Kitanzi kwa wafanyakazi nchini: Pensheni sasa mpaka ufikie miaka 55

Japokuwa hujaweka source lakini tetesi hizi zimezagaa sana. Ni mpango kamambe wa serikali kuwakomoa wanachi wake, tena walipa kodi wakubwa nchi hii. Hii ni sheria mbaya na ikipitishwa nitaamini nia thabiti ya serikali ya JK kuwaua wananchi wake. So pathetic!

Mkuu wangu mimi mwenyewe nilisikia tetesi hizi wiki iliyopita nikazipuuza.Kama mi kweli itakuwa ni sheria mbaya kuwahi kupitishwa nchini.
 
Hakika tunaweza kusema ni kitanzi kwa wafanyakazi masikini wa Tanzania.Habari za kuaminika kutoka wizara ya fedha na mifuko mbalimbali ya kijamii zinasema serikali inajiandaa kupeleka mswada bungeni katika bunge lijalo kwamba ni sharti ufikishe miaka 55 ndipo uweze kupata mafao yako.
Kwa hivi sasa kama mfanyakazi ataacha kazi katika makampuni mbalimbali binafsi anaweza kupata pensheni yake ndani ya miezi sita.Hali ni hiyohiyo kama mfanyakazi ni mgonjwa anahitaji matibabu basi aweza kupata mafao yake.
Lakini kwa mswada huu mpya unaotarajiwa ukipitishwa mfanyakazi yeyote katika makampuni na mashirika mbalimbali hataweza tena kupata mafao yake hata kama ameacha kazi mpaka atakapofikisha miaka hiyo 55.
Habari zaidi zinasema mifuko hii ya kijamii hasa NSSF yamewekeza katika miradi mikubwa isiyo na faida na pia yamekuwa yakikopwa na serikali lakini inashindwa kulipa kwa wakati.Hali hii imesababisha fedha za wanachama kupukutika na njia pekee ya kuepuka aibu hii ni kuandaa mswada kama huu utakaoacha kilio kikuu kwa wafanyakazi nchini.

Inaitwa mifuko ya mafao ya uzeeni na siyo mifuko ya mafao ujaneni
 
Mkuu hii hatuto kubali nasema tuandamane

Hakika wakipitisha itakuwa ni tiketi ya mwisho kuiondoa CCM mwaka 2015.Hakika watapigwa mawe kila kona.Utalazimishaje kukaa na hela yangu huku mimi nikiwa na malengo yangu?Huo ni wizi wa mchana.Ndipo wananchi sasa watapaswa kujua kwanini Dr Slaa ameapa kuiondoa CCM madarakani.WanaCCM wanapaswa sasa kuungana kupigania haki zao na nchi yao zinazotaka kuporwa na Manyang'au.
 
Hakika tunaweza kusema ni kitanzi kwa wafanyakazi masikini wa Tanzania.Habari za kuaminika kutoka wizara ya fedha na mifuko mbalimbali ya kijamii zinasema serikali inajiandaa kupeleka mswada bungeni katika bunge lijalo kwamba ni sharti ufikishe miaka 55 ndipo uweze kupata mafao yako.
Kwa hivi sasa kama mfanyakazi ataacha kazi katika makampuni mbalimbali binafsi anaweza kupata pensheni yake ndani ya miezi sita.Hali ni hiyohiyo kama mfanyakazi ni mgonjwa anahitaji matibabu basi aweza kupata mafao yake.
Lakini kwa mswada huu mpya unaotarajiwa ukipitishwa mfanyakazi yeyote katika makampuni na mashirika mbalimbali hataweza tena kupata mafao yake hata kama ameacha kazi mpaka atakapofikisha miaka hiyo 55.
Habari zaidi zinasema mifuko hii ya kijamii hasa NSSF yamewekeza katika miradi mikubwa isiyo na faida na pia yamekuwa yakikopwa na serikali lakini inashindwa kulipa kwa wakati.Hali hii imesababisha fedha za wanachama kupukutika na njia pekee ya kuepuka aibu hii ni kuandaa mswada kama huu utakaoacha kilio kikuu kwa wafanyakazi nchini.

Life expectancy Tanzania: 57 years (men), 59 years (women) (UN)

Wanaopeleka huo Mswada wana akili timamu, au mifuko ya jamii ineshakuwa DECI
 
itakuwa ni mbaya ila nitafurahi sana maana nina hamu ccm iondoke na chanzo natamani kiwe ndio hiko embu pitisheni kabisaaa tuanze kazi ya kuwatupilia mabli then tunarudisha hili ni jambo la kuhimiza litokee ili hawa jamaa waondoke madarakani maana kuna wafanyakazi waoga na najua kwa hili wapo tayari kwa lolote kutokea so acheni litokee si 2015 tunawatoa then tunarudisha ni mwendo wa cheusi na chekundu hapo
 
