Kitambue chombo VOYAGER 1

Baada ya siku 16 kupita baada ya kurushwa voyager 1 ilirushwa nyingine hii ni Voyager 2 Lengo la hizi Space vehicles mbili ilikuwa ni kuchunguza sayari mbili Yani Jupiter na Saturn haswa Mwezi mkubwa unao orbit saturn uitwao Titan, Zilivomaliza mission hizo Ndio zikapanua wigo na kujogengea anga za mbali, Vifaa hivi bado vinatuletea Feedback kupitia Deep space Network
Mkuu nawezaje kupata deep network
 
mafundisho yote haya ya kuwa dunia inaruka kwenye infinity space na jua liko mamilioni ya miles na mambo mengi sana walitufundisha tangu tuko wadogo hatuna fahamu pia kwenye ujana kutuekea masharti kuwa huwezi kupasi mitihani ya skuli na kimaisha mpaka ugandishe elimu hizi kwenye akili,sasa tumekuwa watu wazima tunachukulia kuwa yale yote ndio ukweli ulio sahihi, akili zetu hazina uwezo wa kuchanganua kitu tena na kufikiria mambo tafauti,macho na hisia zetu zinaona ukweli ulivyo lakini hatuziamini,tumebakia kuijenga dunia ndani ya akili zetu kutokana mafunzo tulopewa utotoni na hivyo ndio tunavyoishi.

ukweli ulivyo ni jinsi ya mambo tunavyo yaona kwa macho yetu,
-tunaona jua na mwezi na vimo ndani ya ukanda wa buluu wa mawingu na havijapishana kwa umbali wala size hivi ndi ilivyo lakini tumefunzwa tusiamini macho yetu

-tazama kiini macho hiki ati wanasema ukubwa wa jua ni mara 400 zaidi ya mwezi na vile vile jua liko mbali zaidi ya mwezi mara 400,jaribu kukitegua hiki kitendawili,, hapa wameweka mahesabu ya ku-justify kwanini mwezi na jua vinaonekana sawa sawa tunapovitazama angani,kwa hio kimoja wamekiwekea viwango vya ukubwa na umbali sawa sawa kwa maana hio ndio mana tunaviona tunaviona vipo sawa

-tunaziona ndege zinaruka na kutua uwanjani hazipati shida ya kuwa ardhi ya uwanja inazungukwa kwa rotation ya dunia,kama dunia inazunguka ndege kutua airport ingekuwa mtihani mkubwa manake uwanja ungekuwa in motion

-nyota tunazoziona angani ndio zile zile kila siku kila mwezi kila mwaka wakati solar system ina mzunguko around milkyway galaxy unamaliza kwa miaka milioni 320 (MILIONI 320 MIAKA) kwa speed ya 828,000 km/hr iweje tuone nyota zile zile na hayo masafa,speed tunayokwenda ni kubwa sana masafa ni makubwa ya ajabu sana lakini bado tupo katika maeneo yale yale maisha na kwa siku tunakwenda masafa ya 52milion km kwa siku moja

-miili yetu na hisia ni sensitive sana ku-detect motion hata iwe ndogo sana lakini tumefunzwa tusiamini hisia zetu,cha ajabu ni kuwa likitokea tetemeko la ardhi hatushangai wala hatukosei tukasema labda sio tetemeko ni dunia inasimama au inapunguza mwendo,tunajua moja kwa moja kuwa ni tetemeko la ardhi tu kwasababu ndani ya nyoyo zetu tunajua kuwa dunia haizunguki kwa hio mtikishiko wowote ni tetemeko la ardhi tu sio chengine chochote
Apana kaka apa Naanza kuona kuwa una hoja za msingi kabisa ngoja niendelee kukufatilia baada ya muda na mimi natoa mrejesho wangu lakini naziona hoja zako za msingi kabisa zenjbar big up kaka endelea ivyo ivyo kuifungua akili yako
 
mafundisho yote haya ya kuwa dunia inaruka kwenye infinity space na jua liko mamilioni ya miles na mambo mengi sana walitufundisha tangu tuko wadogo hatuna fahamu pia kwenye ujana kutuekea masharti kuwa huwezi kupasi mitihani ya skuli na kimaisha mpaka ugandishe elimu hizi kwenye akili,sasa tumekuwa watu wazima tunachukulia kuwa yale yote ndio ukweli ulio sahihi, akili zetu hazina uwezo wa kuchanganua kitu tena na kufikiria mambo tafauti,macho na hisia zetu zinaona ukweli ulivyo lakini hatuziamini,tumebakia kuijenga dunia ndani ya akili zetu kutokana mafunzo tulopewa utotoni na hivyo ndio tunavyoishi.

ukweli ulivyo ni jinsi ya mambo tunavyo yaona kwa macho yetu,
-tunaona jua na mwezi na vimo ndani ya ukanda wa buluu wa mawingu na havijapishana kwa umbali wala size hivi ndi ilivyo lakini tumefunzwa tusiamini macho yetu

