Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,787
- 8,623
Mwanzo 11 mstari wa 4
Usitake kuniambieni wajenzi wa Babel tower ni wajinga kiasi icho kwamba tujenge mnara ufike mbinguni ambapo ni juu sasa kama dunia ni duara sasa juu wapi 'lakin ukiniambia walitaka waifikie ile dome (filament) wavunje waingine mbinguni kitu kina tiki na kina sound sana.
Turudi kwenye uduara project zinazoendelea duniani na nchi ni tofauti kuhusu mambo ya space. Ukisema wote ni wapotoshaji iyo ni ngumu kumeza.
KATIKA vitabu ambavyo vinasifika kuwa na content ya maaana ni kitabu cha Mwanzo.
Study questions
Je, tuseme hatujui kutafsiri maandiko?
Je, tuseme andiko hilo haliko sahii bali wanaspace ndio wako sahihi
Je, wajenzi wa babel walikuwa ni wajinga ivo? Au kuna kitu' au walikuwa wana mambo yao ambayo ni tofauti na andiko? Kumbuka Mungu ndiye alie stopisha ile activity
Nakaribisha mchango wenu wana bodi.
Usitake kuniambieni wajenzi wa Babel tower ni wajinga kiasi icho kwamba tujenge mnara ufike mbinguni ambapo ni juu sasa kama dunia ni duara sasa juu wapi 'lakin ukiniambia walitaka waifikie ile dome (filament) wavunje waingine mbinguni kitu kina tiki na kina sound sana.
Turudi kwenye uduara project zinazoendelea duniani na nchi ni tofauti kuhusu mambo ya space. Ukisema wote ni wapotoshaji iyo ni ngumu kumeza.
KATIKA vitabu ambavyo vinasifika kuwa na content ya maaana ni kitabu cha Mwanzo.
Study questions
Je, tuseme hatujui kutafsiri maandiko?
Je, tuseme andiko hilo haliko sahii bali wanaspace ndio wako sahihi
Je, wajenzi wa babel walikuwa ni wajinga ivo? Au kuna kitu' au walikuwa wana mambo yao ambayo ni tofauti na andiko? Kumbuka Mungu ndiye alie stopisha ile activity
Nakaribisha mchango wenu wana bodi.