Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Jamii forum mkeka huu umebadili, na unaendelea kubadili isha langu haha haaa hhuuuuuuuuwiiii
 
"The magic of thinking big" kilinibadili maisha yakawa ya kujiamini zaidi
Hujakosea Mkuu Wangu.

Kitabu kipo zivuri sana nilipata kukisoma mwaka uliopita.

Mpaka huwa nawaza na kupanga mipango ya siku nikipata Mtoto nahakikisha mpaka anakuwa mtu mzima atakuwa mtu tofauti sana.

Nitawekeza katika vitabu,Library nyumbani itakuwa sehemu yake ya Maisha.
 
View attachment 153768
THINK BIG ni miongoni mwa vitabu vilivyowahi kunivutia. Story yake inaonyesha jinsi ambavyo Hakuna Mtu ambaye hana uwezo. Kutoka Kuwa mtu wa mwisho darasani hadi kuwa daktari bingwa duniani mwenye kuheshimiwa. Prinsciples za kawaida tu ambazo zilitumiwa na mama asiyejua elimu. akifanya kazi kama HOUSEGIRL kwenye nyumba za matajiri aliwawezesha vijana wake wawili mmoja kuwa Engineer na mwingine kuwa Daktari bingwa duniani.

Talent: Our Creator has endowed all of us not just with the ability to sing, dance or throw a ball, but with intellectual talent. Start getting in touch with that part of you that is intellectual and develop that, and think of careers that will allow you to use that.

Honesty: If you lead a clean and honest life, you don't put skeletons in the closet. If you put skeletons in the closet, they definitely will come back just when you don't want to see them and ruin your life.

Insight: It comes from people who have already gone where you're trying to go. Learn from their triumphs and their mistakes.

Nice: If you're nice to people, then once they get over the suspicion of why you're being nice, they will be nice to you.

Knowledge: It makes you into a more valuable person. The more knowledge you have, the more people need you. It's an interesting phenomenon, but when people need you, they pay you, so you'll be okay in life.

Books: They are the mechanism for obtaining knowledge, as opposed to television.

In-Depth Learning: Learn for the sake of knowledge and understanding, rather than for the sake of impressing people or taking a test.

God: Never get too big for Him.
Thanks For sharing skills and Knowledge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji hivi vitabu hard copy wapi nitavipata??
cal_mann420-20181230-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
59 Reactions
Reply
Back
Top Bottom