Kitakachokukwamisha Waziri Lukuvi kuiokoa NHC hiki hapa

Issue kubwa watu wanaopewa hizi nafasi sio entrepreneurial minded, walau huyo Nehemia alijaribu kuongeza value.

Tatizo lake lilikuwa ni poor marketing strategy, kutoelewa dhana ya public housing and pursuing unsustainable investment approach iliyoenda haribu model ya shirika.

Huyu aliepo sasa ndio kama wale wazamani mradi kuna mtu anashikilia nafasi ya General Manager or else angekuwa ana negotiate na serikali jinsi ya kulirudisha shirika katika misingi yake ili waweze fanya uwekezaji sahihi.

Dodoma inaenda pokea wafanyakazi wengi wa serikali NHC ingepata faida kubwa sana through economies of scale kuliko kila mtu anaeamia huko wakianza kujenga mmoja mmoja.

Criteria za kuteua hawa watu wanazijua wenyewe huko kwenye mamlaka ya teuzi.

Yaani u are very smart I wish to meet you at least once.
Unaweka CEO ambae hajawahi kuwa hata na genge la nyanya kwenye shirika la hadhi ya kitaifa. No delivery no output.
Tunahitaji mawazo haya positive sio CCM ,CHADEMA MBOWE MAGUFULI RUBBISH.
 
Naona umeandika mengi ya maana lakini ukachanganya na chuki zako binafsi(maoni yako binafsi!) kuhusu Nehemia. Halafu hapo hapo ukaonyesha mapenzi yako potofu kwa Charles Kimei!

Let me declare interest hapa, mimi ni miongoni mwa watu ambao hatukuwahi kumkubali Nehemia toka awali, na leo ninakiri tena hapa hapa, Nehemia alikuwa ni mwizi na fisadi mzuri pale NHC. Lakini haya yanayoendelea sasa NHC ni beyond ya upuuzi uliofanywa na Nehemia.

Tuwe wakweli tu, sera mbovu za kiuchumi katika serikali ya awamu ya Tano ndio zinakwenda kuliua kabisa NHC. Uchumi wa uwekezaji mkubwa na muda mrefu haiwezi kutoboa kwa sasa. Hakuna biashara yoyote kubwa ya real estate inayoweza kuinuka sasa. Tatizo ni Magufuli, narudia tena, Tatizo ni Magufuli.

Kuhusu kupandisha au kushusha kodi ya pango, hilo ni suala la kawaida kwenye biashara. NHC walipandisha kodi ya pango kipindi kile ambapo bei ya soko ilikuwa inaruhusu (NHC hapo kabla walikuwa wanatoza kodi kidogo kulinganisha na wamiliki wengine wa nyumba wakati nyumba za NHC zilikuwa kwenye City centres au prime areas although nyumba za NHF zilikuwa chakavu!). Na kwa kuwa kwa sasa hali ya kiuchumi kiujumla kwa watanzania ni mbaya, hivyo busara ni kushusha bei ili kusustain biashara.
Umeongea ukweli mchungu. Tatizo ni ubovu wa sera za kiuchumi za Magufuli. Lakini kwanini alaumiwe Nehemia wakati kuna mkurugenzi mwingine ambaye kama ni mtendaji mzuri angeweza kuliokoa shirika? Au wanataka kusema misingi iliyojengwa na Nehemia "imepigwa pini" kwamba haiwezi kurekebishwa?
 
Si waniuzie tu hili shirika? Tangu mchechu atimuliwe nimejitahidi sana kuwashawishi waniuzie hili shirika lakini wapi?
 
Umeongea ukweli mchungu. Tatizo ni ubovu wa sera za kiuchumi za Magufuli. Lakini kwanini alaumiwe Nehemia wakati kuna mkurugenzi mwingine ambaye kama ni mtendaji mzuri angeweza kuliokoa shirika? Au wanataka kusema misingi iliyojengwa na Nehemia "imepigwa pini" kwamba haiwezi kurekebishwa?
Tatizo ni madeni aliyoacha nyuma na investment ambazo kunatofauti kati ya book value na market value.

That needs sorting out first ili shirika liweze badilika vinginevyo hakuna faida ya kufanya investment zingine zozote labda waongeze madeni.
 
