Kitendawili Prof. Sarungi,igogo Na Fedha Za Tacaids Na Makao Makuu Ya Wilaya Rorya

Mchumia juani

Member
Jan 28, 2008
27
13
KITENDAWILI CHA PROF. SARUNGI,IGOGO NA FEDHA ZA TACAIDS NA MAKAO MAKUU YA WILAYA YA RORYA

Habarini za Asubuhi wana JF,Katika kuendeleza harakati za kupambana na ufisadi leo nataka niwang’ate sikio jinsi ambavyo viongozi wetu wanawatumia watu wengine kutunza fedha zao na wao kuonekana kuwa hawafanyi biashara,Hii ni taarifa ya Uchunguzi (Naweza sema katume ka Mwa –Kyembe kadogo ambako hakajabarikiwa na Bunge).Taarifa hizi nimezikusanya toka Shirati,Utegi na Dar Es Salaam.

UTANGULIZI

Wana JF katika mizunguko yangu ya kawaida tu katika miaka miwili na nusu iliyopita wakati Kampeni za Ubunge na udiwani zikiwa ziepamba moto,Ndipo nilipobahatika kukutana na bwana Mmoja anaitwa Igogo akiongea na Vijana wa Rorya katika harakati za kumpamba mshikaji wake ambaye siku hizi hasikiki kabisa Bungeni,Prof Sarungi,Mojawapo ya kauli alizotoa ni jinsi alivyo Tajiri na anagyomiliki Fedha za TACAIDS za kanda ya Ziwa.Si UNAJUA wenzetu hawa wajaluo wakibarikiwa kupata mali wanavyojisifu? Hata yeye hakubaki nyuma.Kwa upande mwingine ilinipa nafasi ya kuanza kutaka kujua inakuwaje Bwana huyu ambaye anamiliki kambuni inayohusika na Clearing and Forwarding apewe fedha za kupambana na Ukimwi kanda ya Ziwa?

IGOGO NI NANI?
Igogo ambaye ni Raia wa Tanzania kutoka jimbo la Rorya ni mmiliki wa Kampuni ya UTEGI TECHNICAL ENTERPRISES L.T.D inyoshughulika na Clearing and Forwarding na Ofisi zake ziko karibu kabisa na pale Tiketi na Boti za kwenda Zanzibar zinapopatikana pale Posta.Kwa ujumla mwonekano wa ofisi hiyo kwa mtazamo wan je ni kama ofisi ya mtu yeyote wa kawaida tu kwani hata hivyo wanashare ofisi na jamaa wengine wana Rorya wao wanajiita UCHAU investment.Lakini mambo na Biashara zinazofanyika Ndani ya ofisi hiyo ni wimbo mwingine.
Ni Igogo huyu huyu ambaye alikuwa akijisifu kwa vijana wa walalahoi wana Rorya wakati wa Kampeni za Prof Sarungi ndiye huyu huyu aliye kuwa msimamizi wa Shughuli ya Prof Sarungi ya Kuongea na Wanafunzi wa Rorya wanaosoma chuo kikuu cha Dar Es Salaam pale ktk hoteli ya kifahali ya New Africa Hotel wakati uchaguzi unakaribia.Rafiki yangu mmoja ambaye alihudhuria ‘Takrima’ hiyo alinihadithia jinsi ambavyo alijikuta akifungua ukurasa mpya wa maisha yake kwa kupata Dinner katika hotel ambayo hana hakika kama atakuja kupata nafasi ya kuwepo tena hasa ukizingatia mshahara wake baada ya kupata Digrii ya Ualimu hapo UDSM.
Ni Igogo huyo huyo aliyenunua Saa ya Rais Kikwete kwa Mamilioni mengi tu katika mnada Fulani kabla ya Uchaguzi.
Ni Igogo huyohuyo ambaye inasemekana alimfuata waziri mkuu Edward Lowasa kule Uingereza na kumkatiaa chake wakati Mgogoro wa wapi pawe makao makuu ya Wilaya mpya ya Rorya kati ya Utegi na Shirati ukiwa tete.Na mheshimiwa alivyozuru Shirati alitoa maamuzi ‘Yenye ujasiri wa kifisadi’
Ni Igogo huyu huyu ambaye tunaamini ndiye anayemtunzia Prof Sarungi fedha na Biashara zake Ndiye ninayemuongelea.

MCHAKATO WA KUWANIA UWAKALA WA FEDHA ZA TACAIDS
Baada ya World Bank kutoa mamilioni ya fedha ili kupambana na Ukimwi na Baada ya TACAIDS kuamua kutafuta wakala wa kusimamia fedha hizo katika kanda tofauti tofauti ndipo mchakato wa kuomba nafasi hizo ukaanza,Mashirika Mengi ya Kimataifa na kitaifa yakaomba kusimamia fedha ktk kanda mbalimbali ikiwemo ya Ziwa,kama vile Family Health International (FHI),ambao ni wazoefu wa masuala ya Ukimwi na Elimu ya uzazi kwa muda Mrefu,RED CROSS,African YouthAlliance (AYA) ambao wametanua huduma zao hadi vijijini hasa kandokando ya Ziwa Victoria,AMREF ambayo inasimamia vituo vya Angaza na Mashirika Mengi sana yenye uzoefu wa Kimataifa katika masuala ya Ukimwi.Japo kuw suala hilo lilikuwa wazi lakini tenda hiyo walipewa KOSHIKA WOMEN GROUP(Ilala) wakiwa na ubia na UTEGI TECHNICAL ENTERPRISES L.T.D(Ilala) NA RAO HOSPITAL(Shirati-Tarime).Utatu huu ukasaini mkataba na kuanzisha ofisi yake pale Waterfront Posta Dar Es Salaam,Hapa kuna maswali kadhaa ya Kujiuliza:

