Kitabu cha Mwanzo katika Bible ndio msingi wa mambo matatu duniani! Intelijensia, Sayansi na Uchawi

GENESIS, hiki kitabu kina mambo makubwa, watu wengi duniani wamejitahidi kukielezea/kutafsiri, lakini naona bado sana, kimevuka uwezo wa kufikiri wa binadamu wa kawaida.
Mi nahisi hakijakamilisha taarifa zote ndio maana baadhi ya Taarifa hazijulikani..
 
GENESIS, hiki kitabu kina mambo makubwa, watu wengi duniani wamejitahidi kukielezea/kutafsiri, lakini naona bado sana, kimevuka uwezo wa kufikiri wa binadamu wa kawaida.
Ukisoma book of jasher utagundua genesis ni summary tu..... Mfano genesis haielezi mwisho wa Cain wala Nimrod wala maisha ya Enoko inagusia tu as summary pia haielezi maisha ya musa huko Median ama vita kati ya Esau na Yakobo n.k kitafute mkuu utagundua kuna mengi zaidi tumefichwa.
 
Ukisoma book of jasher utagundua genesis ni summary tu..... Mfano genesis haielezi mwisho wa Cain wala Nimrod wala maisha ya Enoko inagusia tu as summary pia haielezi maisha ya musa huko Median ama vita kati ya Esau na Yakobo n.k kitafute mkuu utagundua kuna mengi zaidi tumefichwa.
Nitakipataje hiki?
 
Ukisoma book of jasher utagundua genesis ni summary tu..... Mfano genesis haielezi mwisho wa Cain wala Nimrod wala maisha ya Enoko inagusia tu as summary pia haielezi maisha ya musa huko Median ama vita kati ya Esau na Yakobo n.k kitafute mkuu utagundua kuna mengi zaidi tumefichwa.
Kitabu cha yashari kimeandikwa wakati wa daudi kinapata wapi in detail maisha ya musa,,au habari za cain kwa undani.Kama kuna kitabu kimelishwa maneno ni hicho
Yashari.Kitabu cha Yashari ni wishful thinking ila kitabu cha mwanzo ni spiritual matter.
 
Kitabu cha yashari kimeandikwa wakati wa daudi kinapata wapi in detail maisha ya musa,,au habari za cain kwa undani.Kama kuna kitabu kimelishwa maneno ni hicho
Yashari.Kitabu cha Yashari ni wishful thinking ila kitabu cha mwanzo ni spiritual matter.
Acha utani mkuu mbona kimeandikwa kwenye kitabu cha Yoshua hata kabla hawajaingia canaan ama Yoshua aliishi wakati wa daudi??

Alafu kituko ni kushangaa Yashari alipataje details za Cain ila hushangai Yuda aliwezaje pata habari za Henoko aliyeishi almost miaka 5000 kabla yake.... hadi akaandika kuhusu nabii zake na chronology yake ya uzazi!!!

Double standards tuache
 
Authenticity ya hiki kitabu ndio tatizo la msingi ni kitabu kilichoandikwa na waandishi mahiri wasio katika chronology ya wale walioandika vitabu vingine vya biblia.Hao waliokiandika ni kama vishoka.
Acha utani mkuu mbona kimeandikwa kwenye kitabu cha Yoshua hata kabla hawajaingia canaan ama Yoshua aliishi wakati wa daudi??

Alafu kituko ni kushangaa Yashari alipataje details za Cain ila hushangai Yuda aliwezaje pata habari za Henoko aliyeishi almost miaka 5000 kabla yake.... hadi akaandika kuhusu nabii zake na chronology yake ya uzazi!!!

Double standards tuache
 
Authenticity ya hiki kitabu ndio tatizo la msingi ni kitabu kilichoandikwa na waandishi mahiri wasio katika chronology ya wale walioandika vitabu vingine vya biblia.Hao waliokiandika ni kama vishoka.
Kama ni hivyo kwanini Joshua,Nabii Samuel na Timotheo wamenukuu hicho kitabu na maneno yake kuwekwa kwenye Biblia??

Na pia unazungumzia authenticity!! Ila nashangaa hujauliza kwanini kitabu cha waebrania ambacho mpaka leo mwandishi wake hajulikani ila bado kimewekwa kwa Bible??

Je kina ''authenticity'' pia??
 
A bible is too wide,uelewa wako pia umefikia japo kuielewa,akili ya mungu si kama ya mwanadamu.
Ifike mahali tuache mahaba yasio na maana.... Sasa unaposema taarifa zote zimekamilika unaweza tusaidia Biblia imeandika wapi kifo cha Cain?? Pia nchi ya Nod ambapo Cain alioa walitokea wapi while Biblia inaeleza seth kazaliwa baadae kabisa baada ya kifo cha Abel??

Wanefili tunaambiwa walikufa kwenye gharika ila tunaona wanarudi baada ya gharika?? Walirudije?? Biblia imeandika??

Nuhu alilala uchi akaonwa na HAM ila laana akapewa Canaan unaweza tusaidia wapi Biblia imeandika chanzo cha Canaan kulaaniwa na sio Ham??

Issue ya mnara wa babeli pia bado ni fumbo kuwa walitaka kujenga mnara kufika mbinguni je unafahamu mnara ule ulienda wapi baada ya lugha kuvurugwa?? Mbona hadi leo hta msingi wake hauonekani?? Hapo utasema imekamilika taarifa zote??

Tuanzie hapo kwanza
 
Ifike mahali tuache mahaba yasio na maana.... Sasa unaposema taarifa zote zimekamilika unaweza tusaidia Biblia imeandika wapi kifo cha Cain?? Pia nchi ya Nod ambapo Cain alioa walitokea wapi while Biblia inaeleza seth kazaliwa baadae kabisa baada ya kifo cha Abel??

Wanefili tunaambiwa walikufa kwenye gharika ila tunaona wanarudi baada ya gharika?? Walirudije?? Biblia imeandika??

Nuhu alilala uchi akaonwa na HAM ila laana akapewa Canaan unaweza tusaidia wapi Biblia imeandika chanzo cha Canaan kulaaniwa na sio Ham??

Issue ya mnara wa babeli pia bado ni fumbo kuwa walitaka kujenga mnara kufika mbinguni je unafahamu mnara ule ulienda wapi baada ya lugha kuvurugwa?? Mbona hadi leo hta msingi wake hauonekani?? Hapo utasema imekamilika taarifa zote??

Tuanzie hapo kwanza
@zitto junior big up sana... Uko deep kwenye maandiko pamoja na historia yake.... Natamani siku moja tuonane ana kwa ana.... Nataka niachane kabisa na ulozi nikipata mtu wa kumkabidhi mfuko
 
@zitto junior big up sana... Uko deep kwenye maandiko pamoja na historia yake.... Natamani siku moja tuonane ana kwa ana.... Nataka niachane kabisa na ulozi nikipata mtu wa kumkabidhi mfuko
Ha...ha...ha, Mzee, Mshana Jr. Hapo umeua.
Zitto junior ni Great Thinker, au wanaita Think Tank.
Ni kama wewe kwenye Fani ya Urozi, ha...ha...ha...
Ashakum
 
Ha...ha...ha, Mzee, Mshana Jr. Hapo umeua.
Zitto junior ni Great Thinker, au wanaita Think Tank.
Ni kama wewe kwenye Fani ya Urozi, ha...ha...ha...
Ashakum
Hata wewe mzee nimechota maarifa mengi sana kwako, hebu tufanye tukutane... Tunaweza kufanya compilation moja matata sana
 
66 Reactions
Reply
Back
Top Bottom