Kitabu cha Mwanzo katika Bible ndio msingi wa mambo matatu duniani! Intelijensia, Sayansi na Uchawi

Kisilamu silamu umepatia sababu hamumjui Mungu wala Uwezo, Ukuu, na MIUJIZA yake! Unamlinganisha na akili za mama yako
Ahahahahaahhahahahha haya soma andiko kama unajua kusoma
MWANZO 3:8-9
;"kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, akitembea bustanini wakati wa JUA KUPUNGA; adamu na mkewe wakajificha kati ya mti ya bustani , Bwana Mungu ASIWAONE
9;" Bwana Mungu akamwita adamu akamwambia ,UKO WAP?

Unatoka povu bureee hili swali la UKO WAP ? maana yake ajui walipo sasa unakuja unalilia nini futa ilo andiko mdogo wangu
 
Ahahahahaahhahahahha haya soma andiko kama unajua kusoma
MWANZO 3:8-9
;"kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, akitembea bustanini wakati wa JUA KUPUNGA; adamu na mkewe wakajificha kati ya mti ya bustani , Bwana Mungu ASIWAONE
9;" Bwana Mungu akamwita adamu akamwambia ,UKO WAP?

Unatoka povu bureee hili swali la UKO WAP ? maana yake ajui walipo sasa unakuja unalilia nini futa ilo andiko mdogo wangu
Mungu ana Macho
 
Lete hilo andiko mkuu

Sawa.

Ili kuelewa vizuri nukuu iliyoko katika Mwanzo 40:15 kufahamu kama ni kweli Yusufu alitoka katika nchi ya Waebrania, unapaswa kuanzia Mwanzo 12: 1-3 kama ifuatavyo;

Mwanzo 12:1-7
1Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; 2 nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
4 Basi Abramu akaenda, kama Bwana alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani.5 Abramu akamchukua Sarai mkewe, na Lutu mwana wa nduguye, na vitu vyao vyote walivyokuwa wamejipatia na hao watu waliowapata huko Harani, wakatoka ili kwenda nchi ya Kanaani; nao wakaingia katika nchi ya Kanaani.6 Abramu akapita katikati ya nchi mpaka mahali patakatifu pa Shekemu; mpaka mwaloni wa More. Na Wakanaani siku zile walikaa katika nchi hiyo. 7 Bwana akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye huko akamjengea madhabahu Bwana aliyemtokea.


Ruka sasa usome Mwanzo 13:12 "Abramu akakaa katika nchi ya Kanaani, na Lutu akakaa katika miji ya lile Bonde; akajongeza hema yake mpaka Sodoma".

Malizia na Mwanzo 14:13 "Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania; naye amekaa panapo mialoni ya Mamre, yule Mwamori, ndugu ya Eshkoli, na ndugu ya Aneri, na hao walikuwa wamepatana na Abramu".

Kwa hiyo, kabla ya kujulikana kama nchi ya Waebrania, nchi hiyo ilijulikana kabla nchi ya Kanaani. Na ijulikane kuwa Abramu, baadae Ibrahimu alikaa ktk nchi, akanunua kabisa eneo liwe lake na vizazi vyake, kwa hiyo ilikuwa inajulikana tayari na kitukuu chake Yusufu miaka karibu 200 baadae kuwa alitokea nchi ya Waebrania maana Abrahamu alijulikana na wenyeji wake kama Mwebrania (Mwanzo 14:13).

Zingatia neno nchi ktk Biblia lingeweza kumaanisha kanda au eneo fulani dogo kijiografia ambalo watu wa jamii fulani wanaishi na hadi taifa kabisa, n.k kama zilivyo nchi za leo hii
 
Sawa.

