General_cholo
Member
- Jan 28, 2015
- 19
- 1
Kwa anayefahamu, taratibu za kupata kitambulisho kipya cha bima ya afya NHIF kama umepoteza cha zamani. Msaada plss ( aliyepoteza ni tegemezi)
Nenda office za bima hua pia zinapatikan hospital za wilaya na mikoa chukua form ujaze km ulivyojaza mwanzo taarifa zako zote ila hua unalipia km ckosei 15000Kwa anayefahamu, taratibu za kupata kitambulisho kipya cha bima ya afya NHIF kama umepoteza cha zamani. Msaada plss ( aliyepoteza ni tegemezi)
Nenda ofc ya bima chukua form ya utambulisho ijaze kisha ipeleke police utapewa loss report kisha unalipia benk(akaunti watakupa) kisha ndenda bima ukajaze fomu ya kuomba tenaKwa anayefahamu, taratibu za kupata kitambulisho kipya cha bima ya afya NHIF kama umepoteza cha zamani. Msaada plss ( aliyepoteza ni tegemezi)
Shukrani sana mkuuNenda ofc ya bima chukua form ya utambulisho ijaze kisha ipeleke police utapewa loss report kisha unalipia benk(akaunti watakupa) kisha ndenda bima ukajaze fomu ya kuomba tena
Shukrani mkuuNenda office za bima hua pia zinapatikan hospital za wilaya na mikoa chukua form ujaze km ulivyojaza mwanzo taarifa zako zote ila hua unalipia km ckosei 15000
nilitaka kuuliza hivo hivoKama nikitaka kujiunga binafsi gharama zinakuwa shilingi ngapi?
mimi nilimuombea mtu kupitia crdb bank ( ni agent wa NHIF) kitengo cha Insurance, nililipia elf 80,600. unakipata baada ya siku 40. ila ukienda kuomba NHIF nadhan ni 76800. unarenew kila baada ya mwaka 1.Kama nikitaka kujiunga binafsi gharama zinakuwa shilingi ngapi?