Mwambwaro
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,495
- 2,126
shukran mkuu ntafatiliaNenda kwenye ofisi zao wilayani kwako, utapewa. Waambie kuwa ulishajiandikisha na kupigwa picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukran mkuu ntafatiliaNenda kwenye ofisi zao wilayani kwako, utapewa. Waambie kuwa ulishajiandikisha na kupigwa picha
Nenda ofisi za NIDA watakupatia utaratibu wa ku-renew 1 police loss report 2 andaa 20,000 ambazo watakupatia ac. ya kudeposit.Nami nimepoteza nikapewa utaratibu huo.Mimi Sina hata kitambulisho nitakipataje wadau nimewahi kwenda pale tabata shule kwenye ofisi zao wakadai kwamba zoezi kwa dar es salaam limesitishwa ilikuwa mwaka jana.mpaka Sasa sielewi niende wapi utaratibu wake ukoje
Chizi ni huyo rais wako..We chizi achana na mimi
Mimi Sina hata kitambulisho nitakipataje wadau nimewahi kwenda pale tabata shule kwenye ofisi zao wakadai kwamba zoezi kwa dar es salaam limesitishwa ilikuwa mwaka jana.mpaka Sasa sielewi niende wapi utaratibu wake ukoje
Mwaka na miezi 5Huku Arusha tunamaliza mwaka sasa hakuna jipya na tulishajiandikisha na kupigwa picha ila Bado havijatoka