John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
kwa u comfortability kama huu atakaa magogoni afanye nini?
kwa u comfortability kama huu atakaa magogoni afanye nini?
Hii picha mbona source yake ni ya kuaminika, na wewe unasema aangalie kikulacho? hapa kumshika mwizi mbona ni rahisi mno, ni kuangalia tu hii pichwa imepigwa kutokea angle ipi, kwisha kazi. ama sivyo mimi nahisi huenda Jekei mwenyewe ndiye aliyependekeza kupigwa hii . ana udhaifu wa kuuza sura pia.Kaka JK hapa unapaswa kuwa macho, picha hii imetisha hasa huyu aliyekupiga anaonekana yu nguoni mwako. Iko siku tutaletewa picha yako ya bafuni Mkuu. Nahisi hii imezidi, TISS- Presidential Guard mtakuwa mnahusika. Lasivyo jiteteeeni mapemaaaaaaaaa.
Kaka JK hapa unapaswa kuwa macho, picha hii imetisha hasa huyu aliyekupiga anaonekana yu nguoni mwako. Iko siku tutaletewa picha yako ya bafuni Mkuu. Nahisi hii imezidi, TISS- Presidential Guard mtakuwa mnahusika. Lasivyo jiteteeeni mapemaaaaaaaaa.
Kweli internet na social media zimeleta uwazi!
Tuhamie chit chat basi nikun'gate sikio
kuna kipindi laptop ya JMK aka dhaifu zikaletwa habari hapa kuwa imejaa movi, bongo fleva na picha za mastaa.