Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,456
- 1,934
Tangu zamani nimekuwa nikijiuliza kwa nn mwanake analipiwa mahari??,nikagundua kuwa ni utamaduni ambao tumerithi toka kwa vizazi vilivopita.lakini nikajiuliza tena kwa nn utamaduni huu bado tunao nakati kwa mtazamo wangu naona kama umepitwa na wakati!!
Baadhi ya sababu wanazodai watu kwa kitendo hiki ni hiz.
1.Ni kuwapa heshima wazazi wa binti
2.kama shukrani kwa wazazi wa binti
3.kufidia ghalama walizotumia kmlea na kumsomesha pia.
Lakini kwa nn na mambo haya wasifanyiwe wazazi wa kijana????.kwan wao hawahitaji shukran?.Hiz ghalama za Mahali kwa nn wasianzishe hata biashara wakainua maisha yao??,
Kulipa mahali hakuna tofauti na kumnunua binti kama ununuavyo baiskel dukani kisha unaenda kuipanda na kitumia utakavyo.
Kitendo hindi ndo chanzo cha manyanyaso na kukandamizwa na pia mifumo dume katika familia nyingi maana si kakipia???
Ni maoni tu jamani mnaweza kukosoa ama kusapot
Baadhi ya sababu wanazodai watu kwa kitendo hiki ni hiz.
1.Ni kuwapa heshima wazazi wa binti
2.kama shukrani kwa wazazi wa binti
3.kufidia ghalama walizotumia kmlea na kumsomesha pia.
Lakini kwa nn na mambo haya wasifanyiwe wazazi wa kijana????.kwan wao hawahitaji shukran?.Hiz ghalama za Mahali kwa nn wasianzishe hata biashara wakainua maisha yao??,
Kulipa mahali hakuna tofauti na kumnunua binti kama ununuavyo baiskel dukani kisha unaenda kuipanda na kitumia utakavyo.
Kitendo hindi ndo chanzo cha manyanyaso na kukandamizwa na pia mifumo dume katika familia nyingi maana si kakipia???
Ni maoni tu jamani mnaweza kukosoa ama kusapot