Hawatambui hilo Mkuu.
Wao ndo walitaka Makonda ashatakiwe, wakataka Ally Hapi naye ashtakiwe.
Why just kwa sababu wanawachukia.
Mwenyekiti wao wanamfanya untouchable wakati issue iko mahakamani. Wanakosea sana.
Wakishindwa au kuelemewa wanashambulia mahakimu na majaji, wakishinda kesi wanasifu na kutukuza mahakama.
Mahakama iko imara na ndio maana wanashinda kesi nyingi sana mabazo polisi wanawapelekea.
Kama Police wanawaonea wanaweza kuwafungulia mashataka pia.
..kama ccm ni untouchable basi chadema nao wawe untouchable.
..hii habari ya chadema kuhangaishwa na makesi kila kukicha huku ccm wakifanya wanavyotaka sio sahihi.