1.Je inakuwaje mashirika ya kimataifa ambayo yamekuwa yakijishughulisha na Mambo ya Ukimwi kwa Muda mrefu na wameeneza huduma zao hadi vijijini wakanyimwa tenda hiyo na Kupewa UTATU huu wa Koshika,Utegi na Rao?.Has ukizingatia kuwa Koshika Women Group wamesajiliwa katika Manispaa ya Ilala na walikuwa hawana wigo mkubwa wa Kitaifa?na UTEGI T.E L.T.D Ambayo inafanya clearing and Forwarding hapa Dar na Rao Hospital iliyo katika Bonde Fulani pale Shirati na Huduma Mbovu za Afya hadi kukosa Wateja ndiyo wapewe mamilioni haya? Hizi siyo dalili za kufanyia Forwarding fedha zetu katika mifuko na Vitambi vya watu?

2.Je Koshika,Utegi na Rao Wana Uzoefu gani wa kuwazidi FHI,AMREF,AYA katika masuala ya Ukimwi?

3.Je Koshika,Utegi na Rao ni Makampuni ya Mtummoja?

Ili kujibu Maswali haya hebu tuwaongelee kidogo Wahusika


KOSHIKA WOMEN Group
Wakati nikiwa palepale Shirati na Utegi niliona Kibao kikiwa katika kibanda cha Mafundi herehani akina mama kimeandikwa ‘KOSHIKA WOMEN GROUP’ Sijui kama ndiyo hawa hawa Koshika Women Group wanaopatika na Katika ILALA MUNICIPAL COUNCIL HIV/AIDS SERVICE DIRECTORY amyo ina taarifa zifuatazo ktk ukurasa wa 14;

8. Koshika Women’s Group
Physical Address: Ilala, Moshi Street
Contact Address: P. O. Box DSM,Telephone: +255 22 2211454
Contact Person: Ms. Neema Naiman
Organisation Type: Non Government
Aims: To organize and disseminate HIV/AIDS information to adolescents, youth and women in DSM
Services Provided: HBC to PLWHA, IEC materials and Research
E-Mail ;NIL
Fax;Nil

Kutokana na Taarifa hii tunatambua kuwa kupewa Jukumu la kusimamia fedha za Ukimwi kwa Kanda ya ziwa walikopew Koshika Womeni Group kama si wale washona cherehani wa shirati ilikuwa ni Zengwe tu.Huyo Ms Neema Naiman nikianza kujadili uhusiano wake na Prof Sarungi nitamuumbua mtu mzima .Hata hivyoHakukuwa na haja ya kukipa kikundi cha Wanawake ambacho kimesajiliwa kuendesha shughuli zake kwa Wanawake Mkoani Dar Es Salaam kusimamia Mamilioni ya fedha za mkoani Mwanza ambako hawakuwa na Ofisi wala kibali cha kufanya kazi huko.Na ndiyo maan ofisi zikatafutwa chapchap pale Waterfront.

UTEGI TECHNICAL ENTERPRISES L.T.D
Hii nimeshaieleza hapo juu na mmiliki wake ni mtu wa Karibu sana wa Prof.Sarungi unaweza kupata habari za kampuni hii ktk website yao ya www.ute-tech.net halafu unambie Neno ‘UKIMWI’limetajwa wapi kama shughuli zao.Kuna maelezo kama haya:

‘As a Logistics Company in Tanzania, we are providing air sea freight forwarding, custom brokerage, warehousing, door to door delivery and distribution, Full Container Load, project cargo, Local Container Load Consolidation, Clearance of duty exempted goods for the NGO's, Religious, Charitable, Relief and Governmental bulky and small consignments, order follow-up and International Investors facilitation...'



SAMPLE YA MKATABA

Home > Projects > Projects Database > Contracts/Contractors > Contract Details







Contractor: KOSHIKA WOMEN GROUP IN ASSOC. WITH RAO HOSP AND UTEGI TECH ENTERPRISES (T) LTD

Contractor Country: Tanzania

Contract Description
Total US$*
Signing Date
Project Name
Proc. Group*

CONTRACT FOR CONS. SERVICES COMPLEX TIME BASED ASSIGNMENTS BTN TACAIDS & KOSHIKA WOMEN GRP IN ASS. WITH RAO HOSPITAL & UTEGI TECH. E
0.864 10-MAR-2005 Multi-Sectoral AIDS Project
CS



* Contract amount in USD$ millions. Click column header to sort, click again to reverse.
Procurement Group GW - Goods and Works , CS - Consultants
Projects Home | Advanced Projects Search | Contract/Contractors Search | Browse | Help/FAQ



Mkataba Unapatikana katika Webpage; http://web.worldbank.org/external/p...SitePK=40941&menuPK=228443&contractid=1250241


