Kitambue chombo VOYAGER 1

Mimi naomba nikuulize swali dogo sana nimalize ubishi. Kama Dunia ni Flat na wewe sasa hivi umesimama Ubungo na unataka kuelekea upande wa South tu kwa ndege yako, Je? Mwisho wa safari hiyo utaishia wapi? Utaenda milele na milele huko Kusini?
Theory ya dunia duara inasema wazi, ukienda upande mmoja tu wa dunia bila kupinda basi mwisho utajikuwa upo palepale ulipoanzia maana unakuwa unazunguka kwenye duara.
Nipe jibu mkuu labda na mimi naweza kukuelewa
Mkuu huu uzi nilijibizana sana na watu jaribu kuzipitia comments zangu nadhani jibu la hiki swali utakikuta sehemu,ni vuzuri ukazisoma ili ukipata jibu uwe ushapata na mengine na jibu liweze ku-make sense,jibu la mkato peke yake litakuchanganya tu.

Lakini kwa kujazia nyama hili swali,niseme hili kuwa sisi waswahili tuna neno ulimwengu,kwa sasa ulimwengu linamaanisha universe labda,ila hatujui ni neno lipi lilokuja mwanzo kama ni universe au ulimwengu.
Kinadharia ulimwengu kwa sisi waswahili ni dunia ambayo haina mwisho, au kwa kiingereza ulimwengu ingemaanisha realm kwa usahihi,na realm ni Physical environment Ambayo haina mwisho kwa mtazamo wa aliemo ndani ya realm
 
Sisi Waafrika sisi, basi Mingu atusaidie, wakati tunawaza kuuana wenzetu wanawaza mbali
 
HATA KAMA ALIYAONGEA HAYANA UHAKIKA ILA ANGALAU AMEWEZA KUCHALLENGE VITU
How unaweza challenge kitu ambacho kina uhakika na mambo yasiyo na uhakika?

Unachallenge kwa mantiki ipi sasa?

Au unachallenge mradi unachallenge?

Muulize sababu ya kuchallenge kama atakujibu.
TULIVYOKARIRISHWA NA WAZUNGU.
HONGERA ZAKE
Mzungu hajakukaririsha bali umeamua wewe kukariri na si kuelewa.

Usiwalaumu wengine kwa makosa yako mkuu.
 
How unaweza challenge kitu ambacho kina uhakika na mambo yasiyo na uhakika?

Unachallenge kwa mantiki ipi sasa?

Au unachallenge mradi unachallenge?

Muulize sababu ya kuchallenge kama atakujibu.

Mzungu hajakukaririsha bali umeamua wewe kukariri na si kuelewa.

Usiwalaumu wengine kwa makosa yako mkuu.
Sasa kama unaona jamaa hayuko sahihi ndio inabidi umjibu maswali yake badala ya kutumia nguvu nyingi kuandika mipasho.
Hayo maneno yote uliyoyaandika katika mipasho ingetosha kabisa kumjibu jamaa maswali yake na kutoa obvious evidence.
 
sawa,ni hivi miili ya wanadamu ina mfumo wa survival mode, survival mode hii imejengeka kwenye mfumo wa hisia, tuna hisia ambazo ni sensitive sana,
Umejuaje kwamba binadamu ana survivor mode?

kiwa kwenye kitu chochite ambacho kina motion ya aina yeyote lazima utahisi hio motion,hata iwe ndogo sana,
Umejuaje kuhusu hili?

Na hiyo motion ndogo sana ni kiasi gani?
 
huu uzi wa zamani kidogo,uzi huu nilielezea mambo mengi sana jaribu kupitia comments zangu zote pengine utapata baadhi ya majibu unayouliza
Kwanza hakuna haja ya kuamini dunia ni duara. Ni sawasawa na kusema unaamini una mkono.
 
Sasa kama unaona jamaa hayuko sahihi ndio inabidi umjibu maswali yake badala ya kutumia nguvu nyingi kuandika mipasho.
Hayo maneno yote uliyoyaandika katika mipasho ingetosha kabisa kumjibu jamaa maswali yake na kutoa obvious evidence.
Mipasho ni nini?
Maswali gani aliyoniuliza?

Na hakuna sehemu ameniuliza swali mimi ili nimjibu bali mimi ndio nimemuuliza maswali.
 
Mipasho ni nini?
Maswali gani aliyoniuliza?

Na hakuna sehemu ameniuliza swali mimi ili nimjibu bali mimi ndio nimemuuliza maswali.
No ulitakiwa umjibu hoja zake kisha na wewe ndio uje kumuuliza maswali yako.
Sasa badala ya kujibu hoja zake wewe unamletea maswali ya kejeli.
Yaani wewe staili yako haina utofauti na sera za wapinzani,wanachukua sera za chama tawala kisha wanayapindua bila kutuambia wao watafanya nini tukiwapa nchi.
 
No ulitakiwa umjibu hoja zake kisha na wewe ndio uje kumuuliza maswali yako.
Sasa badala ya kujibu hoja zake wewe unamletea maswali ya kejeli.
Unajua kuhusu socratic questioning?
Yaani wewe staili yako haina utofauti na sera za wapinzani,wanachukua sera za chama tawala kisha wanayapindua bila kutuambia wao watafanya
Una hoja za kujibu sasa unaingizia siasa.
Mimi sio mwanasiasa.
 
kuna mambo mengi sana ya kuangalia ambayo yatakuonesha kuwa elimu yote ya space na uhalisi wa dunia ilivyo ni uongo

- wanasema dunia ipo duara kama chungwa lakini ndege zikiruka hazizunguki chungwa zinafika angani zinaweka cruising speed na zinakwenda straight hazilazi pua chini au juu kulizunguka chungwa ambayo ndio shepu ya dunia
-wanasema dunia ni shape ya chungwa kwa hio kila pahala patakuwa na mpindo ili kupata shepu ya chungwa kwa maana hio ukiwa dar zanzibar huwezi kuiona popote kwa maana itakuwa upande wa pili wa mpindo wa dunia na hii zipo formula zake ambayo kwa masafa ya dar to znz ni kama 44km mpindo wa maji ulikuwa uwe kama ulikuwa uwe atleast 60m
-pia hivi majuzi wamesema wanajiandaa ili waweze kutoka kwenye low-earth orbit na waweze kupeleka watu outer sapce wakati mwanzo wamesema washapeleka watu kwenye mwezi ambayo upo beyond low earth orbit.

-sifa moja kuu ya maji popote yalipo ni lazima yawe level,maji hayawezi kupinda kufanya duara,kwa hio hilo duara la dunia maji yanapinda vipi kuweka shepu ya duara,maji ni lazima yatafute level kwa namna yeyote ile,

gravity ni uzushi ,kama gravity ndio inayozuia vitu hapa duniani iweje ndege iliyo ndogo na nyepesi iweze kuishinda gravity na iruke wakati bahari iliyo kubwa sana nzito kuliko kitu chochote hapa duniani isiweze kuishinda gravity'
au kwanini gravity iruhusu mabofu yende angani wakati vitu vizito zaidi vipeshikwa na gravity


ki uhalisia hakuna aliyewahi kufika mwezini na mwezi haupo na ardhi kama ilivyo hapa duniani,sayari zote picha tunazoziona online sio halisi ni michoro tu, picha halisi hazipo clear kama wanavyoonesha hio michoro

mambo ni mengi sana ntarudia tena mengine
Nakubaliana na wewe kuhusu habari za mwezi lakini kuhusi maji kupinda na kwamba ndege ndogo zinaruka hapo itakuwa una walakin katika uelewa.Maji ya bahari yako vizuri na macho yako hayawezi kugundua kwani masafa ni marefu kuliko upeo wako.Na kuhusu ndege isingeweza kuruka kama isingekuwa na injini ya kuizidi nguvu hiyo kasi ya mlvuto wa dunia.Si unaona chungwa likidondoka kutoka mtini lazima lije chini.
 
