Kitakwimu UKAWA muungano wenu ume prove failure kwenye uchaguzi huu

hakuna hata anayeongelea lowassa kura zake za vyuo vikuu peke yake ni zaid ya mil 1 ambazo zingemuwezesha kushinda urais....... TZ tunaitaj maombi yanayoendana na kufunga kwa mwez mzima kujielewa!!!
 
kwa hali hii wote mnaoshabikia ccm baada ya miaka mitano nategemea mtakuja kuongelea mprovement kwenye kila secta kama afya(kuongezeka kwa hospital bora zinazotoa huduma bora na wafanyakazi wengi),elimu(kuinuka kwa kiwango cha elimu,ajira kwa waalimu wanaotosheleza,mitaala na miundombinu bora za shule),maji safi na salama,transport na communication bila kusahau rushwa na ufisadi.mkifanikiwa hayo kwa miaka mi5 basi mtastahili kubaki madarakani...otherwise mtakuwa mmeprove failure kuliko any political party in africa...u have all resources u need...yetu macho
 
Gia ya angani ilibadilisha fikra za wengi, including me. Huwezi kuaminisha watu kwa miaka nane kuwa fulani ni mwizi wa kuchomwa moto, then miezi miwili kufikia uchaguzi unamchukua huyo mtu apeperushe bendera yako. Lazima wanaojitambua wataona unacheza na fikra zao na watakupiga chini.

Katika kuongea kwangu na watu, wengi hilo limewakatisha tamaa na hata kura walizigawa sana. Hilo ni kosa la Mbowe, kafanya mambo kwa interest zake binafsi bila kufikiria impact kwa wapiga kura wanaojielewa...
Mbowe anatamaa ndiyo maana anataka kuanzisha vita. Ila naamini JK anajua cha kuwafanya mpaka sasa
 
kwa hali hii wote mnaoshabikia ccm baada ya miaka mitano nategemea mtakuja kuongelea mprovement kwenye kila secta kama afya(kuongezeka kwa hospital bora zinazotoa huduma bora na wafanyakazi wengi),elimu(kuinuka kwa kiwango cha elimu,ajira kwa waalimu wanaotosheleza,mitaala na miundombinu bora za shule),maji safi na salama,transport na communication bila kusahau rushwa na ufisadi.mkifanikiwa hayo kwa miaka mi5 basi mtastahili kubaki madarakani...otherwise mtakuwa mmeprove failure kuliko any political party in africa...u have all resources u need...yetu macho
Wewe ni lofa. Lowasa ni fisadi na mwizi alitakiwa kuuawa kwa kuchomwa moto. Dr Magufuli hata asipoleta mabadiliko ila yeye ni mwadilifu
 
unachokiongea hujui wewe!!




Ninaamini kwa mwenye kufikiri sawasawa lazima atakubali kwamba katika Africa hakuna kama CCM kwasababu.

Kimsingi lengo la kuungana kwa vyama vya upinzani ilikua ni kutozitawanya kura ili muweze kushinda kirahisi.

Pamoja na kuungana kwenu lakini ushindi unaojitokeza haulingani kabisa na idadi ya vyama vyenu vilivyoungana.
Vijana wakileo husema"msuli tembo matokeo sisimizi"

Pamoja na kuungana kwenu lakini bado kuna majimbo mmeshindwa kabisa kuambulia hata diwani mmoja.

Na ukizama hata majimbo mengine mmeshinda kwa ushindi mwembamba sana mfano Temeke.

Ukitizama dira kwa jinsi matokeo yanavyoendelea kutoka utagundua bado CCM itashinda kwa zaidi ya 60% ushindi ambao hautopishana sana na ushindi ambao CCM ilijipatia 2010.

Kuna kila sababu yakusema kwamba Muungano wenu ume prove failure.
 
Swali la msingi la kujiuliza, kwanini maeneo yote masikini kwa hali, elimu duni, miundo mbinu ya hovyo na mambo yote yasiyoendana na Ulimwengu wa sasa CCM imeonekana kukubalika kuanzia Udiwani, Ubunge hadi Urais?
Kama ukiweka mapenzi ya chama pembeni na kufanya study ya kutosha utapata jibu. Mwanza iache katika orodha hiyo kwa vile inajulikana wazi hawakuichagua CCM bali wamepewa CCM kwa nguvu.
 
CCM haiwezi kuishi kwa furaha kwa ushindi wa wizi, hila na upotofu.