RAO HOSPITAL
Rao Hospital kama nilivyosema ipo Shirati na kutokana na ubovu wa Huduma za Afya na usanii kuanzia kwa Manesi mpaka Madaktari imekuwa ikiyumba kwa muda kama miaka mitatu hasa kutokana na Kukosa wateja.RAO hiyo hiyo ambayo inashindwa kujiendesha vizuri ndiyo walopewa kushikilia Mamilioni ya TACAIDS,Katika ka uchunguzi kangu mmiliki wake ambaye nilitajiwa kama ‘MCHUNGAJI’ ambaye kwa sasa anaishi Musoma Kama msimamizi wa Fedha Za TACAIDS mkoani Mara na ambaye ni Jamaa yake Prof Sarungi,huyo ndiye MCHUNGAJI!

KOSHIKA, UTEGI NA RAO WALIPATAJE MAMILIONI YA UKIMWI?
Wakati wa kutafuta msimamizi wa Mamilioni ya TACAIDS Prof Sarungi alikuwa Waziri wa Ulinzi na kwa taarifa za ndani toka katika Taasisi ya TACAIDS inasemekana alikuwa na uhusiano wa karibu na Mkurugenzi wa TACAIDS wa wakati huo ambaye waliwahi kufanya naye kazi miaka ya nyuma I mean ni Mshikaji wake wa Muda Mrefu,Yupo mfanykazi wa TACAIDS ambaye anathibitisha mawasiliano kati ya Wakubwa hao.Ni wazi kwamba Utatu huu wa Koshika,Utegi na Rao ni muunganiko ambayo ulitengenezwa na Prof. na hatimaye akapigiwa Pande.
Hii inathibitika katika Report ya TACAIDS ya mwaka 2005/2006 hasa ukiangalia NGO zinazosemekana kupata fedha kutoka katika utatu wa KOSHIKA,UTEGI n a RAO Ndugu yangu unaweza kutoa machozi kwani nyingi ni usanii tu huku wavuvi waliosongamana katika makambi ya Uvuvi na wanafanya Ngono bila kutumia kinga wakiambukizana Maginjwa ya Zinaa na hata Ukimwi halafu fedha zinapelekwa kwa Wakulima ambao hawako ktk Mazingira Hatarishi.
CONCLUSION
Kutokana na Chain iliyopo ya undugu na Urafiki kati ya Prof Sarungi,Igogo,Mchungaji,Koshika,Rao,Utegi hapa tunaona kabisa kuwa Prof Sarungi ambaye wakati huo alikuwa waziri wa Ulinzi wa Tanzania alipigiwa Pande ambalo aliwapa watu kumshikia Bendera.
Nitakuhadithia siku nyingine mchakato wa Makao Makuu ya Wilaya Ya Rorya na Harakati za Igogo,Sarungi,Lameck Aila n.k katika kuharalisha UTEGI kuwa makao makuu huku wakipuuza maoni ya Wananchi na ufisadi na Rushwa vilivyotawala katika Baraza la Madiwani wakati wa kupigia Kura makao makuu ya Wilaya mpya ya Rorya.
HII NDIYO TANZANIA NA SISI NDIYO WATANZANIA WENYEWE
 
Kitendawili Prof. Sarungi,igogo Na Fedha Za Tacaids Na Makao Makuu Ya Wilaya Rorya
TEGA!

UTANGULIZI
Bwana huyu ambaye anamiliki kambuni inayohusika na Clearing and Forwarding apewe fedha za kupambana na Ukimwi kanda ya Ziwa?
Kwa utumiaji wa mantiki hii peke yake inadhihirisha uchafu wako,Kumiliki kampuni? na kupewa fedha? unamatatizo gani? Kwani makampuni yanafanya nini?

MCHAKATO WA KUWANIA UWAKALA WA FEDHA ZA TACAIDS
Baada ya World Bank kutoa mamilioni ya fedha ili kupambana na Ukimwi na Baada ya TACAIDS kuamua kutafuta wakala wa kusimamia fedha hizo katika kanda tofauti tofauti ndipo mchakato wa kuomba nafasi hizo ukaanza,Mashirika Mengi ya Kimataifa na kitaifa yakaomba kusimamia fedha ktk kanda mbalimbali ikiwemo ya Ziwa,kama vile Family Health International (FHI),ambao ni wazoefu wa masuala ya Ukimwi na Elimu ya uzazi kwa muda Mrefu,RED CROSS,African YouthAlliance (AYA) ambao wametanua huduma zao hadi vijijini hasa kandokando ya Ziwa Victoria,AMREF ambayo inasimamia vituo vya Angaza na Mashirika Mengi sana yenye uzoefu wa Kimataifa katika masuala ya Ukimwi.Japo kuw suala hilo lilikuwa wazi lakini tenda hiyo walipewa KOSHIKA WOMEN GROUP(Ilala) wakiwa na ubia na UTEGI TECHNICAL ENTERPRISES L.T.D(Ilala) NA RAO HOSPITAL(Shirati-Tarime).Utatu huu ukasaini mkataba na kuanzisha ofisi yake pale Waterfront Posta Dar Es Salaam,Hapa kuna maswali kadhaa ya Kujiuliza:

