Kitakachommaliza Mama ni Uzanzibari tu na sio kingine. Hizi kelele zote ni geresha tu, tatizo ni Uzanzibari

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,433
17,070
Changamoto kubwa itakayomkabili Samia Suluhu ni Uzanzibari wake.

Makundi mengi ndani ya CCM hayapendezwi Tanzania kuongozwa na wazanzibari wote, yaani Rais wa Muungano ni Mzanzibari na Rais wa Zanzibar Mzanzibari, hapo ndio kuna mzizi wa fitina.

Juzi nilikuwa na watu fulani wenye inside information, wanasema mama anajaza wazanzibari kwenye Serikali ya Muungano kinyume cha utaratibu, kwa mfano, wanasema Magufuli alikosea kumteua Mbarawa kuwa waziri kwenye wizara isiyo ya Muungano, mama amerudia kosa lile lile kwa maksudi kabisa huku akijua ni kosa, yaani ana justify kosa kwa kosa la mwenzake, kwamba kama mtu aliiba na hakukamatwa kwanini na wewe usiibe?

Sio hilo tu, kwamba kwenye teuzi nyingi za maded, nk amewaingiza wazanzibari kibao kinyume cha Katiba.

Zamani wazanzibari ndio walikuwa wanalalamika kuonewa kwenye Muungano, sasa watanganyika ndio wanaolalamika.

Viongozi wengi wa CCM kinachowauma ni Mzanzibari kufanya maamuzi ya mikopo kwa niaba ya watanganyika, hilo ndio linawauma ndio maana unaona Bwana Job amejitokeza kusema tunakopa mikopo mikubwa isiyo eleweka, hoja iko hapo, Uzanzibari.

Kilichopo sasa ni kuhakikisha mama hagombei 2025 bali agombee mtanganyika, haiwezekani Zanzibar na Tanganyika ziongozwe miaka zaidi ya 10 na wanzanzibar watupu. Hata mimi kwenye hili nawaunga mkono.

CCM sasa ndio wanaanza kuona kwamba Muungano umekaa kimagumashi, watu wameambiwa miaka na miaka hawasikii, sasa ndio wanaanza kuliona hilo wakati ni too late.

Tusubiri tuone.
 
Halafu Maza anasuluhisha migogoro ya Znz lakini huku Tanganyika hataki kufanya hivyo.

Kwa mfano mara kadhaa amekutana na kushughulikia malalamiko ya ACT Zanzibar lakini huku Tanganyika amekataa kukutana na Chadema.

..pia ameachia Mashekhe wa Kizanzibari wakati kuna mamia ya Mashekhe wa Kitanganyika wanaendelea kusota mahabusu.
 
Matatizo ni mawili, moja ni Uzanzibari, ambalo linazaa la pili automatically, Uislamu.

JK alipata upinzani wa ndani na hujuma kama hizi kwa sababu za kidini, akawa anajaribu kubadilisha upepo kwa kumleta Maximo, Babu wa Loliondo...

Waziri asiekua Mtanganyika katika wizara zisizo za muungano alianza Nyerere, na Mwinyi alifanya na Kikwete alifanya. Nadhani hata Benjamini alimuweka Hessein Mwinyi Afya kama sijasahau.

Akiwa raisi Mzanzibari ndio inakua issue, na Nyerere alilitolea maelezo na kusema hakuna Mtanzania Nusu, as long as ni Mtanzania anaweza kuongoza wizara yoyote ya Jamhuri ya Tanzania.
 
..halafu Maza anasuluhisha migogoro ya Znz lakini huku Tanganyika hataki kufanya hivyo.

..kwa mfano mara kadhaa amekutana na kushughulikia malalamiko ya ACT Zanzibar lakini huku Tanganyika amekataa kukutana na Chadema.

..pia ameachia Mashekhe wa Kizanzibari wakati kuna mamia ya Mashekhe wa Kitanganyika wanaendelea kusota mahabusu.
Juzi mama amesema ametatua matatizo ama kero 11 za muungano, immediately baada ya yeye kua rais, hizo kero hatujaambiwa ni zipi na zipi, tunasikia tu ametatua kero 11 za muungano lakini hazisemwi.

Hii ya kuwaachia masheikh wa uamsho na kuwaacha masheikh wengine wa Tanganyika wenye case za mtindo huo ulionyesha wazi kabisa kwamba mama yuko interested na Zanzibar kuliiko watangyika. Kule arusha kuna masheikh wana miaka zaidi ya 8 wana kesi ya ugaidi hakuna ushahidi wanateseka lakini hawajakumbukwa.
 
Matatizo ni mawili, moja ni Uzanzibari, ambalo linazaa la pili automatically, Uislamu.

JK alipata upinzani wa ndani na hujuma kama hizi kwa sababu za kidini, akawa anajaribu kubadilisha upepo kwa kumleta Maximo, Babu wa Loliondo...

Waziri asiekua Mtanganyika katika wizara zisizo za muungano alianza Nyerere, na Mwinyi alifanya na Kikwete alifanya. Nadhani hata Benjamini alimuweka Hessein Mwinyi Afya kama sijasahau.

