mwalukuni mchanyato
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 401
- 220
Ndugu,Naomba kutambulisha kitabu change tarajiwa chenye title " DUNIA IMEINAMA".
Atakuwa ameandika huu uzi akiwa ameinama mkuu!Kwa uandishi huu we ni mtunzi wa vitabu kweli. Ukiwa mtunzi cha kwanza unatakiwa uwe mshawishi wa mtu kutamani kukisoma
Dunia haiwezi kuinama binadamu ndiyo walio inama
Mbona unamkatisha tamaa mwenzako mkuu?Ukiandika hicho kitabu ulkuwa binuliwa umeframa au umeinama, idea yako hapo juu ni zero hauwezi hata kukipromote hicho kitabu. Ngoja nikupe hint, hicho kitabu kinaelezea nini kina nini kizuri msomaji au mlengwa atakipenda kina husiana na nini mapenzi vita maisha siasa uchumi dini michezo au ni dunia kiujumla.
Wewe sio author unaingilia fani za watu, achaaa!! Kabisa kama sio kipaji chako usiwa kama mzee flani..