UKIFUATILIA HUU UZI UTAGUNDUA WALIOFUATA VYETI CHUONI ILI WAPATE AJIRA NI WABISHI TU. SIKUSUDII KUMPINGA YEYOTE BALI NAKUSUDIA KUWAKUMBUSHA WALE WANAOKASHIFU BILA KUTAFUTA MANTIKI HIYO SIO ELIMU. ELIMU NI KUKITIA CHANGAMOTO KILE ULICHOAMINI UNAKIJUA. NJE YA MFUMO WA ELIMU KUNA CONCIPIRACY THEORIES NYINGI SANA. MARA YA MWISHO MIMI NAJUA TUMETANGAZIWA DUNIA SIO ROUND BALI NI OVAL(KAMA YAI). HII INALETA MANTIKI YA USO WA DUNIA KUWA FLAT. Ukitembea Dunia nzima na gari unaweza kuhisi ile miteremko ya kushuka upande wa pili wa Dunia (hasa ukiwa Afrika kuelekea Kusini) hii mantiki unaiona kabisa. UKiwa Ulaya ni kama Ulaya nzima iko Flat (ukitoa Norway na Kule Northpole). Kuna vitu kwa mantiki ya kawaida utaviona lakini endapo tu tutakubaliana na theory ya Dunia Kuwa OVAL! Ukitaka nijibu kwa elimu ya Kizungu nitakosa ushahidi. Nimeamua kujibu kwa mtazamo wa macho yangu na uzoefu wa kutembea. Kuhusu Jua Kipindi fulani Ulaya jua linachomoza na kuzama kwa masaa mawili tu. inafurahisha unapoamka saa nane usiku na kukuta jua kali limechomoza halafu saa kumi limeishazama. hii inaweza kuunga mkono ule mzunguko mfupi wa Northpole kulinganisah na Mzunguka wa kati. Kuna vitu havihitaji kukashifiana. Tuangalie tu elimu na mtazamo wa kawaida
 
How unaweza challenge kitu ambacho kina uhakika na mambo yasiyo na uhakika?

Unachallenge kwa mantiki ipi sasa?

Au unachallenge mradi unachallenge?

Muulize sababu ya kuchallenge kama atakujibu.

Mzungu hajakukaririsha bali umeamua wewe kukariri na si kuelewa.

Usiwalaumu wengine kwa makosa yako mkuu.

Mkuu hapa unaposema kuhusu how unaweza kuchallenge vitu vyenye ukakika sijui unakusudia vitu gani,

Katika mafundisho ya dunia na space hakuna vitu vyenye uhakika ambavyo vipo proven
Kwa mfano baadhi ya vitu visivyo na uhakika na havina proof mpaka Leo

-Gravity haina uhakika ni theory hakuna aliewahi kuthibitisha
-Mzunguko wa dunia ni theory hakuna aliewahi kuthibitisha
-Haijawahipo kuoneshwa practically vipi dongo kubwa kama dunia linaweza kuelea hewani na maji kuweza kuganda kulizunguka dongo wakati limo kwenye vacuum environment ambayo inasemwa space ni vacuum(non pressurized environment)
-hakuna proof ya vipi unaweza kuwa na pressurized environment na non pressurized pamoja bila ya kuwa physical barrier( hapa namasnisha dunia na outer space, dunia ni pressurized environment na outer space ni non pressurized environment, vipi unaweza kuviweka pamoja bila ya kuwa solid barrier

Hapa tuchukue mfano wa mtungi wa gesi, mtungi wa gesi ndio dunia kwa mfano,ndani ya mtungi kuna gesi na kinachoizuia gesi isitoke ni mtungi wa chuma ambao ni physically barrier, yaani atmosphere ya dunia ni pressurized gas na outer space ni non pressurized yaani hakuna pressure,baina ya dunia na outer space hakuna Physical barrier (kama ilivyo mtungi) inayoizuia gesi iliyopo duniani kutoka,Hii inaeezakana vipi.
vaccum ya space ni kubwa sana na ina nguvu kubwa ambayo ndio universe nzima na dunia ni ndogo sana kulingana na universe, vipi pressure ya dunia inaweza kuhimili mvuto wenye nguvu ya infinity ya universe bila ya kuzuiwa na kitu chochote,
Chukulia huo mfano wa mtungi wa gesi ukiwa una tundu na uvuje,gesi yote inatoka wakati baina ya dunia na space pako wazi na gesi haitoki duniani hii inawezekana vipi

Kwa ufupi mambo Yasiyo na uhakika ni mengi sana,kama utakuwa na muda wa kufikiri na kuitafiti,

hii elimu yote ni ya kukaririshwa tu na kuamini yote haina proof,ukiachana na hizo proof za kutengeza kama ambavyo tunaamini kuna proof ya outer sPace kwa sababu watu walikwenda mwezini,tunaamini dunia ni duara aina ya sayari kwa sababu watu walitua kwenye ardhi ya mwezi ambao tumeaminishwa kuwa ni duara aina ya sayari pia,yote hayo sio ukweli tufungue akili kidogo Mwezi hauna ardhi na hakuna anaweza kutua mwezini
Haya mambo ya kutafiti yapo mengi sana lakini lazma uwe na elimu uwezo wa kufikiri sana ili kuhimili utafiti
 
