Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
[/QUOT]
Change your thinking change your life
 
Jitambue na bado ninacho ukisoma hiki utakua levo nyingine ki fikira,na kingine kinaitwa mushauri wako hiki sina.
 
THE BOOK IS MY ROYAL BEST FRIEND....SIJAWAHI SALITIWA NA KITABU HATA SIKU MOJA. VITABU VIMENIFANYA NI BADILI MTAZAMO NA KUJENGA IMANI YANGU UPYA. NILIANZA KUSOMA VITABU VYA ART OF LIVING MWAKA 2015. KITABU CHANGU CHA KWANZA NI HIKI HAPA "SIXTEEN LAWS OF SUCCESS By NAPOLEON HILL". MPAKA SASA NI SHASOMA VITABU VINGI SANA NA BADO NAFARIJIKA NA VITABU MPAKA SASA.
MPAKA KATIKA SMARTPHONE NINA APPLICATION ZA VITABU 16. AMBAVYO NINA MPANGO WA KUVISOMA NDANI YA MIEZI MIWILI TU NISHASOMA VIWILI HADI SASA.
Mkuu naomba uweke majina ya hizo app hapa kwa faida ya wengi
 
Mkuu naomba uweke majina ya hizo app hapa kwa faida ya wengi
Poa, hizo app ni vitabu vyenyewe ukienda playstore utavipata, ila nitaandika majina ya vitabu nilivyonavyo


Kama unataka utitili wa vitabu tembelea web ya Pdf drive, hapo ni balaa. Kwingine telegram kuna channel lukuki tu za vitabu
 
1.The way of the superior man by david deida

How to win and influence people by Dale Carnegie, humu nimejifunza principle ya "Dont Complain,Critisize or condemn people".
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
Biblia halisi, siyo ile ya makabayo
 
Back
Top Bottom