  • 1.Je inakuwaje mashirika ya kimataifa ambayo yamekuwa yakijishughulisha na Mambo ya Ukimwi kwa Muda mrefu na wameeneza huduma zao hadi vijijini wakanyimwa tenda hiyo na Kupewa UTATU huu wa Koshika,Utegi na Rao?.Has ukizingatia kuwa Koshika Women Group wamesajiliwa katika Manispaa ya Ilala na walikuwa hawana wigo mkubwa wa Kitaifa?na UTEGI T.E L.T.D Ambayo inafanya clearing and Forwarding hapa Dar na Rao Hospital iliyo katika Bonde Fulani pale Shirati na Huduma Mbovu za Afya hadi kukosa Wateja ndiyo wapewe mamilioni haya? Hizi siyo dalili za kufanyia Forwarding fedha zetu katika mifuko na Vitambi vya watu?
  • 2.Je Koshika,Utegi na Rao Wana Uzoefu gani wa kuwazidi FHI,AMREF,AYA katika masuala ya Ukimwi?

    Kama unaweza kujua yote hayo juu hii unamuuliza nani?
  • 3.Je Koshika,Utegi na Rao ni Makampuni ya Mtummoja?
  • Hivi unasoma maswali na majibu yako? Huko juu ulisema nini? Au ndio kusema World Bank walifanya makosa?

    [*]Ili kujibu Maswali haya hebu tuwaongelee kidogo Wahusika

Nimekustahi hapo juu kidogo

"Ms Neema Naiman nikianza kujadili uhusiano wake na Prof Sarungi nitamuumbua mtu mzima .Hata hivyoHakukuwa na haja ya kukipa kikundi cha Wanawake ambacho kimesajiliwa kuendesha shughuli zake kwa Wanawake Mkoani Dar Es Salaam kusimamia Mamilioni ya fedha za mkoani Mwanza.

Kama sio udaku huo ni jungu ambalo unatakiwa kufanyiwa uhakiki wa shehena ya akili yako iliyokuleta hapa, tunaelewana!

CONCLUSIONKutokana na Chain iliyopo ya undugu na Urafiki kati ya Prof Sarungi,Igogo,Mchungaji,Koshika,Rao,Utegi hapa tunaona kabisa kuwa Prof Sarungi ambaye wakati huo alikuwa waziri wa Ulinzi wa Tanzania alipigiwa Pande ambalo aliwapa watu kumshikia Bendera.

Hapo, bado tu, ni majungu!

Nitakuhadithia siku nyingine mchakato wa Makao Makuu ya Wilaya Ya Rorya na Harakati za Igogo,Sarungi,Lameck Aila n.k katika kuharalisha UTEGI kuwa makao makuu huku wakipuuza maoni ya Wananchi na ufisadi na Rushwa vilivyotawala katika Baraza la Madiwani wakati wa kupigia Kura makao makuu ya Wilaya mpya ya Rorya.
HII NDIYO TANZANIA NA SISI NDIYO WATANZANIA WENYEWE

Pamoja na haya ya humu na "Where we Dare Talk Openly" bado siamini kwamba hiyo uliyokuja nayo ni kitendawili.

Sasa hiki Kitendawili kisicho na kiwiliwili au kitenda hakitegeki. Majibu unayo. Wacha fitina zako, toka humu, na ulegee!
Atanaye Kijiko
 
Nimekustahi hapo juu kidogo



Kama sio udaku huo ni jungu ambalo unatakiwa kufanyiwa uhakiki wa shehena ya akili yako iliyokuleta hapa, tunaelewana!



Hapo, bado tu, ni majungu!



Pamoja na haya ya humu na "Where we Dare Talk Openly" bado siamini kwamba hiyo uliyokuja nayo ni kitendawili.

Sasa hiki Kitendawili kisicho na kiwiliwili au kitenda hakitegeki. Majibu unayo. Wacha fitina zako, toka humu, na ulegee!
Atanaye Kijiko[/QUOTE]

Atanaye umedhihirisha ulivyo na akili fupi ya kuelewa mambo nahisi nyie ndo mafisadi wakubwa mnaoangamiza uchumi wetu yaani umeshindwa kabisa kuelewa concept ninayoongelea hapa,au watuhumiwa katika habari hii wamekulipa ili uwatetee,naanza kufanya uchunguzi kujua wewe ni nani inawezekana kabisa una hisa katika UTATU huu.
Kuwa mkubwa usidhihirishe ufisadi wako kwa kutetea Mafisadi.
Kama ni Udaku una haki ya wewe kufuatilia ujue ukweli si kuparamia tu Habari ambayo sina hakika hata umeisoma kwa makini au uwezo wako wa kuelewa na kuchambua mambo ni Duni.Pale Muhimbili kina kitengocha akili wanaweza kuboresha uwezo wako wa kufikiri.Najua utajitutumua na kujibu na hii tena.
 
Ulie andika hoja hii ni mpuuzi na hauna akili!!

Badala ya kuandika mambo ambayo yanaleta maendeleo unapoteza muda kuandika umbeya. kwanza hujui na wala hauna ushahidi wa unacho kiandika. ukiulizwa evidence sijui utatoawa nini. mpuuzi tu wewe acha majugu.

Walipata tenda kwasababu wali meet tender qualifications. Sasa wewe kama inakuuma kasage chupa unywe!!!!!!!! mpuuzi.

