Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

MKuu TheCrazy Mchokozi kuna noval flani nilisomewa na mama usiku nikiwa mdogo ya uyu sidney sheldon inausu dogo nyumbani kwao baba ake ni mfanyakazi wa bank sasa hela zinasafirishwa dogo akamsikia baba anawasiliana na wenzake akiwa nyumbani kua lini pesa zinasafirishwa aah dogo aka organise time ya watu wa5 kuvamia msafara katikati kinaitwaje ivi iki nimekisahau kabisa afu akumalizia kikaungua
Team.not time
 
A brief History of Human kind,Sapiens by Yovah Noah Harari.

Hiki kitabu ningependa watu wengi wakisome kipo vizuri sana.

Noah harari ameelezea kwa uzuri kabisa historia ya binadamu (sisi)"Homo sapiens"mpaka hapa tulipo na wapi walau tunapatazamia na anakuweka katika namna mpya ya kufikiri.

Kitabu kimeelezea njisi homo sapiens alivyoweza kutawala Mazingira nyakati hizo na pia kupotea kwa human specie "Neanderthals" ambayo ilikuwa na nguvu ubongo mkubwa kuliko Homo sapiens(binadamu"sisi").

Homo sapiens walianzia East Africa na kusambaa mpaka middle East.

Kitabu kinaelezea Revolutions tatu.
The cognitive revolution
The Agricultural revolution.
The scientific Revolution.

Ambazo kwa kiasi kikubwa zimeshape historia ya Sapiens(sisi).

Kitabu kitakujuza Mambo mengi Hammarudi codes Babylon Empire,Gautama buddha,Historia ya gunpowder,Imaginations- Money,Coins,Nations,Humans rigth,n.k

Mfano katika sehemu Happiness katika kitabu hiki.
Chemical Happiness, inasemekana katika tafiti Kuna watu wana cheerful biochemistry systems ambayo inaanzia level ya 2 hadi 10 huku ikiwa na wastani wa 8 hivyo watu wanamna hii wao muda mwingi huwa na furaha hata kama atapoteza vitu vya msingi,amepata ajali au anaumwa sana au amefiliska au yupo hoi kiuchumi utamkuta anafuraha tofauti na Mtu mwenye Gloomy biochemistry inaanzia level 3 hadi 7 huku wastani ni 5 yeye hutamkuta na furaha hata kama yupo vyema kiafya,uchumi, n.k.
Japo happiness ni complex topic walau kidogo utapata picha.


Pia kitabu kinaeelezea project za Homo sapiens katika Sci-Technology,Genetic engineering ubongo wa binadamu kuuingiza katika computer,cyborgs(combination of organic and inorganic parts) project ya walemavu wa macho walau kupata kuona kwa wastani.

Baadhi ya quotes za kusisumua toka kwa kitabu.
"You cannot promise a monkey unlimited bananas in heaven and expect him to follow you"

Capitalism.
"Many Americans nowadays maintain that their government has a moral imperative to bring third world countries the benefits of democracy and human rights,
Even if these goods are delivered by cruise Missiles & F16's!!"

Kwanini Scientific revolution ilianza ulaya"Europe"..??
Jibu ni kwa sababu walikubali kwamba wao ni wajinga na kufanya juhudi za kupambana.

Pia kaelezea propaganda za Whitespeople kujigamba wapo very intelligent kuliko black pepole ambayo karne nadhani ya 18 &19 na 20 ilisambaa sana bila kusahau propaganda za naz Adolf Hitler Subhuman na superman.


Mwisho kauliza maswali ya kutafakari kuhusu mwelekeo wa Homosapiens....






View attachment 861348
Maisha yangu yote nilikuwa natafuta kitabu kinachoelezea historia ya binadamu kwa kifupi bila mafanikio mpaka pale nilipokutana na "Sapiens" cha Prof Yuval Noah Harari.
 
Maisha yangu yote nilikuwa natafuta kitabu kinachoelezea historia ya binadamu kwa kifupi bila mafanikio mpaka pale nilipokutana na "Sapiens" cha Prof Yuval Noah Harari.
Hiki kitabu kipo vizuri sana,

Unapata kufahamu Mambo mengi sana bila kusahau burudani ya kutosha toka kwa Mwandishi(Noah Harari) mwenyewe njisi anavyoelezea kwa urahisi mno.

Mimi huwa napenda wapenzi wa vitabu wapate kukisoma.
 
Hiki kitabu kipo vizuri sana,

Unapata kufahamu Mambo mengi sana bila kusahau burudani ya kutosha toka kwa Mwandishi(Noah Harari) mwenyewe njisi anavyoelezea kwa urahisi mno.

Mimi huwa napenda wapenzi wa vitabu wapate kukisoma.
Prof Yuval Noah Harari anakitumia kiingereza kama vile ni mother tongue ya kwake vile. Mie nasumbuliwa na hearing complications lakini nikimsikiliza huwa nasikia vizuri tu neno kwa neno.
 
Napenda sana vitabu vya Profesa Yuval Noah Harari.

Kaandika "Sapiens: A Brief History of Humankind" Sapiens - Yuval Noah Harari

Pia, "HomeDeus: A Brief History of Tomorrow" Homo Deus - Yuval Noah Harari

Nimevisoma vyote.

Sasa hivi nasoma "21 Lessons for The 21 Century" 21 Lessons for the 21st Century - Yuval Noah Harari

Humu kamtaja kumzungumzia mpaka Kinjekitile Ngwale na vita vya Maji Maji.
Kaka,
Huyu Noah Harari yupo vizuri Mno ni Mwandishi mzuri sana anayeelezea mambo yanayo onekena mazito au magumu kwa urahisi Mno.

Siku za nyuma nilipata kumsikiliza akiwa kwa Hard Talk-Al Jazeera anahojiwa nilifurahi.

Homo dues: Pia nimekisoma, kwakweli vitabu vyake ukianza kuvisoma hutotamani uvishushe mkononi.
 
Prof Yuval Noah Harari anakitumia kiingereza kama vile ni mother tongue ya kwake vile. Mie nasumbuliwa na hearing complications lakini nikimsikiliza huwa nasikia vizuri tu neno kwa neno.
Ndio ndio kiingereza chake kinaeleweka mno na yupo makini katika kuwasilisha hoja zake.
Nilipata kumtazama Al Jazeera.

Myahudi huyu anastahili pongezi kwa Uandishi wake.
 
Kaka,
Huyu Noah hararuli yupo vizuri Mno ni Mwandishi mzuri sana anayeelezea mambo yanayo onekena mazito au magumu kwa urahisi Mno.

Siku za nyuma nilipata kumsikiliza akiwa kwa Hard Talks-Al Jazeera anahojiwa nilifurahi.

Homo dues: Pia nimekisoma, kwakweli vitabu vyake ukianza kuvisoma hutotamani uvishushe mkononi.
Wewe unamjua huyu inaonekana,anaelezea vizuri sana.

Kama hujakisoma hiki kipya "21 Lessons for The 21st Century" kitafute usome. Karibu nakimaliza hapa.

Jamaaka cover mambo kibao, kutoka Bhagavad Gita , Talmud, Quantum Physics, mpaka Kinjekitile Ngwale.

Mimi mtu anayesoma vitabu kama hivi, na kuvielewa, hata kama hatukubaliani mambo, nitamuheshimu kwa kujua tu ana exposure ya mambo aliyoyasoma humu kwenye vitabu hivi.

Ahsante kwa kuwa katika kundihili mkuu.Hata kujadiliana na mtu kama wewe napata confidence kwamba nikitaja mambofulani tutaelewana.
 
Ndio ndio kiingereza chake kinaeleweka mno na yupo makini katika kuwasilisha hoja zake.
Nilipata kumtazama Al Jazeera.

Myahudi huyu anastahili pongezi kwa Uandishi wake.
Weka hapa basi mkuu hicho kitabu tufaidike nasi
 
Kaka,
Huyu Noah hararuli yupo vizuri Mno ni Mwandishi mzuri sana anayeelezea mambo yanayo onekena mazito au magumu kwa urahisi Mno.

Siku za nyuma nilipata kumsikiliza akiwa kwa Hard Talks-Al Jazeera anahojiwa nilifurahi.

Homo dues: Pia nimekisoma, kwakweli vitabu vyake ukianza kuvisoma hutotamani uvishushe mkononi.
Noah Harari nimemsoma katika Money na sasa nasoma Homo Deus ni mwanahistoria mzuri sana. Ni kama nabii yaani.
 
Wewe unamjua huyu inaonekana,anaelezea vizuri sana.

Kama hujakisoma hiki kipya "21 Lessons for The 21st Century" kitafute usome. Karibu nakimaliza hapa.

Jamaaka cover mambo kibao, kutoka Bhagavad Gita , Talmud, Quantum Physics, mpaka Kinjekitile Ngwale.