hapa kuna vipi tunajaribu kuviziba kwenye akili zetu,na mara nyingi hatutii akilini kwasababu haziwezi kuingia kwenye akili zetu,
hebu jaribu kuitia akilini distance
dunia nzima yote ina circumfrence ya 25000 miles (sio milioni)
halafu ufikirie mile milioni moja
kisha mile milioni tano,kisha mile milioni 100 kisha 500 milion miles
hizi distance sio za kuongea tu ni kubwa kuliko uwezo wa akili zetu

mpaka leo 2017 hakuna hata technologia moja inayoweza kutuma kitu chochote masafa hayo.na wala haitawahi kutokea milele technology ya aina hii,kwa sababu hizi distance zote sio za kweli,akili zetu zimefungwa sana tukaweza kuamini vitu hivi

hizi simu za mikono tunazotumia hapa savi zote zina minara killa baada ya 100km,ukitoka nje ya uwezo wa mnara hupati network,mawasiliano ya dunia nzima yanapatika kwa kutumia cables zilizo chini ya bahari na sio satelites za wireless kama watu wengi wanavyodhani

simu ikipigwa kutoka china kuja tz haziji moja kwa moja zikanasa anntena za tz, zinashika antenna za kwao huko kisha zinapitia kwenye wire ambazo zipo chini ya bahari na zinaleta mawasiliano kwenye antena ya tz na antena ya tz inaunganisha kwenye simu yako,hivi ndio mawasiliano yote yalivyo kila kitu mpaka internet yote. technology inayotumika ni ile ile ya zamani ya simu za majumbani, saivi wameweka antenna zenye nguvu za wireless kwa kutumia simu za mikono hio ndio tafauti.

kwanini hushangai kwanini mpaka leo africa bado hakuna internet yenye viwango kama nchi za nje kwa sababu internet zetu bado zinatumia line za simu ambazo ni slow saivi pengine ndio wanafanya mabadiliko ya kuweka cables za chini ya bahari kwa jili ya internet za viwango vya juu,kama interenet inatokana na satelites dunia nzima tungekuwa na internet speed ya aina moja mpaka vijijini kila pahala kungekuwa na network bila ya kutumia minara.
Nakuelewa sana
 
mafundisho yote haya ya kuwa dunia inaruka kwenye infinity space na jua liko mamilioni ya miles na mambo mengi sana walitufundisha tangu tuko wadogo hatuna fahamu pia kwenye ujana kutuekea masharti kuwa huwezi kupasi mitihani ya skuli na kimaisha mpaka ugandishe elimu hizi kwenye akili,sasa tumekuwa watu wazima tunachukulia kuwa yale yote ndio ukweli ulio sahihi, akili zetu hazina uwezo wa kuchanganua kitu tena na kufikiria mambo tafauti,macho na hisia zetu zinaona ukweli ulivyo lakini hatuziamini,tumebakia kuijenga dunia ndani ya akili zetu kutokana mafunzo tulopewa utotoni na hivyo ndio tunavyoishi.

ukweli ulivyo ni jinsi ya mambo tunavyo yaona kwa macho yetu,
-tunaona jua na mwezi na vimo ndani ya ukanda wa buluu wa mawingu na havijapishana kwa umbali wala size hivi ndi ilivyo lakini tumefunzwa tusiamini macho yetu

-tazama kiini macho hiki ati wanasema ukubwa wa jua ni mara 400 zaidi ya mwezi na vile vile jua liko mbali zaidi ya mwezi mara 400,jaribu kukitegua hiki kitendawili,, hapa wameweka mahesabu ya ku-justify kwanini mwezi na jua vinaonekana sawa sawa tunapovitazama angani,kwa hio kimoja wamekiwekea viwango vya ukubwa na umbali sawa sawa kwa maana hio ndio mana tunaviona tunaviona vipo sawa

-tunaziona ndege zinaruka na kutua uwanjani hazipati shida ya kuwa ardhi ya uwanja inazungukwa kwa rotation ya dunia,kama dunia inazunguka ndege kutua airport ingekuwa mtihani mkubwa manake uwanja ungekuwa in motion