Akiwa raisi Mzanzibari ndio inakua issue, na Nyerere alilitolea maelezo na kusema hakuna Mtanzania Nusu, as long as ni Mtanzania anaweza kuongoza wizara yoyote ya Jamhuri ya Tanzania.

..kama hakuna Mtanzania nusu mbona kuna Watanzania hawawezi kuteuliwa nafasi za uongozi Zanzibar wakati ni sehemu ya Tanzania?

..Na kwanini ktk serikali ya jamhuri kuna mambo wanasema ni ya muungano, na mengine sio ya muungano kwa maana ni mambo ya Tanganyika?
 
Matatizo ni mawili, moja ni Uzanzibari, ambalo linazaa la pili automatically, Uislamu.

JK alipata upinzani wa ndani na hujuma kama hizi kwa sababu za kidini, akawa anajaribu kubadilisha upepo kwa kumleta Maximo, Babu wa Loliondo...

Waziri asiekua Mtanganyika katika wizara zisizo za muungano alianza Nyerere, na Mwinyi alifanya na Kikwete alifanya. Nadhani hata Benjamini alimuweka Hessein Mwinyi Afya kama sijasahau.

Akiwa raisi Mzanzibari ndio inakua issue, na Nyerere alilitolea maelezo na kusema hakuna Mtanzania Nusu, as long as ni Mtanzania anaweza kuongoza wizara yoyote ya Jamhuri ya Tanzania.
Sasa tuamini utetezi w Nyerere ama tuangalie katiba inasemaje? Kwani Nyerere alipokua anaweka makubaliano ya Muungano hilo hakulijua? Kwa nini aliliweka?

Katiba hii mbovu inatamka wazi kwamba wizara za muungano ni zipi na Mzanzibari anatakiwa kuteuliwa moja wapo ya wizara ya muungano, iko wazi.

Tatizo la hii nchi ni rais anaweza kuongoza nchi kwa matakwa yake na akaweka katiba pembeni na hakuna wa kumuuliza.

Mbona mtanganyika hachaguliwi wala kuteuliwa Zanzibar? Ama Zanzibar sio Tanzania?
 
Yani mkijisikia tu kujamba mnajamba mnaondoka... Pigeni kazi sukuma gang nyie.
Wamejaa ujinga tu! Eti mama hapendwi kutokana na Uzanzibari wake! Hawa jamaa ni wajinga sana! Wakekaa kikabila sana kutokana na mtu aliyewabeba kikabila kutokuwa Rais tena!

Wamejaa ujinga tu! Wanasahau waanzilishi wa nchi hii waliweka misingi imara kuwa Tanzania wote tunajifahamu Kama Watanzania tu
 
Na huyo makame mbarawa ana uspesho gani au anatayarishwa kumrithi mwinyi manake wanamng'ang'ani kweli.

Magufuli na kikwete walimteua kuwa mbunge na waziri, ktk nafasi zao za uteuzi kikanuni.

Jicho la Raisi wa sasa pia halijamwacha kando mbarawa.huyu bwana
atakuwa anakitu kikubwa..

Kuhusu teuzi za wazenji kushamiri serikalini mimi ndio nasikia leo.

Kama ni kweli, basi katiba inabidi irekebshwe ili jambo hili lipate uhalali wa kisheria.

I
 
Changamoto kubwa itakayomkabili Samia Suluhu ni Uzanzibari wake.

Makundi mengi ndani ya CCM hayapendezwi Tanzania kuongozwa na wazanzibari wote, yaani rais wa muungano ni Mzanzibari na Rais wa Zanzibar Mzanzibari, hapo ndio kuna mzizi wa fitina.

Juzi nilikua na watu flani wenye inside information, wanasema mama anajaza wazanzibari kwenye serikali ya muungano kinyume cha utaratibu, kwa mfano, wanasema Magufuli alikosea kumteua Mbarawa kua waziri kwenye wizara isiyo ya muungano, mama amerudia kosa lile lile kwa maksudi kabisa huku akijua ni kosa, yaani ana justify kosa kwa kosa la mwenzake, kwamba kama mtu aliiba na hakukamatwa kwa nini na wewe usiibe?

Sio hilo tu, kwamba kwenye teuzi nyingi za maded, nk amewaingiza wazanzibari kibao kinyume cha katiba.

Zamani wazanzibari ndio walikua wanalalamika kuonewa kwenye Muungano, sasa watanganyika ndio wanaolalamika.

Viongozi wengi wa CCM kinachowauma ni Mzanzibari kufanya maamuzi ya mikopo kwa niaba ya watanganyika, hilo ndio linawauma ndio maana unaona Bwana Job amejitokeza kusema tunakopa mikopo mikubwa isiyo eleweka, hoja iko hapo, Uzanzibari.

Kilichopo sasa ni kuhakikisha mama hagombei 2025 bali agombee mtanganyika, haiwiezekani Zanzibar na Tanganyika ziongozwe miaka zaidi ya 10 na wanzanzibar watupu. Hata mimi kwenye hili nawaunga mkono.