Unasema Prof. Sarungi anaundugu na Dr. Makoye?? mjinga sana, uwo undugu wao unatokea wapi??

Unasema Utegi ni kampuni ya C&f, ulivyo mdaku unajuwa jina lote la kampuni au unaongea kama vile upo chooni unahara tu!!!
hiyo kampuni inaitwa UTEGI TECHNICAL INTERPRISES T. LTD.
yenyewe ni kampuni mama, na ndani yake kuna makapuni mengi ambayo yako chini ya Utegi. kama ujui uliza si kuandika upuuzi.

Unasema Sarungi anafichiwa pesa na Igogo unaushaidi wa unacho kiandika, mjinga tu wewe. onyesha ushaidi.
Utegi ina 20yrs in business inaoperate international, inahela za kutosha, wewe unaweza kupoteza muda wako kuandika upuuzi unataka kushindana na mtu ambaye anabiashara yake for more than 20yrs?? ujioni kama ni mjinga, wewe umeanzisha nini. mshamba wewe.

afterall so what!! who cares?? labda mshamba kama wewe. kapime akili yako. and Im not done with you yet!!!!!!
 
Ulie andika hoja hii ni mpuuzi na hauna akili!!

Badala ya kuandika mambo ambayo yanaleta maendeleo unapoteza muda kuandika umbeya. kwanza hujui na wala hauna ushahidi wa unacho kiandika. ukiulizwa evidence sijui utatoawa nini. mpuuzi tu wewe acha majugu.

Walipata tenda kwasababu wali meet tender qualifications. Sasa wewe kama inakuuma kasage chupa unywe!!!!!!!! mpuuzi.

Unasema Prof. Sarungi anaundugu na Dr. Makoye?? mjinga sana, uwo undugu wao unatokea wapi??

Unasema Utegi ni kampuni ya C&f, ulivyo mdaku unajuwa jina lote la kampuni au unaongea kama vile upo chooni unahara tu!!!
hiyo kampuni inaitwa UTEGI TECHNICAL INTERPRISES T. LTD.
yenyewe ni kampuni mama, na ndani yake kuna makapuni mengi ambayo yako chini ya Utegi. kama ujui uliza si kuandika upuuzi.

Unasema Sarungi anafichiwa pesa na Igogo unaushaidi wa unacho kiandika, mjinga tu wewe. onyesha ushaidi.
Utegi ina 20yrs in business inaoperate international, inahela za kutosha, wewe unaweza kupoteza muda wako kuandika upuuzi unataka kushindana na mtu ambaye anabiashara yake for more than 20yrs?? ujioni kama ni mjinga, wewe umeanzisha nini. mshamba wewe.

afterall so what!! who cares?? labda mshamba kama wewe. kapime akili yako. and Im not done with you yet!!!!!!

Why is this thing turning to be personal?
Lets not use words like mpuuzi, mjinga etc just to demoralise people. Hii forum inajulikana kwa kuwa na watu wenye uwezo mpana katika kuchambua na kuwasilisha hoja na naomba hili liheshimiwe na ieleweke hapa sio mahali pa kutupiana maneno machafu...
WHERE WE DARE TO TALK OPENLY

Mchumia juani umeleta hoja sasa tunataka utupe facts za uhakika na ushahidi ili tupate muelekeo wa kujadili hoja hii.

That's all i have for now..... I need facts!!!
 
Why is this thing turning to be personal?
Lets not use words like mpuuzi, mjinga etc just to demoralise people. Hii forum inajulikana kwa kuwa na watu wenye uwezo mpana katika kuchambua na kuwasilisha hoja na naomba hili liheshimiwe na ieleweke hapa sio mahali pa kutupiana maneno machafu...
WHERE WE DARE TO TALK OPENLY

Mchumia juani umeleta hoja sasa tunataka utupe facts za uhakika na ushahidi ili tupate muelekeo wa kujadili hoja hii.

That's all i have for now..... I need facts!!!

Kuna ukweli yawezekana,

JF kiboko- where we dare to speak openly! Labda ameshikwa pabaya!

Hoja dhidi ya hoja na sii jazba!
 
Asante Mzalendo Halisi kwa Kugundua kuwa kuna watu nimewagusa moja kwa moja katika ishu hii na sasa wanatapatapa kwa kunitukana kwa hoja yangu.Kama wanaujua UKWELI KWA NINI WASIJIBU HOJA KWA HOJA MPAKA WATOE KASHFA NA MATUSI.

Mfano mzuri ni pale ambapo jamaa anamtaja Dr.Makoye kuwa ndugu wa Sarungi,Katika makala yangu hakuna jina la Dr.Makoye mimi nimesema Mchungaji!!!!!!! Sasa kama mpaka mwandishi aliyeiponda hoja yangu kama si muhusika au kama hajapandikizwa kuipinga hoja kwa nini aweze ku wa Identify watuhumiwa kwa Majina yao kamili????

