doriani
Member
- Nov 24, 2019
- 42
- 38
Hiki ni kitabu kikongwe katika vitabu vingi hapa Ulimwenguni hata kuzidi kitabu cha Waislamu, na tuangalie kwa pamoja habari hii ya biashara ya watumwa.
Utumwa katika dunia. Tukianzia katika miaka ya kiza mwenye nguvu ndie atawale. Vita vinapotokea baina ya nchi na nchi au kabila hii na kabila ile, wale watakao shindwa vitani hao huchukuliwa mateka.
Hivyo walishinda vita hiyo ni hiari yao kuwauwa hao mateka au kuwatumia kwa shughuli zao kama Wataona inafaa kufanya hivyo. Ikiwa watawatumikisha basi hapo huitwa watumwa.
Utumwa una historia ndefu sana, kwa mfano, katika kitabu kikongwe cha Wakristo unapokisoma utaona dhahiri kwamba Utumwa uliruhusiwa na Mungu kama nilivyo nukuu sehemu hizi:
Tena katika habari za Watumwa wako na wajakazi wako, utakao kuwa nao mataifa
yaliyo kandokando yenu, katika hao mtanunua watumwa na wajakazi wako, utakao kua nao mataifa yalio kando kando yenu, katika hao mtanunua watumwa na wajakazi. (Walawi 25:44).
(Anaambiwa Nabii Ibrahim na Mungu).
Mtu mwizi anauzwa.(Kutoka 21:32).
Nae akamtendea Abraham mema kwa ajili yake nae alikuwa na Kondoo, na ng'ombe, na punda waume, na Watumwa na wajakazi. (Mw 12:16.)
Usitamani nyumba ya jirani yako, Usitamani mke wa jirani yako, wala mtumwa wake. (Kutoka 20:17.).
Hapa yaonesha biashara ya Utumwa ilikuwa rukhsa kwa mujibu wa kitabu hiki kikongwe cha Biblia.
Ndani ya kitabu cha Christianity in Afrika kiliandika yafwatayo:
"Hata kukamata watumwa na biashara ya watumwa vilifahamika kuwa ni vitendo vya uchamungu vya Kikristo kwa sababu vilionekana hivyo ndio njia iliyokuweko ya kuokowa roho za washenzi."
Na ndani ya kitabu kiitwacho The New Congo kimeandika kuwa:
"kwa miaka mia tatu na khamsini (350) mfunulizo mapadri hao wakaendesha kazi ya kukamata watumwa ili kuokowa roho zao kwani walistahiki ya kwamba si vibaya
Kama mili yao iteseke utumwani endapo roho zao zitaokoka huko mbinguni kwa Bwana Yesu".
Vile vile ndani ya kitabu cha "Labour and Slavery in Christianity" tunasoma kwamba Papa Leo II aliwaandikia barua Maaskofu wa Brazil kuwa Yesu hasemi neno lolote liwalo la kupinga utumwa, na kwamba amekubali utumwa kama vile alivyokubali maneno mengine na ya kwamba watumwa hawamtumainii Yesu msaada wowote.
Na ndani ya" Encyclopaedia of Religion" Jalada la II, UK 602 Inaeleza kwa kusema
"katika mafunzo ya Mungu wetu hakupatikani kuchukia utumwa na hakuna hata dalili moja inayoonesha kuharamisha utumwa".
Baada ya Papa kutowa rukhsa ya kukamata watumwa meli mbili za kubebea watumwa hao zilipelekwa na majina ya meli hizo moja ilipewa jina la Yesu na ya pili ilipewa jina la Maria. Mambo hayo yalitia fora wakati wa utawala wa Wakristo huko Roma.
Halafu kitu cha kushangaza ndani ya Biblia utaona kitabu hiko kinatowa miongozo juu ya watumwa. Mfano:
"Watumwa watiini walio bwana zenu kwa
jinsi ya ya mwili kama kwamba kumtii Kristo, kwa hofu na kutetemeka kwa unyoofu wa moyo."
(Waefeso 6:5)
"Wowote walio chini ya mafunzo hali ya utumwa, wawahesabu bwana zao kuwa wamestahili heshima yote".
(1 Timotheo 6:1)
Na istitoshe ndani ya "Insight on the scripture Vol II UK 977 unaeleza hivi
" For a Slave to have a Christian master was a blessing". Yaani kwa mtumwa kuwa na Bwana wa Kikristo ni baraka kwake.
NI vizuri kwa wale wanao zungumza Uwarabu na Utumwa kwanza wasome darasa hili wa jitahidi kupekuwa na kupembuwa kisha walete hoja na ushahidi wa dini ya Kiislamu juu ya habari za utumwa. Uislamu na Uwarabu ni vitu viwili tofauti. (Soma ujuwe).
