Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,796
- 4,842
Hii kitu nahitaji Sana kujua! Ninani kwani huyo mc?
Kwani ni raia wa wapi?Sikiliza ……
MODS, FUTA UZI HUU, kuna thread nyingine iko humu toka Tuesday ilianzishwa na mandella
Kitendo cha Jaji Mkuu kutambua nafasi ya Makamu wa Rais Bara kama Makamu wa Pili; Je, ni bahati mbaya ama?
Hii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ? Tizama...www.jamiiforums.com
MODS, FUTA UZI HUU, kuna thread nyingine iko humu toka Tuesday ilianzishwa na mandella
Kitendo cha Jaji Mkuu kutambua nafasi ya Makamu wa Rais Bara kama Makamu wa Pili; Je, ni bahati mbaya ama?
Hii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ? Tizama...www.jamiiforums.com
Sikiliza ……
Ibara ya 47(b) naomba kuuliza je makamu wa rais anaweza kufanya uteuzi kwa kuzingatia hiyo ibara mfano anaweza kutengua uteuzi wa waziri na kuteua waziri mwingine na kumuapisha kwa kuzingatia hiyo ibaraMakamu wa Rais wa Jamnhuri ya Muungano wa Tanzania ni mmoja tu, Soma kifungu cha 47 cha Katiba.
Nanukuu vifungu vidogo vya kwanza:
47.-(1) Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya
Muungano kwa jumla, na hususan-
(a) atamsaidia Rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku
hata siku za Mambo ya Muungano;
(b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na Rais;
(c) atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini
au yuko nje ya nchi.
(2) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 37(5), Makamu wa
Rais atapatikana kwa kuchaguliwa katika uchaguzi ule ule kwa
pamoja na Rais, baada ya kupendekezwa na chama chake
wakati ule ule anapopendekezwa mgombea kiti cha Rais na
watapigiwa kura kwa pamoja. Mgombea kiti cha Rais
akichaguliwa basi na Mahakmu wa Rais atakuwa amechaguliwa
Naomba thibisha kauli yako mkuu kwa kutumia katibaNaomba nikusahihishe. Katiba inawataja Rais, Makamu wa Rais, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu ndio wanaoweza kuongoza nchi kama mmoja hayupo kwa mfuatano nilivyoandika. Waziri Mkuu hayumo!
Siku za mwanzo kabisa za utawala wa Mama Samia Dr. Mpango kupitia hotuba zake alijiaminisha Mh Raisi angetumia utaalamu na uzoevu wake maeneo ya Uchumi, masuala ya kodi, uzoevu wake wa kufanya kazi na mashirika kama world Bank kumsaidia. Hata hivyo, kazi inayoeleweka ya makamu wa Raisi pamoja na kumwalilisha raisi pale inapohitajika ni mambo ya mazingira na Masual ya Muungano. Kazi hizi mbili inaonekana makamu wa raisi kama vile anapwaya. Mheshimiwa Raisi amefanya kazi hizi hizi kama makamu wa RaisiHii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ?
Tizama hii
View attachment 1980426
-------
Hilo somo la uraia ulilofundishwa kutakuwa na uchaguzi baada ya Rais kufia madarakani ni la nchi gani!!?? Nna mashaka kama hata hiyo shule yenyewe ulienda, unajitia aibu.Ni sawa. Lakini mwenye nchi kutoka Zenjibay kaona iwe hivyo! Tatizo liko wapi? Mbona haukuitishwa uchaguzi mkuu baada ya rais kufia madarakani kama tulivyofundishwa kwenye somo la uraia mashule baada ya mfumo wa vyama vingi? Bwai bwai!
Achangamke mbele ya Boss!!!????Sisi Rais wetu wa Tanganyika ni DR.MPANGO,ila naye achangamke kututetea maana Sasa naona kama nchi inaongozwa Kutokea kisiwani vile
Samia ametoja Bara!!!??? Masikini nchi yangu imebeba mzigo mkubwa. Kama tuna aina hii ya watu basi acha tu mama akusanye kodi ajenge madarasa na madawati. ELIMU ELIMU ELIMURais akitoka bara, makamu wa kwanza hutoka zenji na Kwa sasa ni dk Mwinyi
So mpango ni makamu wa Pili
Wee kasome katiba vizuri, acha kupotoshaRais akitoka bara, makamu wa kwanza hutoka zenji na Kwa sasa ni dk Mwinyi
So mpango ni makamu wa Pili
Alienda kumjwakilisha Rais kama ambavyo JPM alivyowahi kumteua JK akamuwakilisheHivi issue ya Msumbiji, Hussein Mwinyi alikua anaenda kama nani?
Anahusika vipi na bara? Au alienda kama mmoja wa member wa Baraza la mawaziri?
Siyo makamo Bali makam(u),makamo no rikaNi makosa..period. Nilidhani ameteleza ulimi. Zanzibar ndio wana nafasi mbili za makamo ambazo Katiba ya Muungano haizitambui.
Na wale makamu wa Zanzibari watakuwa wangapi?Kwa hiyo hujui kama rais wa SMZ kuwa ndiye makamu wa kwanza?