Huyu Bwana hajakomaa kimawazo,ANAJIDAI KUTETEA UFISADI WA SARUNGI,IGOGO NA RAO HOSPITAL kwa KUONGEZA USHAHIDI NA IDADI YA WATUHUMIWA

NINA WASIWASI NA SHULE YAKE
HATA HIVYO MUNGU ANAWAONA WOTE WTETEA MAFISADI
OMBENI MWISHO WA DUNIA USIFIKE

ALUTA CONTINUA
 
Asante Mzalendo Halisi kwa Kugundua kuwa kuna watu nimewagusa moja kwa moja katika ishu hii na sasa wanatapatapa kwa kunitukana kwa hoja yangu.Kama wanaujua UKWELI KWA NINI WASIJIBU HOJA KWA HOJA MPAKA WATOE KASHFA NA MATUSI.

Mfano mzuri ni pale ambapo jamaa anamtaja Dr.Makoye kuwa ndugu wa Sarungi,Katika makala yangu hakuna jina la Dr.Makoye mimi nimesema Mchungaji!!!!!!! Sasa kama mwandishi aliyeiponda hoja yangu kama si muhusika au kama hajapandikizwa kuipinga hoja kwa nini aweze ku wa Identify watuhumiwa kwa Majina yao kamili????

Huyu Bwana hajakomaa kimawazo,ANAJIDAI KUTETEA UFISADI WA SARUNGI,IGOGO NA RAO HOSPITAL kwa KUONGEZA USHAHIDI NA IDADI YA WATUHUMIWA

NINA WASIWASI NA SHULE YAKE

HATA HIVYO MUNGU ANAWAONA WOTE WTETEA MAFISADI
OMBENI MWISHO WA DUNIA USIFIKE

ALUTA CONTINUA
 
UNAPOSEMA NIMETUMIA JINA LA Dr. MAKOYE KWAMBA UKUTAJA MAJINA, MBONA UMETAJA IGOGO AU SARUNGI KAMA HII ISSUE SIYO PERSONAL 2U.

KWANINI UKUTAJA MMILIKI WA RAO HOSP. KWA JINA LAKE.
UNALETA UDAKU.
SINA MAJUNGU NAMTU NA WALA SIOGOPI MTU, KAMA U'VE FACTS SHOW THEM???? SIO UNATAJA MAJINA YA WATU KATIKA MAMBO USI YO YAJUA, NA THATS WHY I CALLED MPUMBAVU, AND WILL INSIST WEWE U R MPUMBAVU!!!!!!!
 
UNAPOSEMA NIMETUMIA JINA LA Dr. MAKOYE KWAMBA UKUTAJA MAJINA, MBONA UMETAJA IGOGO AU SARUNGI KAMA HII ISSUE SIYO PERSONAL 2U.

KWANINI UKUTAJA MMILIKI WA RAO HOSP. KWA JINA LAKE.
UNALETA UDAKU.
SINA MAJUNGU NAMTU NA WALA SIOGOPI MTU, KAMA U'VE FACTS SHOW THEM???? SIO UNATAJA MAJINA YA WATU KATIKA MAMBO USI YO YAJUA, NA THATS WHY I CALLED MPUMBAVU, AND WILL INSIST WEWE U R MPUMBAVU!!!!!!!

Just to rectify hilo jina la Dr. siyo Makoye ni Makoyo na namfahamu vizuri tu huyu mzee.
Lets stick to the topic... we are all waiting for facts!

Matusi ..NO!! Lugha ya dhihaka - NO! Please show respect to one another...
 
Oh yeah right Im taking it personal na naona ni udaku kwasababu ukianza kwenye kuchambua wahusika uliye muele zea ni Igogo peke yake why??????:rolleyes: kama wewe si mwanga wa Igogo?? mbona ukuwaongelea wengine??? ex. nani mmiliki wa Rao?? nani mmiliki wa Koshika???
Unamtaja Igogo kama muhusika, while Igogo hakupewa tender as Igogo, tender ilipewa 2 Utegi Technical Enterprises T. LTD keep that in ur mind!!!:confused:[/B][/B][/COLOR]
Sasa mbona Usiongelee Utegi Tech yenyewe as a company unabaki kutaja Igogo??? kama si umbeya tu unataka kuleta!!!!!

Unasema Igogo anapenda kujigamba yani u r just a "BFL" . Igogo hana personality ya namna hiyo hata kidogo. uyo aliye kutuma kamuulize zaidi.

Unasema Igogo kamuonga Lowasa kusu where makao makuu ya wilaya ya Rorya yawe?? ulikuwepo???????? when was is?? which month and year was that?? tupe kopi ya passport ambayo inaonyesha when did they departured 2 UK!!![/B]
U said Igogo anamfichia Sarungi hela, give us the bank name(s),when was it opened and where!!!!

Sarungi anawatoto 4 and all of them are very well successfull sasa anahaja gani yakumtumia Igogo kumfichia fedha, kama si udaku tu!!!
unadai office ya Igogo ukiiona kwa nje ni ya kawaida lakini biashara inayofanya humo ndani ni wimbo mwingine...hahaha inaonekana ule umsemo ambao wahenga waliusema wewe huupatipati ee!! wanasemaga hivi "UKUBWA WA PUWA SIO WINGI WA MAKAMASI" embu tuonyeshe hiyo yako yenye hadhi ya kimataiafa!!!