View attachment 1668906

View attachment 1668908


Kwa sasa hilo shirika halina tofauti na ‘drug addict’ kutokana na hali yake ya madeni. Not sure if things have changed since 2018 ila lilikuwa linatengeneza operation losses kila mwaka kurudi nyuma.

Ata 2017 walitengeneza loss, kilichofanya waonekane kama wamepata faida ni revaluation gain on assets being included in the costs of sales. That is not an income it’s supposed to be included at the bottom after the operation profit/loss income has been declared. Thereafter revaluation gain is included to show comprehensive income.

Ndio maana unaona revaluation ya 2018 imeonyesha picha halisi (baada ya kupunguza assets value) ila 2017 hakukuwa na faida pia ya operation.

Ukiangalia non current liabilities zao wana deni la karibu 1.3 trillion shillings, ambapo asilimia kubwa ni malimbikizo ya kodi za nyuma. Si ajabu walikuwa wanaachiwa ili wapunguze madeni ya wachina aliyochukua Nehemia ambayo na yenyewe yalifika almost trillion shillings.

Kwa statement hiyo ya NHC kupunguza kodi za pango ni matatizo kwa sasa ukizingatia debt commitment walizonazo huku mapatato yao yanashuka annually.

It’s ‘catch 22’ ni tatizo zaidi kwa sababu uwezo wa wapangaji kulipa rent za sasa ni mdogo pia kwa rate za sasa. Solution ni kodi lazima ishuke amasivyo watapoteza wapangaji na mapato zaidi.

Waliopandisha kodi hawakufikiria that was not a sustainable plan watanzania kwa mapato halali awawezi mudu kodi zao in the long run. Yote hiyo ilikuwa chini ya yule C.E.O kilaza the so called banker msomi (JF bwana kuna watu wanajua kupamba) mtu hajui ata kufanya risk assessment ya investment zake wakati anaanza tu wengine walikuwa wanaonya how it will all end, ila alisifiwa balaa humu ndani.

Matokeo yake ndio hayo watu wanashindwa lipa rents, mapato yanashuka huku, kuna obligations za non current liabilities za 1.3 trillion.

Hali ni mbaya kwenda mbele serikali inabidi isamehe tax inazodai NHC ili shirika lipate pumzi, waweze kujipanga upya, washushe kodi za mapango na kufanya watu wagombanie nyumba zao kama ilivyokuwa kabla ya Nehemia. Vinginevyo people will suffer, more so wapangaji wa hayo majengo kwa makosa ya kimkakati yaliyofanywa na Nehemia na hali ya NHC itazidi kuwa ovyo ukizingatia serikali inaelekea Dodoma leaving more empty properties in Dar.

Besides it’s time to conduct another revaluation of assets, miradi mingi ya Nehemia aina market value kama NHC walivyokuwa wanainadi kwa ivyo kuna misrepresented value of assets on the books kuliko uhalisia wa sokoni.

Haya ndio madhara ya watanzania kukuza watu viazi, Banker wa kusifia Tanzania ni Kimei tu. Wengine bado wanajejingea hizo sifa na kati yao uwezi mweka Nehemia.
Ahsante
 
Issue kubwa watu wanaopewa hizi nafasi sio entrepreneurial minded, walau huyo Nehemia alijaribu kuongeza value.

Tatizo lake lilikuwa ni poor marketing strategy, kutoelewa dhana ya public housing and pursuing unsustainable investment approach iliyoenda haribu model ya shirika.

Huyu aliepo sasa ndio kama wale wazamani mradi kuna mtu anashikilia nafasi ya General Manager or else angekuwa ana negotiate na serikali jinsi ya kulirudisha shirika katika misingi yake ili waweze fanya uwekezaji sahihi.

Dodoma inaenda pokea wafanyakazi wengi wa serikali NHC ingepata faida kubwa sana through economies of scale kuliko kila mtu anaeamia huko wakianza kujenga mmoja mmoja.

Criteria za kuteua hawa watu wanazijua wenyewe huko kwenye mamlaka ya teuzi.

