PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Wakuu,
Wakongwe kidogo kama mimi mnavikumbuka vitanda vya namna hii?
Mi nakumbuka tumevitumia sana enzi hizo, hata wazee wetu tulikuta wanavitumia!
Ninachojiuliza ni kuwa wazungu walikuwa na sababu gani kueneza vitanda vya namna hii kwa wingi huku Africa, wakati miti ya mbao ilikuwa kwa wingi nchini?...Au tuseme ilianza teknolojia ya chuma kwanza ndipo ikafuatia ya mbao?
Nashukuru Mungu zama hizo hatukuwa watundu kama walivyo dot.com wa leo, vinginevyo ingekuwa aibu majumbani!...Lol!
Wakongwe kidogo kama mimi mnavikumbuka vitanda vya namna hii?
Mi nakumbuka tumevitumia sana enzi hizo, hata wazee wetu tulikuta wanavitumia!
Ninachojiuliza ni kuwa wazungu walikuwa na sababu gani kueneza vitanda vya namna hii kwa wingi huku Africa, wakati miti ya mbao ilikuwa kwa wingi nchini?...Au tuseme ilianza teknolojia ya chuma kwanza ndipo ikafuatia ya mbao?
Nashukuru Mungu zama hizo hatukuwa watundu kama walivyo dot.com wa leo, vinginevyo ingekuwa aibu majumbani!...Lol!