Kitendo cha kina Mdee na wenzake kukubali teuzi mbalimbali za bunge kwa jina la CHADEMA ni dharau kwa Baraza Kuu la CHADEMA, na kitaathiri sana maamuzi ya baraza juu ya rufaa yao.
Unapokata rufaa maana yake unataka haki zako unazodhani zimeporwa zirejeshwe, lkn unapoendelea kuzitumia hizo haki kabla ya rufaa yako kusikilizwa maana yake unakiuka masharti ya rufaa kwa lugha nyingine unakidharau au hukiamini chombo unachotaka kikusikilize.
Kundi la wanachama 19 maarufu kama ‘covid 19‘ walioomba ubunge wa Viti Maalumu kupitia CHADEMA walifukuzwa uanachama na Kamati Kuu na sasa wanasubiri rufaa yao waliyokata kwenye Baraza Kuu la chama hicho.
Unapokata rufaa maana yake unataka haki zako unazodhani zimeporwa zirejeshwe, lkn unapoendelea kuzitumia hizo haki kabla ya rufaa yako kusikilizwa maana yake unakiuka masharti ya rufaa kwa lugha nyingine unakidharau au hukiamini chombo unachotaka kikusikilize.
Kundi la wanachama 19 maarufu kama ‘covid 19‘ walioomba ubunge wa Viti Maalumu kupitia CHADEMA walifukuzwa uanachama na Kamati Kuu na sasa wanasubiri rufaa yao waliyokata kwenye Baraza Kuu la chama hicho.