Kilatha, nimesoma kwa umakini ufafanuzi wako - tuwe wakeli hapa, wewe kichwa sana inaonekana wazi wazi una uelewa mkubwa wa masuala haya - mataifa ya wenzetu, wanakuwepo watu Serikalini ambao upitia maoni ya raia kwenye media - kazi ni kubaini raia ambao hawapo Serikalini lakini wanaweza kuwa msaada mkubwa katika utatuzi wa wanasuala yaliyo shindikana kwa nini mtu kama wewe ambaye unaonekana ni mega smart upstairs endowed with splendid analytical mind wasikufanye hata consultant wa Wizara ya Lukuvi u-deal na ujinga huu unaoendeshwa kwenye shirika la NHC, mimi nina wasi wasi kwamba hata hizi financial statements ni za kisanii sana, wakitafutwa a trurly independent auditors preferrable kutoka nje, watahibua madudu mengi sana, sio kwa NHC tu bali hata mashirika ya hifadhi za jamii nk.

Mtu unabaki unajiuliza maswali mengi: Board Chairperson wa NHC ni PhD holder, Director General ni PhD holder lakini cha ajabu inaonekana ubunifu ni borderline kabisa - siwasemi vibaya, wengine wanajitahidi sana, bottom line is: hii dhana inayo jengeka kwamba PhD holders ndiyo watakuwa ni cure all like Panadol/Asprin kwa matatizo yote yanayo likumbau Taifa letu - logic behid dhana hii unipa wakati mgumu kuilewa - mbona Mataifa ya Ulaya na Merikani na baadhi mataifa ya Afrika Serikali zao zinaongozwa na raia wenye shahada ya kwanza au ya pili na wengine hawana kabisa mfano mzuri ni John Major Uingereza, Jacob Zuma sijui kiwango cha elimu cha Ramaphosa ni kipi - sasa sisi huwa tunataka ku-prove nini Duniani, kwamba Tanzania ina kiwango kikubwa shahada za uzamivu per capita kwenye Serikali na Mashirika ya Umma kuliko Nchi zilizo endelea ili iweje, tuna upungufu mkubwa wa walimu wa vyuo vikuu, kwa nini hao hawapelekwi huko kufundisha badala ya kuteuliwa kisiasa.
 
Kilatha, nimesoma kwa umakini ufafanuzi wako - tuwe wakeli hapa, wewe kichwa sana inaonekana wazi wazi una uelewa mkubwa wa masuala haya - mataifa ya wenzetu, wanakuwepo watu Serikalini ambao upitia maoni ya raia kwenye media - kazi ni kubaini raia ambao hawapo Serikalini lakini wanaweza kuwa msaada mkubwa katika utatuzi wa wanasuala yaliyo shindikana kwa nini mtu kama wewe ambaye unaonekana ni mega smart upstairs endowed with splendid analytical mind wasikufanye hata consultant wa Wizara ya Lukuvi u-deal na ujinga huu unaoendeshwa kwenye shirika la NHC, mimi nina wasi wasi kwamba hata hizi financial statements ni za kisanii sana, wakitafutwa a trurly independent auditors preferrable kutoka nje, watahibua madudu mengi sana, sio kwa NHC tu bali hata mashirika ya hifadhi za jamii nk.

Mtu unabaki unajiuliza maswali mengi: Board Chairperson wa NHC ni PhD holder, Director General ni PhD holder lakini cha ajabu inaonekana ubunifu ni borderline kabisa - siwasemi vibaya, wengine wanajitahidi sana, bottom line is: hii dhana inayo jengeka kwamba PhD holders ndiyo watakuwa ni cure all like Panadol/Asprin kwa matatizo yote yanayo likumbau Taifa letu - logic behid dhana hii unipa wakati mgumu kuilewa - mbona Mataifa ya Ulaya na Merikani na baadhi mataifa ya Afrika Serikali zao zinaongozwa na raia wenye shahada ya kwanza au ya pili na wengine hawana kabisa mfano mzuri ni John Major Uingereza, Jacob Zuma sijui kiwango cha elimu cha Ramaphosa ni kipi - sasa sisi huwa tunataka ku-prove nini Duniani, kwamba Tanzania ina kiwango kikubwa shahada za uzamivu per capita kwenye Serikali na Mashirika ya Umma kuliko Nchi zilizo endelea ili iweje, tuna upungufu mkubwa wa walimu wa vyuo vikuu, kwa nini hao hawapelekwi huko kufundisha badala ya kuteuliwa kisiasa.
Shukran mkuu wapo vijana wengi wa kitanzania kwenye private sector wenye position kubwa by merit na uwezo kushida mimi; awana tu muda na habari za siasa.

