guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,255
- 2,073
Ukweli Mchungu.
Hata tujenge madaraja kila mto, tujenge barabara za lami mpaka vijijini, tununue ndege kila halmashauri yake n.k hakuna maendeleo ya maana tutafikia bila kuwa na ELIMU BORA inayoandaa nguvu kazi yenye tija katika tafiti, technologia, afya n.k. Kwa mantiki hio elimu bure haina maana kama baada ya miaka takribani 60 ya uhuru kuna shule wanasomea nje, hawana madawati, hawana vitabu, hawana maabara, hawana waalimu wenye ujuzi na motisha ya kuipenda kazi na matatizo lukuki.
Kimsingi shule za kata zinazalisha ujuzi unaofanana kwa 70% yaani ujuzi wa kuendesha bodaboda. Wito wangu serikali irudi tena ifanyie mabadiliko makubwa sekta ya elimu.
Hata tujenge madaraja kila mto, tujenge barabara za lami mpaka vijijini, tununue ndege kila halmashauri yake n.k hakuna maendeleo ya maana tutafikia bila kuwa na ELIMU BORA inayoandaa nguvu kazi yenye tija katika tafiti, technologia, afya n.k. Kwa mantiki hio elimu bure haina maana kama baada ya miaka takribani 60 ya uhuru kuna shule wanasomea nje, hawana madawati, hawana vitabu, hawana maabara, hawana waalimu wenye ujuzi na motisha ya kuipenda kazi na matatizo lukuki.
Kimsingi shule za kata zinazalisha ujuzi unaofanana kwa 70% yaani ujuzi wa kuendesha bodaboda. Wito wangu serikali irudi tena ifanyie mabadiliko makubwa sekta ya elimu.