Ili kuelewa vizuri nukuu iliyoko katika Mwanzo 40:15 kufahamu kama ni kweli Yusufu alitoka katika nchi ya Waebrania, unapaswa kuanzia Mwanzo 12: 1-3 kama ifuatavyo;

Mwanzo 12:1-7
1Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; 2 nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
4 Basi Abramu akaenda, kama Bwana alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani.5 Abramu akamchukua Sarai mkewe, na Lutu mwana wa nduguye, na vitu vyao vyote walivyokuwa wamejipatia na hao watu waliowapata huko Harani, wakatoka ili kwenda nchi ya Kanaani; nao wakaingia katika nchi ya Kanaani.6 Abramu akapita katikati ya nchi mpaka mahali patakatifu pa Shekemu; mpaka mwaloni wa More. Na Wakanaani siku zile walikaa katika nchi hiyo. 7 Bwana akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye huko akamjengea madhabahu Bwana aliyemtokea.


Ruka sasa usome Mwanzo 13:12 "Abramu akakaa katika nchi ya Kanaani, na Lutu akakaa katika miji ya lile Bonde; akajongeza hema yake mpaka Sodoma".

Malizia na Mwanzo 14:13 "Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania; naye amekaa panapo mialoni ya Mamre, yule Mwamori, ndugu ya Eshkoli, na ndugu ya Aneri, na hao walikuwa wamepatana na Abramu".

Kwa hiyo, kabla ya kujulikana kama nchi ya Waebrania, nchi hiyo ilijulikana kabla nchi ya Kanaani. Na ijulikane kuwa Abramu, baadae Ibrahimu alikaa ktk nchi, akanunua kabisa eneo liwe lake na vizazi vyake, kwa hiyo ilikuwa inajulikana tayari na kitukuu chake Yusufu miaka karibu 200 baadae kuwa alitokea nchi ya Waebrania maana Abrahamu alijulikana na wenyeji wake kama Mwebrania (Mwanzo 14:13).

Zingatia neno nchi ktk Biblia lingeweza kumaanisha kanda au eneo fulani dogo kijiografia ambalo watu wa jamii fulani wanaishi na hadi taifa kabisa, n.k kama zilivyo nchi za leo hii
Hakuna anaekataa kuwa Ibrahim alikuwa mwebrania andiko linasema.alikaa.nchi ya Kaanan na ilikuwa inatambulika hivyo hakuna aliekuwa anatambui nchi ya waebrania
 
Shikamoo Kaka Mshana Jr.Bibilia ni kitabu complicated sana!!
Mkuu fahamu kwamba "Biblia" haikuandikwa ili kila mmoja aielewe, hapana, iliandikwa kwa namna ya kuacha maswali mengi sana kwa msomaji ili atumie akili ya ziada, nia ya dhati, na maarifa katika kuitafuta KWELI. Na ndiyo maana wale wachache waliojaliwa kuijua KWELI ya Biblia hawaoni kama ni "complicated" bali wanaifurahia sana maana wanaielewa.

Biblia ni kitabu "complicated sana" kwa watu ambao hawako tayari kuijua KWELI.
 
Mkuu fahamu kwamba "Biblia" haikuandikwa ili kila mmoja aielewe, hapana, iliandikwa kwa namna ya kuacha maswali mengi sana kwa msomaji ili atumie akili ya ziada, nia ya dhati, na maarifa katika kuitafuta KWELI. Na ndiyo maana wale wachache waliojaliwa kuijua KWELI ya Biblia hawaoni kama ni "complicated" bali wanaifurahia sana maana wanaielewa.

Biblia ni kitabu "complicated sana" kwa watu ambao hawako tayari kuijua KWELI.
Mimi ni mmojawapo nisiye na mashaka juu ya hiki kitabu na hata nikikitumia kwenye mijadala nakitumia kwa tafakuri kuu na bila nia ovu ya kukipinga....huu ni ufunuo kwa waamini na waaminio
 