Shida ni succession planning yetu serikalini; watu wanapewa nafasi without due processes.
 
Kilatha, nimesoma kwa umakini ufafanuzi wako - tuwe wakeli hapa, wewe kichwa sana inaonekana wazi wazi una uelewa mkubwa wa masuala haya - mataifa ya wenzetu, wanakuwepo watu Serikalini ambao upitia maoni ya raia kwenye media - kazi ni kubaini raia ambao hawapo Serikalini lakini wanaweza kuwa msaada mkubwa katika utatuzi wa wanasuala yaliyo shindikana kwa nini mtu kama wewe ambaye unaonekana ni mega smart upstairs endowed with splendid analytical mind wasikufanye hata consultant wa Wizara ya Lukuvi u-deal na ujinga huu unaoendeshwa kwenye shirika la NHC, mimi nina wasi wasi kwamba hata hizi financial statements ni za kisanii sana, wakitafutwa a trurly independent auditors preferrable kutoka nje, watahibua madudu mengi sana, sio kwa NHC tu bali hata mashirika ya hifadhi za jamii nk.

Mtu unabaki unajiuliza maswali mengi: Board Chairperson wa NHC ni PhD holder, Director General ni PhD holder lakini cha ajabu inaonekana ubunifu ni borderline kabisa - siwasemi vibaya, wengine wanajitahidi sana, bottom line is: hii dhana inayo jengeka kwamba PhD holders ndiyo watakuwa ni cure all like Panadol/Asprin kwa matatizo yote yanayo likumbau Taifa letu - logic behid dhana hii unipa wakati mgumu kuilewa - mbona Mataifa ya Ulaya na Merikani na baadhi mataifa ya Afrika Serikali zao zinaongozwa na raia wenye shahada ya kwanza au ya pili na wengine hawana kabisa mfano mzuri ni John Major Uingereza, Jacob Zuma sijui kiwango cha elimu cha Ramaphosa ni kipi - sasa sisi huwa tunataka ku-prove nini Duniani, kwamba Tanzania ina kiwango kikubwa shahada za uzamivu per capita kwenye Serikali na Mashirika ya Umma kuliko Nchi zilizo endelea ili iweje, tuna upungufu mkubwa wa walimu wa vyuo vikuu, kwa nini hao hawapelekwi huko kufundisha badala ya kuteuliwa kisiasa.
Katika uwanda mpana nchi zinaongozwa na usalama wa taifa. Bahati mbaya ni kwetu. Usalama wa taifa wote ni UVCCM, na Pro-CCM

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Jf

Naona anguko la NHC baada ya kususua kwa biashara nyingi Mjini linakuja kwa kasi, huku wafanyabiashara Mjini wakizidi kufunga biashara kwa kasi.

Kinachokukwamisha ni kutojua kuwa wengi wa wafanyabiashara walikuwa wasimamizi tu , biashara nyingi zilikuwa za mawaziri na makatibu wakuu.

Ofisi nyingi zilimulikiwa na ndugu na Jamaa wa viongozi ambao wengi wamejichomoa kuogoba Mkulu, wengine wamefilisika baada ya njia za panya kuzibwa kwa magunzi makavu.

Biashara za upigaji wengi walikimbilia national Housing kwa kuwa malipo kwa mwezi yalikuwa afadhali.

Mchechu wakati anapandisha bei holela alikuta fedha za mangumshi nyingi akadhani endelevu. Lukuvi unaangaika sana kutaka kutaja watu, hiyo haisaidii kwani utawawafilisi bure wakati washajifia.

