imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,023
- 69,818
Wakuu mnyonge mnyongeni kumbe Raisi ni Msikivu kuliko tunavyoaminishwa.
Bashe ni kijana ambaye mimi binafsi huwa namsikiliza hoja zake bila kuchoka.
Bashe ni hazina ya nchi hii
Ila ndugu yangu Bashe usije ukalewa madaraka chapa kazi kwelikweli
Bashe usibadilike usitubanie pua baki Bashe yuleyule tumjuae.
Bashe ni kijana ambaye mimi binafsi huwa namsikiliza hoja zake bila kuchoka.
Bashe ni hazina ya nchi hii
Ila ndugu yangu Bashe usije ukalewa madaraka chapa kazi kwelikweli
Bashe usibadilike usitubanie pua baki Bashe yuleyule tumjuae.