Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,659
- 12,283
Heshima kwenu wakuu!
Nimepoteza kitambulisho cha taifa,na nimesharipoti polisi,ofisi ya NIDA hapa mkoani,na nimeshaenda benki kulipia 20k kwa ajili ya kupata kitambulisho kipya.
Swali Je ninawezaje kukipata kwa haraka,niende makao makuu ya NIDA? Kama ndio makao makuu yao yapo wapi kwa Dar?
Asanteni.
Nimepoteza kitambulisho cha taifa,na nimesharipoti polisi,ofisi ya NIDA hapa mkoani,na nimeshaenda benki kulipia 20k kwa ajili ya kupata kitambulisho kipya.
Swali Je ninawezaje kukipata kwa haraka,niende makao makuu ya NIDA? Kama ndio makao makuu yao yapo wapi kwa Dar?
Asanteni.