-nyota tunazoziona angani ndio zile zile kila siku kila mwezi kila mwaka wakati solar system ina mzunguko around milkyway galaxy unamaliza kwa miaka milioni 320 (MILIONI 320 MIAKA) kwa speed ya 828,000 km/hr iweje tuone nyota zile zile na hayo masafa,speed tunayokwenda ni kubwa sana masafa ni makubwa ya ajabu sana lakini bado tupo katika maeneo yale yale maisha na kwa siku tunakwenda masafa ya 52milion km kwa siku moja

-miili yetu na hisia ni sensitive sana ku-detect motion hata iwe ndogo sana lakini tumefunzwa tusiamini hisia zetu,cha ajabu ni kuwa likitokea tetemeko la ardhi hatushangai wala hatukosei tukasema labda sio tetemeko ni dunia inasimama au inapunguza mwendo,tunajua moja kwa moja kuwa ni tetemeko la ardhi tu kwasababu ndani ya nyoyo zetu tunajua kuwa dunia haizunguki kwa hio mtikishiko wowote ni tetemeko la ardhi tu sio chengine chochote
Hii akili kubwa vichwa maji wa Jf wanaibeza bure
 
van allen belt ni ukanda wa magnetic field ambao upo juu umeizunguka dunia kwa maelezo yao, inaitwa belt kwa sifa hio ya ukanda uliozunguka dunia,

na kuhusu tafautiana time ya sehemu moja na nyengine hii ni subject yake peke yake ili uweze kuifahamu, cha kwanza kuelewa ni time ni nini hasa,whats is time exactly? time inasababishwa na nini,

kwa mitazamo yetu ya haraka tunapima time kwa kutumia jua linapochomoza na kutua na vile vile kisasa tunatumia saa
lakini jua linazama vipi na linachomoza vipi wakati dunia sio duara,wakati ikiwa hatulioni unapokuja usiku jua linakwenda wapi,hii kwanza tufahamu kuzama na kuchomoza kwa jua katika kila eneo,manake kila eneo lina time zake za kuzama na kuchomoza kwa jua.
kujua jua linachomoza vipi pasipokuwa na duara la dunia ni lazima ufahamu law of perspective, uwezo wetu wa kuona yaani vipi macho yetu yanaona
itazame hii picha ya chini hapo ichukulie wewe umesimama hapo mwanzo wa picha kisha unaangalia mwisho wa hii koridoo
kama utachunguza utaona sakafu inapanda na dari inashuka na kuta za pembeni zinajikunja kuja katu kadri ya koridoo inavozidi,mwisho wa koridoo hii kunakuwa kudogo sana yaani kumejikunja na hapa mwanzo pako kama kawaida,ki uhalisia hii koridoo iko sawa kuanzia mwanzo hapa mpaka mwsho kule yote ipo sawa lakini macho yetu ndio yanaona namna hii mwisho wa upeo wako kunakua kudogo mpaka kunatoweka kabisa

ichukulie hizo taa za juu hapo kama ndio jua linasafiri angani kwa namna unavyoliona wewe na macho yako,jua litakwenda mpaka mwisho wa upeo wako kwa hapa litazame linavyoshuka kuifata koridoo jua litaonekana kama linazama lakini kiuhalisia halizami ila linatoweka kwenye upeo wa macho yako tu kama huo mfano wa taa na hii koridoo,hivi ndio tunavyoona jua linazama au kuchomoza na tukazani linakwenda chini ya duara la dunia lakini uhalisi ni kuwa linazunguka juu ya uso wa dunia na sio kwenda chini
View attachment 462172
mzunguko huu wa jua juu ya uso wa dunia ndio unaosababisha time za kila maeneo kuwa tafauti baina ya maeneo kwa vile linapotoweka kwenye eneo letu tunapata magharibi na usiku kuingia na jua linaanza kuonekana kwenye maeneo mengine na hapo ndio wanapata alfajiri yao na mchana kenedelea kwa muangaza wa jua
Uko vizuri sana
 
Hahaha bwana Bwana ile propaganda ilikuwa simchezo .....ila duniani kuna watu ni waongo nyieeeee duuhhh!!!!
Wazungu kwa fix hutowaweza, swala la kufika mwezini ni uongo unaosadikika. Eti walivofika wakaweka bendela ikawa inapepea halafu pia walivokuwa kuwa wanafiki kwamba yule bwana Armstrong yeye mwenyewe alitanabaisha kusikia sauti ya Adhana. Watu wenye akili nyepesi waliamini
 
Back
Top Bottom