Mimi naona wivu tu ndo unakusumbuwa, huna lolote. KWASABABU WENZAKO WALIPEWA DINER KWENYE 6 STAR HOTEL IVYO ROHO INAKUUMA. WEWE UNAFIKIRI IGOGO ATAKUPA RUSHWA USIANDIKE HII HABARI???KAMA MLIVYO ZOWEYA KUFANYIA WENGINE.. I CAN TELL U " HELL NO" U GOT THAT WRONG!! U CAN WRITE ALL THE SHEAT U WANT TO WRITE HE DOESN'T CARE AT ALL, COUSE HE KNOWS U R NOTHING BUT A "BFL"

POLE SANA KWA KWA KUZALIWA KWENYE AFAMILIA MASIKINI. SI KOSA LAKO NI..."TAMAA YA MAMA YAKO NA UMASIKINI WA BABA YAKO" WAKA OWANA WOTE MASIKINI...MATOKEO YAKE WANAZIDI KUENDELEZA VIZAZI VYA WALALA HOI TANZANIA!!!!!

INABIDI WABONGO WAELIMIKE WAANZE KUJIFUNZA JINSI YA KUMIX KOO!!!..LA SIVYO TANZANIA HAITA ENDELEA TUTABAKIA KUWA OMBAOMBA

BUT U'VE TO UNDERSTAND KUWA RIZIKI YA MTU NI YAMTU TU U CANN'T DO NONE ABOUT IT!!! SASA WEWE PIGIZA DOMO HILO UTAISHIA KUNAWA TU KULA HULI!!
MTOTO WAKIUME HAWI MMBEYA HIVYO..BE CAREFUL USIJE UKAJIKUTA UNAANZA KUVAA SHANGA!!!

KEEP IN MIND IM NOT DONE WITH U!!!!!!!
[/COLOR]
 
2 U dmussa

UNAPOSE MA LUGHA YA "DHIAKA NO"

MBONA HUKUMKATAZA HUYO MCHUMIA JUWANI ALIPO ANDIKA KUMDHIHAKI IGOGO.

KAMA ALITAKA WATU WAJUWE THIS ISSUE KWANINI ASIYIANDIKE TU KAMA TAHARIAFA NA BADALA YAKE ANAANDIKA UMBEYA????
 
2 U Mchumia Juwani



Unasema Hospitali Ya Rao Inakufa Unasema Kwa Sababu Ya Huduma Mbovu???????? R U Out Of Ur Mind?????????? Si Inakufa Kwasababu Ya Umaskini Ya Watu Wa Shirati U Can't Aford To Pay The Med Bill!!!



Nasubiri Facts !!!
 
Hata mie mzaliwa wa Rorya lakini huu upuuzi ziwezi kushare idea nyie ndio mlinyimwa uwakala wa hela za Ukimwi mmekasirika mnaleta maada JF mnaona ndio sehemu ya kuongelea...

Tatizo letu wana Rorya ni wavivu wa kufunua vitabu tumekalia vijiweni, Umbea, fitna, Rushwa za gongo n.k fanyeni kazi jamani sasa hv mmepata kitu cha kuongelea vijiweni (Makao makuu) basi hata kazi hamfanyi kwa kifupi bora mkubali tu maana hamna uwezo wa kushinda na hao mafisadi wa Rorya kina LAKAIRO
 
hakika wote mnaobishana humu so what, nyererist na mchumia juani.

nasikitika sana mbona mmeruka hoja kuu?

hiyo KOSHIKA women group ilala ndiyo ina network kubwa Dar na UTEGI? nadhani kuna logic huu wivu mnaousema sio jibu.
kama ni wivu wa kweli sio shida lakini kwanini waibe wakati kila kitu kiko wazi.

IGOGO simjui sana lakini kama ni yule wa bandarini kweli mshikaji ni mafia alimsaidia Lakairo kupata tenda ya jeshi vifaa vilitoka south africa mzee SARUNGI alipata tabu sana kumpa hiyo tenda,kifupi haikufuata utaratibu, nayo ni richmond kama wadanganyika wangeifuma!

RAO hospital kama ni kweli inakufa kwa umaskini ulioko huko mnakoita SHIRATI nadhani aliyeijenga na kuweka gharama kubwa ni mjinga kwelikweli, utawekaje gharama kubwa kwa maskini? sasa kama shida yake sio pesa si atibu bureeee???

hoja zenu ni dhaifu sana hivi kweli kina mama wanaoshona cherehani wanaweza kuendesha mradi wa benki ya dunia?

mimi najua mtandao uliotengenezwa na EL na Sarungi baada ya kamabi ya sumaye kudondoka walijaribu kuunganisha mkoa wote wa mara kutumia Rorya ndio maana zawadi ilitolewa kuwa wilaya, na kwakuwa Tacaids bosi alipewa mke wa katibu mkuu wa LOWASA, MRISHO ikawa rahisi kutoa rushwa ya pesa hizo msiwadanganye watu wasiojua mambo ya ndani lakini juhudi za mtu akipata pesa anaonekana sana je wabeba miigo hawana akili?

hao AYA,REDCROSS na AMREF hawajui kuandika proposal zaidi ya hao kina sarungi?

fikirieni sana mazee msikimbiekimbie tu kama mnatetea teteeni lakini sio ukweli?

makao makuu ya rorya hata pinda alishindwa kwakuwa kuna usiri usiofahamika na kama ni kijiwe sio rorya tu ndio wavivu nchi yote watu wako kijiweni hata mie ninayeandika hii nalipwa 250,000 kwa mwezi huu mshahara sio kijiwe tu?
acheni maneno ya jumla jumla!
 