Lukuvi omba mkutano na wapangaji wakupe wayaonayo siyo kukazania kuwashitaki na kuwanyanganya Mali.
Huu ni utawala wa mabavu mkuu
 
Umefanya uchambuzi mzuri lakini wa financial tu which is always easy to manipulate. Ni mzuri naukubali big up.
Tazama huku.
1. Hatuna haja ya kuwa na mashirika ya nyumba matatu nchi moja na yote yapo chini ya serikali NHC,TBA, na Watumishi Housing. Wrong wrong. In paper wana malengo tofauti but on ground ni same same. Simply ni vitengo vya wizi tuuu . Zivunjwe na kuwa department in one shirika.
2. Hakuna tena creativity . Pamoja na miradi mibovu ya Nehemia bado alionyesha njia ambazo kwa mfano joint ventures nyingi zinaleta income just need to adjust the agreements. Huyu wa sasa hakuna kitu amekua mwanasiasa tu. Nothing has been done on stalled projects eg Morocco square. Hakuna rescue strategies zo zote.
3. Misuse of resources- nenda NHC utaona mtu na mastaz analipwa above 2.5 million na marupurupu ili tu akusanye kodi. Yaani rent collector.. mtu ana degree BSC na MSC toka Ardhi University anachofanya ni cha form four leaver. Lazma ipunguze watu na kuingia kwenye computerization.
4. Taking on other ventures- kuna uhitaji mkubwa sana w kupanga miji na kutoa viwanja vilivyopimwa Kwa wananchi. Hii ni biashara yenye faida kubwa na makampuni binafsi mengi yamepata faida ya billions. Ila hili shirika lipo tu limelala na CEO wake ndio kwanza anakimbilia kumpongeza Jokate kwenye tokomeza ziro. Bado naunga mkono kumortgage assets zao wafanye miradi yenye tija.
5. NHC bado kuna mikwaruzano isiyo na afya hasa wakurugenzi na mameneja yaani wana timu zao zinazokwamishana. Hii in ongeza gharama tu ja kupunguza ufanisi.
Kuna haja ya kuoverhaul NHC yote au kuiua kabisa na kuanzisha yenye tija zaidi Vinginevyo iwe kitengo ndani ya TBA tuuu
Umeongea mengi sn mkuu lakini bila kubinafisisha hili shirika hakuna kitu kitaendelea
 
Serikali, na hasa Serikali ya Tanzania haijawahi kufanya biashara yoyote kwa faida.

Ndege hasara, TANESCO hasara, TTCLA hasara, Reli hasara, Maji hasara, Posta hasara, Korosho hasara, kila mahali ni hasara. Mbaya zaidi Magufuli anaiondoa biashara kwa sekta binafsi inayoweza na kuipeleka Serikalini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilatha, nimesoma kwa umakini ufafanuzi wako - tuwe wakeli hapa, wewe kichwa sana inaonekana wazi wazi una uelewa mkubwa wa masuala haya - mataifa ya wenzetu, wanakuwepo watu Serikalini ambao upitia maoni ya raia kwenye media - kazi ni kubaini raia ambao hawapo Serikalini lakini wanaweza kuwa msaada mkubwa katika utatuzi wa wanasuala yaliyo shindikana kwa nini mtu kama wewe ambaye unaonekana ni mega smart upstairs endowed with splendid analytical mind wasikufanye hata con
Umeongea ukweli mchungu. Tatizo ni ubovu wa sera za kiuchumi za Magufuli. Lakini kwanini alaumiwe Nehemia wakati kuna mkurugenzi mwingine ambaye kama ni mtendaji mzuri angeweza kuliokoa shirika? Au wanataka kusema misingi iliyojengwa na Nehemia "imepigwa pini" kwamba haiwezi kurekebishwa?
Nasultant wa Wizara ya Lukuvi u-deal na ujinga huu unaoendeshwa kwenye shirika la NHC, mimi nina wasi wasi kwamba hata hizi financial statements ni za kisanii sana, wakitafutwa a trurly independent auditors preferrable kutoka nje, watahibua madudu mengi sana, sio kwa NHC tu bali hata mashirika ya hifadhi za jamii nk.