-tazama kiini macho hiki ati wanasema ukubwa wa jua ni mara 400 zaidi ya mwezi na vile vile jua liko mbali zaidi ya mwezi mara 400,jaribu kukitegua hiki kitendawili,, hapa wameweka mahesabu ya ku-justify kwanini mwezi na jua vinaonekana sawa sawa tunapovitazama angani,kwa hio kimoja wamekiwekea viwango vya ukubwa na umbali sawa sawa kwa maana hio ndio mana tunaviona tunaviona vipo sawa

-tunaziona ndege zinaruka na kutua uwanjani hazipati shida ya kuwa ardhi ya uwanja inazungukwa kwa rotation ya dunia,kama dunia inazunguka ndege kutua airport ingekuwa mtihani mkubwa manake uwanja ungekuwa in motion

-nyota tunazoziona angani ndio zile zile kila siku kila mwezi kila mwaka wakati solar system ina mzunguko around milkyway galaxy unamaliza kwa miaka milioni 320 (MILIONI 320 MIAKA) kwa speed ya 828,000 km/hr iweje tuone nyota zile zile na hayo masafa,speed tunayokwenda ni kubwa sana masafa ni makubwa ya ajabu sana lakini bado tupo katika maeneo yale yale maisha na kwa siku tunakwenda masafa ya 52milion km kwa siku moja

-miili yetu na hisia ni sensitive sana ku-detect motion hata iwe ndogo sana lakini tumefunzwa tusiamini hisia zetu,cha ajabu ni kuwa likitokea tetemeko la ardhi hatushangai wala hatukosei tukasema labda sio tetemeko ni dunia inasimama au inapunguza mwendo,tunajua moja kwa moja kuwa ni tetemeko la ardhi tu kwasababu ndani ya nyoyo zetu tunajua kuwa dunia haizunguki kwa hio mtikishiko wowote ni tetemeko la ardhi tu sio chengine chochote
Hongera na mimi imefungua akili yangu
 
miili yetu na hisia ni sensitive sana ku-detect motion hata iwe ndogo sana lakini tumefunzwa tusiamini hisia zetu,
Yaani unaamini miili yetu ina hisia sensitive lakini huamini kana dunia ni duara?

Prove miili yetu ina hisia sensitive.

Na unatumia Google map sasa niambia ile Google map inafanya vipi kazi...?
 
Yaani unaamini miili yetu ina hisia sensitive lakini huamini kana dunia ni duara?

Prove miili yetu ina hisia sensitive.

Na unatumia Google map sasa niambia ile Google map inafanya vipi kazi...?

huu uzi wa zamani kidogo,uzi huu nilielezea mambo mengi sana jaribu kupitia comments zangu zote pengine utapata baadhi ya majibu unayouliza
 
huu uzi wa zamani kidogo,uzi huu nilielezea mambo mengi sana jaribu kupitia comments zangu zote pengine utapata baadhi ya majibu unayouliza
Nadhani umejishtukia kwamba ulikuwa hauko sahihi now najua huwezi kujibu maswali yangu kwa mitazamo yako sababu haina uhusiano na uhalisia.
 
Nadhani umejishtukia kwamba ulikuwa hauko sahihi now najua huwezi kujibu maswali yangu kwa mitazamo yako sababu haina uhusiano na uhalisia.
Mambo nimeeleza mengi sana kwenye huu uzi ungezipitia comments zangu tu, lakini kama ipo haja ya kufafanua swali lako sawa,ni hivi miili ya wanadamu ina mfumo wa survival mode, survival mode hii imejengeka kwenye mfumo wa hisia, tuna hisia ambazo ni sensitive sana,ukiwa kwenye kitu chochite ambacho kina motion ya aina yeyote lazima utahisi hio motion,hata iwe ndogo sana, na mengine kama Harufu,macho na vitu kama hivyo.
Kwa hio tukisema dunia inazunguka kwa speed za ajabu sana na hatuwezi kuzihisi au kuona ishara zake popote hii kwangu haingii akilini hata kidogo
 
766px-Voyager.jpg

Ni chombo cha kisayansi kilichorushwa na shirika la maswala ya anga NASA mwaka 1977,kusudi la kurushwa chombo hiki ni kwaajili ya kupeleleza anga ndani na nje ya mfumo wetu wa jua.

Voyager 1 mpaka sasa kiko umbali wa kilometa billion 18.35 kutoka duniani,mwaka 2012 chombo hicho kilipita mzingo wa pluto ambapo ndo kunaaminika ndio mwisho wa mfumo wa solar system yetu,kwamaana hiyo kipo nje ya mfumo wa jua letu!

Pia mwanga wa jua unahitaji zaidi ya masaa 17 kufikia chombo hicho ambapo umbali toka jua mpaka ilipo voyager ni km billion 19 na kitu.
Kifaa hiki kinatumia madini ya uranium kujizalishia umeme ili kiweze kujiendesha na itakapofika mwaka 2020 madini hayo yanatarajiwa kuisha hivyo kitastop na itakuwa ndo mwisho wake wa kufanya kazi!