Mshamba wa kijijini nakubaliana na maoni yako lakini maoni yangu yalikua ya jumla kwa mtoa maada kwa sababu hata mie inaniuma kuona rorya ilivyo bila sababu za msingi kwa sababu ya watu wachache!

Mie maoni yangu nilijaribu kufikiri what next after this discussion kwa wana Rorya? je itasaidia chochote? Nikaona huu ni mgongano wa kimasirahi zaidi sio wa kujenga kwa sababu mtoa maada yuko biased na kitu flan. Hakuna mtu asiejua kwamba hao watu watatu yaani Igogo, Sarungi na Lameck Airo (LAKAIRO) NDIO MAFISADI wanao iyumbisha Rorya kwa manufaa yao binafsi. So kama mtoa maada ameandika kwa manufaa ya wanarorya basi tunamuomba hizo facts (evidence) ili tuzichambue na tuache kuongea kama vijiweni japo inaruhusiwa lakini karne hii inataka evidence nasio kutoa udaku.

Anyway uko juu mwanawane yaani unalipwa 250,000/=!!!! unatisha sie kina nyerere bado hakijaeleweka
 
Mshamba wa kijijini nakubaliana na maoni yako lakini maoni yangu yalikua ya jumla kwa mtoa maada kwa sababu hata mie inaniuma kuona rorya ilivyo bila sababu za msingi kwa sababu ya watu wachache!

Mie maoni yangu nilijaribu kufikiri what next after this discussion kwa wana Rorya? je itasaidia chochote? Nikaona huu ni mgongano wa kimasirahi zaidi sio wa kujenga kwa sababu mtoa maada yuko biased na kitu flan. Hakuna mtu asiejua kwamba hao watu watatu yaani Igogo, Sarungi na Lameck Airo (LAKAIRO) NDIO MAFISADI wanao iyumbisha Rorya kwa manufaa yao binafsi. So kama mtoa maada ameandika kwa manufaa ya wanarorya basi tunamuomba hizo facts (evidence) ili tuzichambue na tuache kuongea kama vijiweni japo inaruhusiwa lakini karne hii inataka evidence nasio kutoa udaku.

Anyway uko juu mwanawane yaani unalipwa 250,000/=!!!! unatisha sie kina nyerere bado hakijaeleweka

Naomba ieleweke kwamba mimi sipingani na hizi hoja iwe ya mchumia juani au ya So what. Kitu muhimu hapa ni lugha zinazotumika, na kikubwa zaidi ni evidence za hoja hizo!!

Najua RORYA iko nyuma sana kimaendeleo, na yote hii inatokana na viongozi wa wilaya hiyo kuwa na ubinafsi wa hali ya juu sana. Kwanza haya yanayofanyika sasa hivi yalitokana na Mbunge Oyombe ambae alirithiwa na Sarungi baada ya kumfanyia vimbwanga Marando!
Huyu Airo wa LAKAIRO anajulikana kama tajiri mkubwa sana Mwanza lakini hakuna hata mtu mmoja anaejua kwamba huyu jamaa anafanya biashara gani haswa inayomfanya awe tajiri kiasi hicho. Pili elimu yake siwezi hata kuiongelea... Huyu mzee Igogo it happens kwamba nimekuwa nikimsikia tu kama mtu anayeinfluence mambo mengi ndani ya RORYA kwa sababu ya elimu na uwezo wake kifedha> Hili sio suala la kuficha.
Mimi sina facts and thats why nasema tuache lugha mbaya na tuweke facts ili zijadiliwe tuweze kuisaidia RORYA!! Ile wilaya itaishia kuwa nyuma kimaendeleo ilhali ina wasomi kibao ktk kila kona ya nchi.....
 
Sijakata kwamba msiongelee matatizo na jinsi ya kuiendeleza Rorya. Im with it 100% hata mimi ni mwana Rorya na ningependa san kuona Rorya inaendelea, ma question is tender ya TACAIDS na maendeleo ya Rorya yanahusiano gana???????????


huyo mchumia juwani mimi sioni alicho kielezea zaidi ya kumuongelea Igogo na Sarungi??? and nothing else zaidi ya their private life?? Nasasa anataka kumuongelea Lameck ?? nikiangalia both hawa watu are from Utegi Village, sasa huu kama si umbea ni kitu gani? kama huyo mchumia juwani siyo antiUtegi???

Wajaluo mmekalia majungu ndo maana hakuna maendeleo. elimu ya mtu na biashara anazofanya wewe inakuhusu nini?? je wangapi hawana elimu na ni matajiri?? au kwasababu anatoka Utegi ndo mana it's pain????????

Hao wano jiita wasomi wa Rorya wamefanya nini hapo Rorya??? ni maendelo gani wamefanya miaka yote kama si kukalia majungu na wivu tu??? sasa wana tafuta umaarufu kwa kuwaongelea Igogo na Sarungi?? is that what they went school for??????????

Huyu Igogo mnaye mwita fisadi amewasaidia wana Rorya wangapi????? mbona u guys amuongelei positive site of his????????? be fair!!

Acheni majungu nyiwe watu???
 
Back
Top Bottom