Mimi mtu anayesoma vitabu kama hivi, na kuvielewa, hata kama hatukubaliani mambo, nitamuheshimu kwa kujua tu ana exposure ya mambo aliyoyasoma humu kwenye vitabu hivi.

Ahsante kwa kuwa katika kundihili mkuu.Hata kujadiliana na mtu kama wewe napata confidence kwamba nikitaja mambofulani tutaelewana.
Nakuelewa sana Kaka,huwa najifunza mambo mengi kupitia michango yako hapa Jamvini,Heshima kwako.

Homo Deus hiki nadhani open minded person atikufurahia sana.

Mfano freewill alivyopata kuielezea kwa kutumia Robo-rat Laboratory.Panya anadai anafreewill wakati maisha yake yanaendeshwa kwa remote.


Wacha nikitafute hicho kipya lakini kama una pdf nitashukuru sana ukikiweka hapa,Japo vitabu vyake ngumu sana kuvipata kwa Pdf.


Shukran!!
 
Nakuelewa sana Kaka,huwa najifunza mambo mengi kupitia michango yako hapa Jamvini,Heshima kwako.

Homo Deus hiki nadhani open minded person atikufurahia sana.

Mfano freewill alivyopata kuielezea kwa kutumia Robo-rat Laboratory.Panya anadai anafreewill wakati maisha yake yanaendeshwa kwa remote.


Wacha nikitafute hicho kipya lakini kama una pdf nitashukuru sana ukikiweka hapa,Japo vitabu vyake ngumu sana kuvipata kwa Pdf.


Shukran!!
Nitakutafutia, hivyo viwili vya kwanza ninavyo PDF home, hicho kipya nitakitafuta.

Huyu jamaa watu wanamfuatilia sana, akitoa kitabu tu kinakuwa maarufu, kwa hivyo vitakuwepo tu mitandaoni.
 
Noah Harari nimemsoma katika Money na sasa nasoma Homo Deus ni mwanahisroria mzuri sana. Ni kama nabii yaani.
Kabisa Mkuu,

Kuna siku Mkurugenzi wa Tbc Dr. Ayoub Rioba alikuwa kwa Tv,akiomba watu wapate kuvisoma vitabu vya Noah harari Homo Sapiens & Deus Yeye alikuwa na "Hard copy" kabisa kavishika...Nilifurahi kuona kwamba anavifahamu vitabu hivi.

Kusoma vitabu kwa Watanzania Wengi ni Shughuli Pevu(Visingizio lukuki vya kuhararisha Uzembe)...Labda mpaka watu wasukumwe kwa bakora.


"Kama Elimu ni Gharama fikiri kuhusu Ujinga"
 
Kabisa Mkuu,

Kuna siku Mkurugenzi wa Tbc Dr. Ayoub Rioba alikuwa kwa Tv,akiomba watu wapate kuvisoma vitabu vya Noah harari Homo Sapiens & Deus Yeye alikuwa na "Hard copy" kabisa kavishika...Nilifurahi kuona kwamba anavifahamu vitabu hivi.

Kusoma vitabu kwa Watanzania Wengi ni Shughuli Pevu(Visingizio lukuki vya kuhararisha Uzembe)...Labda mpaka watu wasukumwe kwa bakora.


"Kama Elimu ni Gharama fikiri kuhusu Ujinga"
Mtanzania kusoma hata umshikie bunduki..

Mimi mwenyewe nilikuwa mvivu ila nimeanza kusoma hivi vitabu taratibu taratibu na sasa umekuwa ni utaratibu wangu..
 
navipata wapi mkuu
RICH DAD POOR DAD BY ROBERT KIYOSAKI kimenisaidia kuelewa kuhusu ASSET na LIABILITY
pamoja na kanuni za kukuza personal finance kwa ujumla.

I WILL MARY WHEN I WANT by NGUGI WA THIONG'O kimenisaidia kuelewa tabaka la kibepari linavyonyanyasa wanyonge katika nchi za ulimwengu watatu, kwa ujumla kimebadili fikra zangu kwa kuitambua vizuri jamii yangu.

THE ART OF THE DEAL BY DONALD TRUMP kimenisaidia kuelewa mbinu za negotiations katika jambo lolote hasa biashara. bado ninakisoma hiki kitabu ila kinanishangaza maana kinanifumbua macho sana kuhusu kutengeneza madili.
 
Back
Top Bottom