Lakini pia kifaa hicho kimeekewa DNA za binadamu endapo ikitokea viumbe wengine kukipata wanaweza gundua kuwa kuna viumbe wengine mahala fulani.

hiyo ndo voyager 1 unaweza ongezea
Aisee kinafanya kazi Kama tundu Lissu wallahhhhh
 
kuna mambo mengi sana ya kuangalia ambayo yatakuonesha kuwa elimu yote ya space na uhalisi wa dunia ilivyo ni uongo

- wanasema dunia ipo duara kama chungwa lakini ndege zikiruka hazizunguki chungwa zinafika angani zinaweka cruising speed na zinakwenda straight hazilazi pua chini au juu kulizunguka chungwa ambayo ndio shepu ya dunia
-wanasema dunia ni shape ya chungwa kwa hio kila pahala patakuwa na mpindo ili kupata shepu ya chungwa kwa maana hio ukiwa dar zanzibar huwezi kuiona popote kwa maana itakuwa upande wa pili wa mpindo wa dunia na hii zipo formula zake ambayo kwa masafa ya dar to znz ni kama 44km mpindo wa maji ulikuwa uwe kama ulikuwa uwe atleast 60m
-pia hivi majuzi wamesema wanajiandaa ili waweze kutoka kwenye low-earth orbit na waweze kupeleka watu outer sapce wakati mwanzo wamesema washapeleka watu kwenye mwezi ambayo upo beyond low earth orbit.

-sifa moja kuu ya maji popote yalipo ni lazima yawe level,maji hayawezi kupinda kufanya duara,kwa hio hilo duara la dunia maji yanapinda vipi kuweka shepu ya duara,maji ni lazima yatafute level kwa namna yeyote ile,

gravity ni uzushi ,kama gravity ndio inayozuia vitu hapa duniani iweje ndege iliyo ndogo na nyepesi iweze kuishinda gravity na iruke wakati bahari iliyo kubwa sana nzito kuliko kitu chochote hapa duniani isiweze kuishinda gravity'
au kwanini gravity iruhusu mabofu yende angani wakati vitu vizito zaidi vipeshikwa na gravity


ki uhalisia hakuna aliyewahi kufika mwezini na mwezi haupo na ardhi kama ilivyo hapa duniani,sayari zote picha tunazoziona online sio halisi ni michoro tu, picha halisi hazipo clear kama wanavyoonesha hio michoro

mambo ni mengi sana ntarudia tena mengine
Uvccmccvcv
 
ZENJIBARIA MKUU ADA YA BABA YAKO ULIITUMIA KIHALALI BILA KUJALI UYASEMAYO NI KWELI AU LA.JAPO NIPO NA WEWE KWA ASILIMIA 80 NA ZAIDI.DUNIA HAIJAWAHI KUZUNGUKA.
HATA MIMI NISIWE MNAFKI JAMAA NI GENIUS SANA.
HATA KAMA ALIYAONGEA HAYANA UHAKIKA ILA ANGALAU AMEWEZA KUCHALLENGE VITU TULIVYOKARIRISHWA NA WAZUNGU.
HONGERA ZAKE
 
Mambo nimeeleza mengi sana kwenye huu uzi ungezipitia comments zangu tu, lakini kama ipo haja ya kufafanua swali lako sawa,ni hivi miili ya wanadamu ina mfumo wa survival mode, survival mode hii imejengeka kwenye mfumo wa hisia, tuna hisia ambazo ni sensitive sana,ukiwa kwenye kitu chochite ambacho kina motion ya aina yeyote lazima utahisi hio motion,hata iwe ndogo sana, na mengine kama Harufu,macho na vitu kama hivyo.
Kwa hio tukisema dunia inazunguka kwa speed za ajabu sana na hatuwezi kuzihisi au kuona ishara zake popote hii kwangu haingii akilini hata kidogo
Mimi naomba nikuulize swali dogo sana nimalize ubishi. Kama Dunia ni Flat na wewe sasa hivi umesimama Ubungo na unataka kuelekea upande wa South tu kwa ndege yako, Je? Mwisho wa safari hiyo utaishia wapi? Utaenda milele na milele huko Kusini?
Theory ya dunia duara inasema wazi, ukienda upande mmoja tu wa dunia bila kupinda basi mwisho utajikuwa upo palepale ulipoanzia maana unakuwa unazunguka kwenye duara.
Nipe jibu mkuu labda na mimi naweza kukuelewa
 
Duuh,bado una kazi sana ya kusafisha ubongo wako.Biblia yenyewe ina kiri kuwa Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana,inakiri kuwa aliumba mianga hapa kwenye mianga pana siri kubwa science ndio inajaribu kutufumbulia hizo siri
hakuna voyager wala hakuna space exploration hizi zote ni propanganda za uongo mtupu,yote haya ni makatuni ya kuchora,picha zote za space sio za kweli na picha za dunia zote zilizo online zote ni uongo mtupu zote za kuchora hakuna picha ya dunia iliyo kweli,tunavyosomeshwa ni propaganda tu hali halisi ya dunia ilivyo haijasemwa ndio maana tunaaminishwa hizi fantasy
 
Back
Top Bottom