Wana JF, ninataka kuweka vitasa vya mlango katika nyumba yangu. Naomba mnisaidie, vitasa gani ni bora na imara? Pia kama bei yake inafahamika, ni vizuri ikawekwa hadharani.
Nipo Katavi, ninategemea kwenda Dar hivi karibuni na ninaweza kuvinunua nitakapokuwa huko.
Nipo Katavi, ninategemea kwenda Dar hivi karibuni na ninaweza kuvinunua nitakapokuwa huko.