John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
- Thread starter
- #41
wenzake wanatembea na laptop yeye anatembea na file!. mia
matola unakosea siku hizi si laptop tena siku hizi watu ni mwendo wa i pad tu(tablets)
wenzake wanatembea na laptop yeye anatembea na file!. mia
hapo anaendelea kutafuta jibu la kwa nini tanzania ni maskini?
hayaaaa bwana huyo ndio dr/luteni kanali/ j.k the travelleralishawahi kuulizwa swali kwa nn afrika ni maskini ..akachukua mic akakohoa kidogo kuweka koo sawa ili aweze kushusha mapoint fresh.
akasema ..ee afrika ni masikini kwa sababu ee hatuna pesa. so mkitukopesha tukapata capital tutakuwa matajii. nilichoka hapo hapo
mkewe,mama salma si mapaja ya uyowa pale bongo movi
kama zimepatikana kihalali hizo nyimbo na movie hakuna shaka (atakuwa anakuza uchumi wa nchi). Ila kama ni za ku-burn mtaani hapo anahitaji kuhukumiwa kwa piracy. By the way mkuu naye anahitaji kuliwazwa na muziki na movie baada ya kazi
kwa u comfortability kama huu atakaa magogoni afanye nini?
raha jipe mwenyewe.... ukisubiri upewe, wabongo hawana dogo yani ni nuksi tu