Kitendo ambacho flyover ya Mfugale inatufanyia Mungu mwenyewe ndio anajua

Tumshukuru Mh Rais kwa kutujengea fly over maarufu kwa jina la Mfugale. Kwa kweli inatusaidia kutuvukisha pale tazara kwa speed na kwenda kututupia pale Quality Centre kukumbana na Folen inayoanzia njia panda ya Chang'ombe Veta kuja tazara.

Zamani tulikuwa tunachelewa kufika kwenye ile folen na mara nyingi tulikuwa tukifika tunaikosa foleni ile.lakini kwa sasa alhamdulilah tunaiwahi na pale tunakaa kama nusu saa hivi. Si haba.

Mara nyingi nmekutwa na bahati hii ya kuwahi pale darajani kwenda kukutana na ile folen inayofikia pale quality centre.siku nyingine naweza pata bahati mbaya nikaikosa nikaenda kuikutia kule mbele ngozi.

Yote kheri.tunashukuru kwa daraja hili kutunyanyua huku na kwenda kutubwaga kule. Tuendelee kuombeana wadau.

View attachment 941904
Ikinyesha mvua lawama,jua likiwaka lawama,si ajabu Mungu aliwachoka binadamu akapumzika siku ya saba.
 
Tumshukuru Mh Rais kwa kutujengea fly over maarufu kwa jina la Mfugale. Kwa kweli inatusaidia kutuvukisha pale tazara kwa speed na kwenda kututupia pale Quality Centre kukumbana na Folen inayoanzia njia panda ya Chang'ombe Veta kuja tazara.

Zamani tulikuwa tunachelewa kufika kwenye ile folen na mara nyingi tulikuwa tukifika tunaikosa foleni ile.lakini kwa sasa alhamdulilah tunaiwahi na pale tunakaa kama nusu saa hivi. Si haba.

Mara nyingi nmekutwa na bahati hii ya kuwahi pale darajani kwenda kukutana na ile folen inayofikia pale quality centre.siku nyingine naweza pata bahati mbaya nikaikosa nikaenda kuikutia kule mbele ngozi.

Yote kheri.tunashukuru kwa daraja hili kutunyakua huku na kwenda kutubwaga kule. Tuendelee kuombeana wadau. Tutafika tu. Pole pole ndo mwendo na haraka haraka haina baraka.

View attachment 941904
Ile barabara ilitakiwa ikipaa pale Tazara basi inakuja kutua Posta, huku kwengine kunakua na maunganisho tu.
 
Tumshukuru Mh Rais kwa kutujengea fly over maarufu kwa jina la Mfugale. Kwa kweli inatusaidia kutuvukisha pale tazara kwa speed na kwenda kututupia pale Quality Centre kukumbana na Folen inayoanzia njia panda ya Chang'ombe Veta kuja tazara.

Zamani tulikuwa tunachelewa kufika kwenye ile folen na mara nyingi tulikuwa tukifika tunaikosa foleni ile.lakini kwa sasa alhamdulilah tunaiwahi na pale tunakaa kama nusu saa hivi. Si haba.

Mara nyingi nmekutwa na bahati hii ya kuwahi pale darajani kwenda kukutana na ile folen inayofikia pale quality centre.siku nyingine naweza pata bahati mbaya nikaikosa nikaenda kuikutia kule mbele ngozi.

Yote kheri.tunashukuru kwa daraja hili kutunyakua huku na kwenda kutubwaga kule. Tuendelee kuombeana wadau. Tutafika tu. Pole pole ndo mwendo na haraka haraka haina baraka.

View attachment 941904
Hutapata wengi, ulitakiwa kuponda, uponde na kufyekelea mbali yale yote mazuri ndipo watakapokuona wa maana...
 
Poleni sana. Ila serikali ikiamua inaweza ikajenga vimfugale kwa kutumia Steel kama fly over za muda.... Then zikawekwa sehemu zote ambazo fly over zinatakiwa, until when we can finally be able to make the permanent structure. Serikali ikiongea na ship building companies, wanaweza wakatujengea fly over za chuma kwa bei ya chini hadi Tsh bilioni 20 then zikaja kuwa assembled hapa ndani ya wiki chache, problem inakua imekwisha.
Serikali iongee na serikali ya Korea kusini juu ya uwezekano wa kufadhili mradi huu alafu wao tuwe tunawalipa kidogo kidogo.

View attachment 942047

View attachment 942086


Hii safi sana na kama ni kweli bajeti hiyo I am very sure serikali yetu inaweza, maana kama yale mapato yanayotangazwa na TRA huwa ni kweli basi kwa mwaka hata "Mini Flyover" 3 kama ya Mfugale zinawezekana kabisa kujengwa na at least kupunguza foleni na ndani ya miaka yake ya Urais iliyobaki 7 (kama akijiskia kuendelea kipindi cha pili!) Tunaweza kuwa tumefanikiwa kupata mini flyovers 21 ndani ya majiji yote muhimu kiuchumi na yanayokabiriwa na foleni nchini kama Dar, Arusha na Mwanza!

Rais Magufuli I am sure huwa anapita humu na hii ataipenda coz' atapata fursa nyingine ya kulishirikisha Jeshi letu JWTZ katika Kuya assemble yakifika kutoka yaliko undwa!
 
Ile barabara ilitakiwa ikipaa pale Tazara basi inakuja kutua Posta, huku kwengine kunakua na maunganisho tu.
Kama ulikuwa kwenye mawazo yangu tena pale bibi titi HQ ya NMB
 
Tumshukuru Mh Rais kwa kutujengea fly over maarufu kwa jina la Mfugale. Kwa kweli inatusaidia kutuvukisha pale tazara kwa speed na kwenda kututupia pale Quality Centre kukumbana na Folen inayoanzia njia panda ya Chang'ombe Veta kuja tazara.

Zamani tulikuwa tunachelewa kufika kwenye ile folen na mara nyingi tulikuwa tukifika tunaikosa foleni ile.lakini kwa sasa alhamdulilah tunaiwahi na pale tunakaa kama nusu saa hivi. Si haba.

Mara nyingi nmekutwa na bahati hii ya kuwahi pale darajani kwenda kukutana na ile folen inayofikia pale quality centre.siku nyingine naweza pata bahati mbaya nikaikosa nikaenda kuikutia kule mbele ngozi.

Yote kheri.tunashukuru kwa daraja hili kutunyakua huku na kwenda kutubwaga kule. Tuendelee kuombeana wadau. Tutafika tu. Pole pole ndo mwendo na haraka haraka haina baraka.

View attachment 941904
Rubbish
 
Back
Top Bottom