CCM ni kama mwanafunzi aliyepata cheti baada ya kuiba mitihani. Inapofika kwenye utendaji...tutaanza kuhoji...huyu mbona hafanani na elimu yake? Mbona amekuwa mzigo huyu?
 
kwa hali hii wote mnaoshabikia ccm baada ya miaka mitano nategemea mtakuja kuongelea mprovement kwenye kila secta kama afya(kuongezeka kwa hospital bora zinazotoa huduma bora na wafanyakazi wengi),elimu(kuinuka kwa kiwango cha elimu,ajira kwa waalimu wanaotosheleza,mitaala na miundombinu bora za shule),maji safi na salama,transport na communication bila kusahau rushwa na ufisadi.mkifanikiwa hayo kwa miaka mi5 basi mtastahili kubaki madarakani...otherwise mtakuwa mmeprove failure kuliko any political party in africa...u have all resources u need...yetu macho

Watu waliwaelewa sana hapo nyuma kama hamtambui,wa tz waliamini kabisa pasina shaka yoyote juu ya mnayoyasema na waliamini kabisa kwamba mngeweza kua muarubaini wa hizi changamoto hasa ufisadi.
Lakini once mlipo mkaribisha lowasa tu ndipo wa tz nao japo si wote lakini kwa wale waliokua nusu CCM nusu UKAWA wakarudi nyuma.
Huenda mlitumia ule usemi"dawa ya moto ni moto",yaani ufisadi utaondolewa na fisadi mkuu,Narudia na sitoacha kuwaambia msilalamike uchaguzi huu mmeanza vizuri lakini kutokana na uroho wa pesa wa baadhi ya viongozi wenu mkamaliza vibaya.
Hemu tujiulize kanda ya ziwa ilikua ni miongoni mwa ngome yenu ambayo kwa sasa si hivyo tena,hivi kama uchaguzi huu kanda ya ziwa ingeendelea kua ngome ya UKAWA ingekuaje?
 
Yeah faraja kiasi lakini sio lengo, lengo lilikuwa ni LOWASSA...

Lengo halikuwa Lowassa tu, hata 2010 Dr Slaa alishindwa CDM iliendelea kuwepo, 2005 Mbowe alishindwa CDM iliendelea kuwepo na kuimarika zaidi katika kila chaguzi. Hivi sasa CDM na Ukawa wataongoza halmashauri nyingi zaidi kuliko wakati mwingine wowote. Hilo ni pigo kubwa sana kwa CCM.
 
Gia ya angani ilibadilisha fikra za wengi, including me. Huwezi kuaminisha watu kwa miaka nane kuwa fulani ni mwizi wa kuchomwa moto, then miezi miwili kufikia uchaguzi unamchukua huyo mtu apeperushe bendera yako. Lazima wanaojitambua wataona unacheza na fikra zao na watakupiga chini.

Katika kuongea kwangu na watu, wengi hilo limewakatisha tamaa na hata kura walizigawa sana. Hilo ni kosa la Mbowe, kafanya mambo kwa interest zake binafsi bila kufikiria impact kwa wapiga kura wanaojielewa...

mleta mada kasema vizuri umeshindwa tu kumuelewa.Kama Fisadi Edwad lowasa ulikuwa humtaki kama mimi kichwa kikubwa basi wape ushindi madiwani na wabunge wa ukawa kama nilivyompigia udiwani na ubunge wa ukawa na kufanikiwa kumpitisha udiwani wa ukawa na najisikia faraja ktk kata yangu.Japokuwa kwenye ubunge kuna figisu zimechezwa na magamba.
 
Last edited by a moderator:
mleta mada kasema vizuri umeshindwa tu kumuelewa.Kama Fisadi Edwad lowasa ulikuwa humtaki kama mimi kichwa kikubwa basi wape ushindi madiwani na wabunge wa ukawa kama nilivyompigia udiwani na ubunge wa ukawa na kufanikiwa kumpitisha udiwani wa ukawa na najisikia faraja ktk kata yangu.Japokuwa kwenye ubunge kuna figisu zimechezwa na magamba.
Nimefanya hivyo kiongozi, uraisi tu ndio nilitoa nje ya upinzani. Nilitaka bunge liwe balanced. Bahati mbaya sana hata bunge letu litakuwa na majority CCM, sikutaka iwe hivyo.
 
Watz tunamatatizo makubwa kichwani kuliko matatizo tunayoyaona kwa macho,ni ujinga na ni upumbavu uliochanganyika na ulofa ndo unaoweza ukakufanya kumchagua mtu yule yule kutoka chama kile kile chenye ilani ile ile na inatumika katiba ile ile kwa muda wote halafu unasubiria mabadiliko. Bora ya wale wa kanda ya Ziwa wenye sababu zilizo wazi zisizo na mashiko .................( kwenye maofisi mengi na huduma za kijamii baadhi ya jamii yanaangalia sana hizi sababu utasikia huyu wa kule kule) ambapo kwao wao hoja ya maendeleo,mambo ya kimataifa na mengineyo si kipaumbele chao.
 
Gia ya angani ilibadilisha fikra za wengi, including me. Huwezi kuaminisha watu kwa miaka nane kuwa fulani ni mwizi wa kuchomwa moto, then miezi miwili kufikia uchaguzi unamchukua huyo mtu apeperushe bendera yako. Lazima wanaojitambua wataona unacheza na fikra zao na watakupiga chini.

Katika kuongea kwangu na watu, wengi hilo limewakatisha tamaa na hata kura walizigawa sana. Hilo ni kosa la Mbowe, kafanya mambo kwa interest zake binafsi bila kufikiria impact kwa wapiga kura wanaojielewa...
Umenisemea na mimi mkuu.
 
Uwiano wako ukilinganisha na kipindi gani kuonyesha kua upinzani umeprove failure?
 
Ninaamini kwa mwenye kufikiri sawasawa lazima atakubali kwamba katika Africa hakuna kama CCM kwasababu.

Kimsingi lengo la kuungana kwa vyama vya upinzani ilikua ni kutozitawanya kura ili muweze kushinda kirahisi.

Pamoja na kuungana kwenu lakini ushindi unaojitokeza haulingani kabisa na idadi ya vyama vyenu vilivyoungana.
Vijana wakileo husema"msuli tembo matokeo sisimizi"

Pamoja na kuungana kwenu lakini bado kuna majimbo mmeshindwa kabisa kuambulia hata diwani mmoja.

Na ukizama hata majimbo mengine mmeshinda kwa ushindi mwembamba sana mfano Temeke.

Ukitizama dira kwa jinsi matokeo yanavyoendelea kutoka utagundua bado CCM itashinda kwa zaidi ya 60% ushindi ambao hautopishana sana na ushindi ambao CCM ilijipatia 2010.

Kuna kila sababu yakusema kwamba Muungano wenu ume prove failure.

Umeshawahi fanya utafiti? If yes ungetuambia last election idadi ya kura za rais na viti vya ubunge ni X na baada ya uchaguzi ni Y so kumekuwa na ongezeko au kushuka kwa kiasi Z.
 
Umeshawahi fanya utafiti? If yes ungetuambia last election idadi ya kura za rais na viti vya ubunge ni X na baada ya uchaguzi ni Y so kumekuwa na ongezeko au kushuka kwa kiasi Z.

Ukitaka kumtawala mtu kadri upendavyo mfanye maskini, mnyime pesa atakutumikia maisha yake yote, atakulamba miguu mda wote. Mikoa yenye umaskini wa kutupa uliosababishwa na ccm hawatakaa wabadilike kamwe na wataendelea kuwa maskini tu. Kama watu walikuwa wanamkataa lowasa basi hata madiwani tu wanashindwa, wabunge wa upinzani wanashindwa. Poor Njombe, Ruvuma, Rukwa, Katavi, Mwanza, Shinyanga, Dodoma, Pwani,Singida mtaendelea kulaumu oo mikoa ya kaskazini inapendelewa tuu.




Ni kweli kwani hata mkoa wa kilimanjaro maeneo yenye maskini na umaskini mkubwa ndio walioichagua CCM mfano Mwanga na Same Mashariki. Hata hivyo Mwanga Prof. Maghembe alishindwa tatizo lilikua NCCR kuharibu na kusimamisha mgombea wake hivyo kugawana kura za ukawa.
 
Ninaamini kwa mwenye kufikiri sawasawa lazima atakubali kwamba katika Africa hakuna kama CCM kwasababu.

Kimsingi lengo la kuungana kwa vyama vya upinzani ilikua ni kutozitawanya kura ili muweze kushinda kirahisi.

Pamoja na kuungana kwenu lakini ushindi unaojitokeza haulingani kabisa na idadi ya vyama vyenu vilivyoungana.
Vijana wakileo husema"msuli tembo matokeo sisimizi"

Pamoja na kuungana kwenu lakini bado kuna majimbo mmeshindwa kabisa kuambulia hata diwani mmoja.

Na ukizama hata majimbo mengine mmeshinda kwa ushindi mwembamba sana mfano Temeke.

Ukitizama dira kwa jinsi matokeo yanavyoendelea kutoka utagundua bado CCM itashinda kwa zaidi ya 60% ushindi ambao hautopishana sana na ushindi ambao CCM ilijipatia 2010.

Kuna kila sababu yakusema kwamba Muungano wenu ume prove failure.




Aminu usiamini kama Lowasa asingegombea kupitia ukawa CCM kupitia Magufuli wangeshinda kwa zaidi ya 95% na wabunge wa upinzani wasingezidi 20 ,yaani bara angekua ni Sugu na zito Kabwe pekee.
UKAWA na Lowasa ndio walioipa CCM wakati mgumu mpaka wakaamua kuhubiri siasa za ukabila na matuasi .
Ndio maana kabla ya Lowasa kuhamia upinzani CCM na Magufuli walikua wanasubiri tu kuapishwa bila hta kampeni.
 
Tatizo la nchi yetu ina watu wanaoshauri kuliko watendaji! kuanzia Siasa,Michezo mpaka Uchumi. Hivi mnafikiri ni kazi rahisi kufanya siasa za upinzani Tanzania? Mawaziri Sita wameanguka bado unasema Upinzani umefail? Kaichukue TLP au UDP tuone maana wahusika wakuu wameishiwa pumzi.
 
Back
Top Bottom