Wanajamiiforums,naomba mwenye kitabu cha kanuni za Bunge hatuwekee angalau tuisome humu jamvin..tuone mambo yanaendaje...!
"Vox populi,Vox dei"
hapa ni jamii forum, ambapo watu wana maghorofa kule masaki, oysterbay lakini hapa panawatetemesha haijawahi kutokea, kwani hakuna kinachoshindikana humu. Wakisikia jina jamii forum mioyo inatetemeka.
Mfano ni hili la kanuni za bunge ambazo ninakupa na wewe ugawe kwa wengi.
Fungua attachment niliyoambatanisha.