Spliffcharm
Senior Member
- Jun 21, 2020
- 124
- 344
Nauza kitanda mbao aina ya mninga cha ukubwa wa 6x6. Nmekitumia kwa muda wa miaka minne sasa. Nakitoa kwa bei ya kindugu kabisa na mwingine akaanze maisha. Napatikana mtoni kijichi mbagala kuu Temeke.
Bei ni 90,000Tshs maongezi yapo kidogo sana.
0673958899 Call/whatsapp.
Bei ni 90,000Tshs maongezi yapo kidogo sana.
0673958899 Call/whatsapp.