johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,719
- 141,581
Uwepo wa Halima Mdee na wenzake bungeni msingi wake ni barua ambayo Chadema wameikana kuiandika wao yenye majina ya wanawake 19 waliopelekwa bungeni.
Mchawi wa CHADEMA ni Tume ya uchaguzi wala siyo ofisi ya Spika wa bunge Mh Job Ndugai.
Kama Mdee na wenzake walighushiwa barua ya kuwaingiza Bungeni basi akina mama hawa ni hatari kwa usalama wa nchi yetu na haya mambo baba wa taifa aliyakemea sana.
Suala la mihtasari kwenye kosa lililo wazi ni mambo ya kijima.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!
Mchawi wa CHADEMA ni Tume ya uchaguzi wala siyo ofisi ya Spika wa bunge Mh Job Ndugai.
Kama Mdee na wenzake walighushiwa barua ya kuwaingiza Bungeni basi akina mama hawa ni hatari kwa usalama wa nchi yetu na haya mambo baba wa taifa aliyakemea sana.
Suala la mihtasari kwenye kosa lililo wazi ni mambo ya kijima.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!