Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,456
- 1,933
- Thread starter
- #81
Hayo ni yako mawazo.mbona huongelei gharama kubwa za harusi si ni bora vijana wangapewa hayo mamilioni waanze nazo maisha.? Mke ukioa unammiliki ndio maana unakuwa na haki naye"unataka kumiliki bila kutoa chochote.hatusemi tunanunua ila tunaonesha kujali familia iliyomzaa na kumlea.mtu ana hamia toka kwao anakuja kwenye familia yenu anazaa watoto uko wenu unaongezeka.Si jambo dogo.
Swala sio kumiliki bure,mbona hiyo shukuran ya kulea wasipewe wazazi wa kijan?