Serikali haipaswi kutupangia maisha,hasa kwenye pesa zetu kwa mfano binafsi nimepanga nikifika miaka 40 niache kazi ya kuajiriwa nisubiri miezi sita nichukue hela yangu ya Nssf nijiajiri mwenyewe sasa kama mpango ndio utakua hivi serikali itakua imebaka haki yangu ya msingi
 
Hawa dawa yao ni ndogo sana, wafanya kazi wote ni kuungana na kuikataa hii mifuko yote, make waisha fanya watanzania ni wajinga,
Na ni bora mfanya kazi kumwambia mwajili wake hakuna kupeleka makato huko, ni bora kila mwezi ukabidhiwe kilocho kwako, na sijajua sheria zinasemaje kama mfanya kazi hayuko tiyali kuchangia achilia mbali mwajili wake akiwa tiyali,

HUKU ARUSHA NSSF WANANYAYUA MAJUMBA MAWILI KWA MPIGO NA YANA PANDA KWA SPEED YA AJABU,
 
Mkuu sio tetesi,hizi habari kwa walio jikoni walishajua kitambo....Mifuko ya Jamii kama NSSF na mengine imepata hasara sana kwa kujiingiza ktk Siasa!!kuna hasara ya mabilioni baada ya Serikali kukopa bila kurejesha!mifuko ipo Dhofili hali kifedha!...mradi wa Machinga Complex,Ujenz wa Udom umbayo NSSF Ilijuwa inaikopesha serikali wakati serikali imegeuka.'hali ni mbaya mbaya sana!Serikali inatunga sheria hii ili kubaka haki ya mfanyakaz masikini na isiaibike
 
Hakika tunaweza kusema ni kitanzi kwa wafanyakazi masikini wa Tanzania.Habari za kuaminika kutoka wizara ya fedha na mifuko mbalimbali ya kijamii zinasema serikali inajiandaa kupeleka mswada bungeni katika bunge lijalo kwamba ni sharti ufikishe miaka 55 ndipo uweze kupata mafao yako.
Kwa hivi sasa kama mfanyakazi ataacha kazi katika makampuni mbalimbali binafsi anaweza kupata pensheni yake ndani ya miezi sita.Hali ni hiyohiyo kama mfanyakazi ni mgonjwa anahitaji matibabu basi aweza kupata mafao yake.
Lakini kwa mswada huu mpya unaotarajiwa ukipitishwa mfanyakazi yeyote katika makampuni na mashirika mbalimbali hataweza tena kupata mafao yake hata kama ameacha kazi mpaka atakapofikisha miaka hiyo 55.
Habari zaidi zinasema mifuko hii ya kijamii hasa NSSF yamewekeza katika miradi mikubwa isiyo na faida na pia yamekuwa yakikopwa na serikali lakini inashindwa kulipa kwa wakati.Hali hii imesababisha fedha za wanachama kupukutika na njia pekee ya kuepuka aibu hii ni kuandaa mswada kama huu utakaoacha kilio kikuu kwa wafanyakazi nchini.

This is just a reaction to economic trouma. Kipindi hichi cha uchumi kukaa vibaya they expect wengi watatoka kwenye formal employment na watatengeneza pressure ya kutaka hela zao wakati hao jamaa wameshapeleka kuinvest sehemu mbalimbali.

Kufanya kazi nifanye mimi, then kuchukua hela nipangiwe ni lini. This is a joke to workers na ni tatizo la kutokuwa na vyama vyenye nguvu vya wafanyakazi.

I expect to see reaction from labour unions on this matter, otherwise something must be fundamentally wrong somewhere.
 
Nssf sasa lakini mbona ppf walishaanza hili 2002 walipotungiwa sheria kama hii, na baada ya hapo mataka akakimbizwa pale....
 
Jamani nssf wapo poa.according to the research by audit firm,inasema nssf wanaweza kujiendesha miaka 15 bila kupokea michango kwa wanachama na kuwalipa bila kufilisika.halafu leo hii unasema wamefilisika.nssf cyo serikali ya bongo na uwekezaji wao una manufaa kwa watz cyo ccm.


Duh hiyo kali ya mwaka!!! Kama hiyo ni kweli basi wanawaibia wateja wao. Hata nchi kama Canada ambko Pension fund ziko imara hawana huo uwezo. Then leo unaniambia NSSF wana uwezo wa kujiendesha for the next 15 year bila michango??? Nafikiri hiyo report ilipikwa.
 
Nssf sasa lakini mbona ppf walishaanza hili 2002 walipotungiwa sheria kama hii, na baada ya hapo mataka akakimbizwa pale....

naaanda maandamano ma..aa.maa.ee eeeeeee haaa nilikuwa napiga hesabu ya viji emu 50 dah serikali jinga kabisa duuuuuuuu
 
Tetesi zivumazo za sheria mpyaa kulinda aibu ya kufilisika NSSF shauri ya utoyoyo wa uwekezaji inanistua wallahi cheza na mimi usicheze na hela yangu Mura.
 
Back
Top Bottom