Kitendawili ?Tega nikutege ?Mwiba huyu ni mdudu anaitwa jina gani?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,266
33,039
Nzi.png

MTIHANI WANGU WENGI WATAFELI HAPO.....
 
Mkuu ni aina fulani ya nzi pori jina silijui ila wanakaa sana mpori na ukitaka kumwona wee jisaidie haja kubwa msituni hapo hapo anatokea na vilevile kuna jamii ingine kama huyohuyo ila wao wanakuwaga na rangi ya blue kwa migongoni
 
..."insect" kama sijakosea, nilisikia wanamuita hivyo...
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom