johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,852
- 141,786
- Thread starter
- #41
Mwendazake mnamsingizia tu.Anayetakuwa kubeba lawama zote,ni Mwendazake,picha lite alilifanya yeye ili kuzihadaa jumuia za kimataifa,
Baada ya kukatika nguzo Ndugai amebaki peke yake hajui pa kuanzia.
Cecil Mwambe na Lijualikali ilikuwaje kwani?