Unajitesa duniani kumbe malipo ni KUIMBA ahahhahahahahaha

Kama ni kungonoka, gongo, ku-update dhakari isisinyae, na maini ya samaki! Nenda uwanja Wa fisi pale manzese utapata na ziada...wamasai wapo pale utapata mdinda dinda, gongo kama kawa, mbuguma hadi wanapinga debe tigo buku jero, Voda Nyongeza...tigo buku jero Voda Nyongeza...maini ya samaki utapata tena sambusa na supu tamu ya mimba za ng'ombe Nyongeza...kuliko kuteseka kugonga kichwa Ardhi, kukamuliwa ngama, adhabu ya kabri ruqaa akutandike nyundo...Yaani huna Raha usiku wala mchana
IMG_20180814_213157_297.jpg
 
Kama ni kungonoka, gongo, ku-update dhakari isisinyae, na maini ya samaki! Nenda uwanja Wa fisi pale manzese utapata na ziada...wamasai wapo pale utapata mdinda dinda, gongo kama kawa, mbuguma hadi wanapinga debe tigo buku jero, Voda Nyongeza...tigo buku jero Voda Nyongeza...maini ya samaki utapata tena sambusa na supu tamu ya mimba za ng'ombe Nyongeza...kuliko kuteseka kugonga kichwa Ardhi, kukamuliwa ngama, adhabu ya kabri ruqaa akutandike nyundo...Yaani huna Raha usiku wala mchana View attachment 836093
Ahahahhaahahahahha Unajitesa we kumbe Mlichoaidiwa ni kupiga magita na wale mapadre duniani ni mabikra na huko mbinguni ni nyimbo tu bora wangeumbwa flat ahahahahahaaah na muende na magita mkafungue bendi
 
Hakuna anaekataa kuwa Ibrahim alikuwa mwebrania andiko linasema.alikaa.nchi ya Kaanan na ilikuwa inatambulika hivyo hakuna aliekuwa anatambui nchi ya waebrania

Swali lako lilikuwa ni kweli yusufu alitoka nchi ya waebrania? Na umejibiwa kuwa ndio na ushahidi umepewa. Hilo jingine la kuwa nchi hiyo haikutambuliwa kwa jina hilo ni mada nyingine kabisa. Muhimu ni kutambua kuwa Yusufu alijitambua kuwa ni Mwebrania kutokea ktk nchi ya Waebrania.

Na labda kukusaidia zaidi neno 'nchi' hapo limesimama badala ya 'land' sio country.
 
Swali lako lilikuwa ni kweli yusufu alitoka nchi ya waebrania? Na umejibiwa kuwa ndio na ushahidi umepewa. Hilo jingine la kuwa nchi hiyo haikutambuliwa kwa jina hilo ni mada nyingine kabisa. Muhimu ni kutambua kuwa Yusufu alijitambua kuwa ni Mwebrania kutokea ktk nchi ya Waebrania.

Na labda kukusaidia zaidi neno 'nchi' hapo limesimama badala ya 'land' sio country.
Sio haikutambuliwa bali haikuwepo kabisaaaa hawa walikuwa ni wageni kwenye nchi ya watu
 
Ahahahhaahahahahha Unajitesa we kumbe Mlichoaidiwa ni kupiga magita na wale mapadre duniani ni mabikra na huko mbinguni ni nyimbo tu bora wangeumbwa flat ahahahahahaaah na muende na magita mkafungue bendi
Umevurugwa kwa ngono hadi kula denda jiwe eti baba kassim anasema allah kamfunulia limefanana na uchi wa bi hajiri
 
IMG_20180816_130618_347.jpg
ngono mpaka ukate mauno jasho ikutoke...ndio uone Raha, huko dhakar haisinyai milele hiyo Raha au karaha! Kwa akili ya kisilamu kungonoka na kunywa gongo ndio Raha kuliko chochote Yesu Anakwambia MTAISHI KAMA MALAIKA Unajua Malaika wanavyoishi??? NITAIMBA KWA FURÀHA IPITAYO RAHA ZOOTE...wakati wewe dhakar haisinyai ukiinama tu
img_9905.jpg
 
66 Reactions
Reply
Back
Top Bottom