ngumu kiasi gani chonde chonde usitoe mimba.
Kutoa mimba ni kujikubali na kutwaa cheo cha ukahaba na umalaya.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
Kuna mambo ya ajabu sana kwenye jamii zetu na kila kukicha yanazidi kutokea na kuna siku yataonekana ya kawaida.
Mada inaweza kuwa na uzi wenye maneno yasiyofaa ila ndio maneno ambayo hata vitabu vya dini hutumia hayo.
Mwanamke kuwa na ujasiri wa kutoa mimba hapa tukiwatoa wale waliandikiwa na daktari kimatibabu na kiafya imetakiwa kuwa hivyo.
Mwanamke kama ameweza kutoa mimba kwa kuamua yeye / kushawishiwa na mwanaume wake na kukubali huyo ni zaidi ya kahaba au malaya kabisa.
Naweza kuwapa mfano mmoja ambao nilikutana nao moja kwa moja. Kuna mwanamke mmoja niliwahi kukutana nae katika harakati za hapa na pale.
Kwa kweli nilitumia kila njia ya kuwa nae takribani mwaka mzima alisema yupo kwenye mahusiano hivyo basi kuna wakati niliendelea kufanya mambo yangu na kuachana na upande huo wa mahusiano.
Mambo yalikwenda baada ya mwaka mmoja na miezi miwili yule mwanamke sijui nini kilitokea ila kwa maelezo yake mambo hayakuwa sawa na mahusiano yake.
Ikafika hatua za mwanzo alifanikiwa kutoa ile mimba na baada ya hapo mahusiano yao yalivunjika ila kiafya aliteseka kidogo hadi kurudi sawa.
Kutokana na ukaribu nae niliona kabisa alihitaji msaada wa karibu hivyo nilijitolea kwenda nae hospital na kuwekewa ratiba ya kumuona daktari (Nilikuwa nafahamiana nae haikuwa ngumu sana kutusaidia kwa swala hilo la kufanyiwa usafi).
Alifanyiwa usafi na kupewa dawa kwa muda mara tatu ndani kama ya week tatu mfululizo.
Alifanikiwa kurudi katika hali yake kama kawaida na maisha yakaendelea. Ila mambo kwa upande wake yalibadilika kwa kiasi kikubwa na kutaka tuwe kwenye mahusiano.
Aisee! Huyu mwanamke ki ukweli nilimsaidia lengo kubwa arudi katika hali yake si kwa ajili ya mahusiano.
Maana mwanamke aliyetoa mimba kwa upande wangu namuona ni zaidi ya kahaba / malaya.
Wanawake wote kuwekeni makini sana kwenye maamuzi yenu hata mwanaume akushauri vipi/ hali ya maisha ngumu kiasi gani chonde chonde usitoe mimba.
Kutoa mimba ni kujikubali na kutwaa cheo cha ukahaba na umalaya.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.