Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,191
- 3,711
Heshima zenu wadau wa Jf, niseme ukweli mm ni mmoja wa watu ambao tulikuwa tunabeza sana kitabu cha My American Experience kilichoandaliwa na kuandikwa na William Malecela.
Nilipata uthubutu wa kukinunua na kusoma yaliyomo ndani ili niweze kujifunza na pengine kuniongezea maarifa ya kukabiliana na maisha ya kila siku.
Niwe tu muwazi, Kitabu kimeandikwa kwa ustadi na ufundi mkubwa sana huku stori ikiwa imepangiliwa kwelikweli. Na nimejifunza mengi sana mazuri, hakika Lemutuz ni mpiganaji haswa.
Kwa mwaka huu 2018 nimenunua vitabu 7 lakini kitabu bora kabisa ni cha My American Experience.
Nisikuchoshe, usinichoshe nenda kanunue na usome mstari kwa mstari
Nilipata uthubutu wa kukinunua na kusoma yaliyomo ndani ili niweze kujifunza na pengine kuniongezea maarifa ya kukabiliana na maisha ya kila siku.
Niwe tu muwazi, Kitabu kimeandikwa kwa ustadi na ufundi mkubwa sana huku stori ikiwa imepangiliwa kwelikweli. Na nimejifunza mengi sana mazuri, hakika Lemutuz ni mpiganaji haswa.
Kwa mwaka huu 2018 nimenunua vitabu 7 lakini kitabu bora kabisa ni cha My American Experience.
Nisikuchoshe, usinichoshe nenda kanunue na usome mstari kwa mstari