TheRedKop
Member
- Jul 8, 2011
- 64
- 12
halafu kunasauti za wanawake wa magamba zilikuwa zikitoka pale daa!
Atoke huyooo, toa nje, hana adabu! Hawa wanawake wanu mnaowaokote bar huko na kuwapa ubunge ndo matatizo yake! Ndo maana magamba hayatakwisha!
Magamba wana ka upuuzi flani..wanawaza kwa matumbo..anyways..na wengi shule ndo hizo mpaka vasco da gama awabebe