Mtu unabaki unajiuliza maswali mengi: Board Chairperson wa NHC ni PhD holder, Director General ni PhD holder lakini cha ajabu inaonekana ubunifu ni borderline kabisa - siwasemi vibaya, wengine wanajitahidi sana, bottom line is: hii dhana inayo jengeka kwamba PhD holders ndiyo watakuwa ni cure all like Panadol/Asprin kwa matatizo yote yanayo likumbau Taifa letu - logic behid dhana hii unipa wakati mgumu kuilewa - mbona Mataifa ya Ulaya na Merikani na baadhi mataifa ya Afrika Serikali zao zinaongozwa na raia wenye shahada ya kwanza au ya pili na wengine hawana kabisa mfano mzuri ni John Major Uingereza, Jacob Zuma sijui kiwango cha elimu cha Ramaphosa ni kipi - sasa sisi huwa tunataka ku-prove nini Duniani, kwamba Tanzania ina kiwango kikubwa shahada za uzamivu per capita kwenye Serikali na Mashirika ya Umma kuliko Nchi zilizo endelea ili iweje, tuna upungufu mkubwa wa walimu wa vyuo vikuu, kwa nini hao hawapelekwi huko kufundisha badala ya kuteuliwa kisiasa.
Kwa mawazo yenu kama Lukuvi yupo serious akasoma jinsi mnavyochambua na kutiririkwa kwa hoja makini Nathani Rais kupitia nyinyi anaweza kulibadirisha shirika hili kutoka kwenye miradi isiyonatija
 
Kuna Jamaa anaitwa Inginea Gogadi Super Tall , msanifu Mkuu Wa magengo , siku alipopewa atakayoyafanya mkutugenzi mpya Nehemiah kwenye utawala wake yeye ndani ya miezi miwili aliomba kustaafu akiwa na miaka 55 maana aliona wanaenda kutengeneza madudu akaona asiwe miongoni mwao

Tatizo ni madeni aliyoacha nyuma na investment ambazo kunatofauti kati ya book value na market value.

That needs sorting out first ili shirika liweze badilika vinginevyo hakuna faida ya kufanya investment zingine zozote labda waongeze madeni.
 
90% ya waliofaidika ni majengo ya dhehebu la katoliki.
Waulize watu waliokuwa wakiishi upanga na mjini maeneo yenye nyumba nyingi za NHC, watakueleza.

Miaka ya mzee Mwinyi alizirudisha zote au wenye mali waliingia makubaliano mapya na serikali kwa utashi wao.

Binafsi nayajua maghorofa kadhaa ya wahindi waliorudishiwa.
 
Tatizo ni madeni aliyoacha nyuma na investment ambazo kunatofauti kati ya book value na market value.

That needs sorting out first ili shirika liweze badilika vinginevyo hakuna faida ya kufanya investment zingine zozote labda waongeze madeni.
Hii ni awamu ya mwisho ya rais "mchapakazi na mzalendo". Tutarajie nini kwa shiriki hili baada ya "kuharibiwa" na Nehemia wa enzi za JK; litastawi au litaendelea kuporomoka zaidi?
 
Hii ni awamu ya mwisho ya rais "mchapakazi na mzalendo". Tutarajie nini kwa shiriki hili baada ya "kuharibiwa" na Nehemia wa enzi za JK; litastawi au litaendelea kuporomoka zaidi?
Tatizo la watu kama wewe (I must say) watanzania wengi tulivyo kila kitu in life is very simple ndio maana maendeleo yetu ya mmoja yanasua sua sana.

Hizi ndio sababu unakuta mtu anakufanyia mambo ya kipuuzi, yenye athari kubwa kwenye maisha/biashara ya mtu halafu yeye anachukulia poa tu; baada ya hapo utasikia si nimekuomba msamaha sasa nifanye nini tena.

Ndio kama mtazamo wako eti si ameshatolewa kinachowashinda kubadilisha mwenendo wa shirika ni nini?

Hilo shirika lingekuwa ni biashara binafsi sasa hivi administrator angekuwa ashaitwa kufanya shughuli ya asset stripping.

Uwezi ku survive wakati majukumu ya madeni yako kwa mwaka ni over 1000% ya unachotengeneza kama faida.

Isingekuwa ni mali ya serikali sasa hivi watu wanafanya hesabu za debt/asset ratio kwa haraka ili kulipa madeni inabidi wauze 30% ya assets zao na wakisema wafanye revaluation ya asset zenyewe to current market value si ajabu over 40% ya mali zao inabidi ziuzwe.

Halafu anatokea mtu kama wewe unaedhani kuligeuza hilo shirika ni shughuli rahisi kama unavyo log in na ku type JF.

Hapo bila ya msaada wa serikali usitarajie miujiza, kutokana na madhara aliyoacha huyo mtu unaetaka kumtetea.
 
Back
Top Bottom