Utumwa katika dunia. Tukianzia katika miaka ya kiza mwenye nguvu ndie atawale. Vita vinapotokea baina ya nchi na nchi au kabila hii na kabila ile, wale watakao shindwa vitani hao huchukuliwa mateka.
Hivyo walishinda vita hiyo ni hiari yao kuwauwa hao mateka au kuwatumia kwa shughuli zao kama Wataona inafaa kufanya hivyo. Ikiwa watawatumikisha basi hapo huitwa watumwa.
Utumwa una historia ndefu sana, kwa mfano, katika kitabu kikongwe cha Wakristo unapokisoma utaona dhahiri kwamba Utumwa uliruhusiwa na Mungu kama nilivyo nukuu sehemu hizi:
Tena katika habari za Watumwa wako na wajakazi wako, utakao kuwa nao mataifa
yaliyo kandokando yenu, katika hao mtanunua watumwa na wajakazi wako, utakao kua nao mataifa yalio kando kando yenu, katika hao mtanunua watumwa na wajakazi. (Walawi 25:44).
(Anaambiwa Nabii Ibrahim na Mungu).
Mtu mwizi anauzwa.(Kutoka 21:32).
Nae akamtendea Abraham mema kwa ajili yake nae alikuwa na Kondoo, na ng'ombe, na punda waume, na Watumwa na wajakazi. (Mw 12:16.)
Usitamani nyumba ya jirani yako, Usitamani mke wa jirani yako, wala mtumwa wake. (Kutoka 20:17.).
Hapa yaonesha biashara ya Utumwa ilikuwa rukhsa kwa mujibu wa kitabu hiki kikongwe cha Biblia.
Ndani ya kitabu cha Christianity in Afrika kiliandika yafwatayo:
"Hata kukamata watumwa na biashara ya watumwa vilifahamika kuwa ni vitendo vya uchamungu vya Kikristo kwa sababu vilionekana hivyo ndio njia iliyokuweko ya kuokowa roho za washenzi."
Na ndani ya kitabu kiitwacho The New Congo kimeandika kuwa:
"kwa miaka mia tatu na khamsini (350) mfunulizo mapadri hao wakaendesha kazi ya kukamata watumwa ili kuokowa roho zao kwani walistahiki ya kwamba si vibaya
Kama mili yao iteseke utumwani endapo roho zao zitaokoka huko mbinguni kwa Bwana Yesu".
Vile vile ndani ya kitabu cha "Labour and Slavery in Christianity" tunasoma kwamba Papa Leo II aliwaandikia barua Maaskofu wa Brazil kuwa Yesu hasemi neno lolote liwalo la kupinga utumwa, na kwamba amekubali utumwa kama vile alivyokubali maneno mengine na ya kwamba watumwa hawamtumainii Yesu msaada wowote.
Na ndani ya" Encyclopaedia of Religion" Jalada la II, UK 602 Inaeleza kwa kusema
"katika mafunzo ya Mungu wetu hakupatikani kuchukia utumwa na hakuna hata dalili moja inayoonesha kuharamisha utumwa".
Baada ya Papa kutowa rukhsa ya kukamata watumwa meli mbili za kubebea watumwa hao zilipelekwa na majina ya meli hizo moja ilipewa jina la Yesu na ya pili ilipewa jina la Maria. Mambo hayo yalitia fora wakati wa utawala wa Wakristo huko Roma.
Halafu kitu cha kushangaza ndani ya Biblia utaona kitabu hiko kinatowa miongozo juu ya watumwa. Mfano:
"Watumwa watiini walio bwana zenu kwa
jinsi ya ya mwili kama kwamba kumtii Kristo, kwa hofu na kutetemeka kwa unyoofu wa moyo."
(Waefeso 6:5)
"Wowote walio chini ya mafunzo hali ya utumwa, wawahesabu bwana zao kuwa wamestahili heshima yote".
(1 Timotheo 6:1)
Na istitoshe ndani ya "Insight on the scripture Vol II UK 977 unaeleza hivi
" For a Slave to have a Christian master was a blessing". Yaani kwa mtumwa kuwa na Bwana wa Kikristo ni baraka kwake.
NI vizuri kwa wale wanao zungumza Uwarabu na Utumwa kwanza wasome darasa hili wa jitahidi kupekuwa na kupembuwa kisha walete hoja na ushahidi wa dini ya Kiislamu juu ya habari za utumwa. Uislamu na Uwarabu ni vitu viwili tofauti. (Soma ujuwe).