CCM sasa ndio wanaanza kuona kwamba muungano umekaa kimagumashi, watu wameambiwa miaka na miaka hawasikii, sasa ndio wanaanza kuliona hilo wakati ni too late.

Tusubiri tuone.
Mama tunampatia miaka mingine 10 apende asipende
 
..halafu Maza anasuluhisha migogoro ya Znz lakini huku Tanganyika hataki kufanya hivyo.

..kwa mfano mara kadhaa amekutana na kushughulikia malalamiko ya ACT Zanzibar lakini huku Tanganyika amekataa kukutana na Chadema.

..pia ameachia Mashekhe wa Kizanzibari wakati kuna mamia ya Mashekhe wa Kitanganyika wanaendelea kusota mahabusu.
Wacha mvua inyeshe hasa ya masika ili tuone wapi pa kuziba matundu.
 
Matatizo ni mawili, moja ni Uzanzibari, ambalo linazaa la pili automatically, Uislamu.

JK alipata upinzani wa ndani na hujuma kama hizi kwa sababu za kidini, akawa anajaribu kubadilisha upepo kwa kumleta Maximo, Babu wa Loliondo...

Waziri asiekua Mtanganyika katika wizara zisizo za muungano alianza Nyerere, na Mwinyi alifanya na Kikwete alifanya. Nadhani hata Benjamini alimuweka Hessein Mwinyi Afya kama sijasahau.

Akiwa raisi Mzanzibari ndio inakua issue, na Nyerere alilitolea maelezo na kusema hakuna Mtanzania Nusu, as long as ni Mtanzania anaweza kuongoza wizara yoyote ya Jamhuri ya Tanzania.
Adui muombee njaa na migogoro
 
Juzi mama amesema ametatua matatizo ama kero 11 za muungano, immediately baada ya yeye kua rais, hizo kero hatujaambiwa ni zipi na zipi, tunasikia tu ametatua kero 11 za muungano lakini hazisemwi.

Hii ya kuwaachia masheikh wa uamsho na kuwaacha masheikh wengine wa Tanganyika wenye case za mtindo huo ulionyesha wazi kabisa kwamba mama yuko interested na Zanzibar kuliiko watangyika. Kule arusha kuna masheikh wana miaka zaidi ya 8 wana kesi ya ugaidi hakuna ushahidi wanateseka lakini hawajakumbukwa.
Hapa nadhani mama alitakiwa kuwafukuta kazi washauri wake ambao hawana uwezo wa kumshauri mambo yenye umuhimu kwa jamii zaidi ya kuwa wapiga zumari.
 
Wamejaa ujinga tu! Eti mama hapendwi kutokana na Uzanzibari wake! Hawa jamaa ni wajinga sana! Wakekaa kikabila sana kutokana na mtu aliyewabeba kikabila kutokuwa Rais tena!

Wamejaa ujinga tu! Wanasahau waanzilishi wa nchi hii waliweka misingi imara kuwa Tanzania wote tunajifahamu Kama Watanzania tu
Mtajua hamjui majizi nyie msoga mkiongozwa na baba yenu tezi dume.
 
Raisi wa Zanzibar si mZanzibari ,hilo ni jambo maarufu na halina utata ,ila ukarimu wa Zanzibar ndio umemfanya awe au akubalike kirahisi,
Na pia WaZanzibari hawaangalii sana Raisi anatoka wapi,kinachoangaliwa ni wapi alie Raisi anatupeleka.
Nikirudi Raisi wa Zanzibar wa sasa ni mtu wa Kivure,Mkoa wa pwani yeye amezaliwa Unguja 23/12/1966, sijui kama aliwahi kuomba uraia wa Zanzibar au nae ni Mzanzibari mkaazi.
 
..halafu Maza anasuluhisha migogoro ya Znz lakini huku Tanganyika hataki kufanya hivyo.

..kwa mfano mara kadhaa amekutana na kushughulikia malalamiko ya ACT Zanzibar lakini huku Tanganyika amekataa kukutana na Chadema.

..pia ameachia Mashekhe wa Kizanzibari wakati kuna mamia ya Mashekhe wa Kitanganyika wanaendelea kusota mahabusu.

Hapa kuna point kubwa sana
 
Matatizo ni mawili, moja ni Uzanzibari, ambalo linazaa la pili automatically, Uislamu.

JK alipata upinzani wa ndani na hujuma kama hizi kwa sababu za kidini, akawa anajaribu kubadilisha upepo kwa kumleta Maximo, Babu wa Loliondo...

Waziri asiekua Mtanganyika katika wizara zisizo za muungano alianza Nyerere, na Mwinyi alifanya na Kikwete alifanya. Nadhani hata Benjamini alimuweka Hessein Mwinyi Afya kama sijasahau.

Akiwa raisi Mzanzibari ndio inakua issue, na Nyerere alilitolea maelezo na kusema hakuna Mtanzania Nusu, as long as ni Mtanzania anaweza kuongoza wizara yoyote ya Jamhuri ya Tanzania.
Kwa maelezo yako hapo mwishoni, katiba imepitwa na wakati. Ni muda wa kupata katiba mpya itakayokwenda na wakati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom