Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,913
- 30,255
Kulia Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman Yahya, Dr. Ng’wanza Kamata katika mahojiano na Mohamed Said (out of sight) kuhusu Mwalimu Nyerere wakati wa utafiti wa kitabu chake.
Je unaweza kuandika BIOGRAPHY ya mwalimu bila kuzungumzia mchango wa chama cha TANU? Na kama utazungumzia chama cha TANU basi huwezi kumkosa Abdulwahid Sykes!Kwenye hicho kitabu, swahiba yako Abdul Sykes ameandikwa?.....
Mohamed Said anataka Abdul Sykes apewe sifa kubwa kuzidi Nyerere! Wakati hakuwahi kuwa kiongozi wa TANU!Je unaweza kuandika BIOGRAPHY ya mwalimu bila kuzungumzia mchango wa chama cha TANU? Na kama utazungumzia chama cha TANU basi huwezi kumkosa Abdulwahid Sykes!
Mohamed Said anataka Abdul Sykes apewe sifa kubwa kuzidi Nyerere! Wakati hakuwahi kuwa kiongozi wa TANU!Je unaweza kuandika BIOGRAPHY ya mwalimu bila kuzungumzia mchango wa chama cha TANU? Na kama utazungumzia chama cha TANU basi huwezi kumkosa Abdulwahid Sykes!
Bila shaka hakitaandika chochote kuhusu mwalimu kunyang'anya shule za kanisa lake ili na Waislamu wasome, hi story nina hakika haitakua inclusiveKitabu kinasemaje kuhusu Uislamu na Mwalimu Nyerere?
Vito...Kwenye hicho kitabu, swahiba yako Abdul Sykes ameandikwa?.....
Mazindu...Bila shaka hakitaandika chochote kuhusu mwalimu kunyang'anya shule za kanisa lake ili na Waislamu wasome, hi story nina hakika haitakua inclusive
abdul sykes ndio baba wa huyu msanii dully sykes??Vito...
Abdul Sykes si rafiki yangu ni baba yangu.
Rafiki zangu ni wanae.
Abdul Sykes katajwa kijuujuu.
tungewaona wengi vp wakati wao wenyewe walikua bize madrasa na elimu akhera,kwani hao maprofesa waislamu walisoma shule na vyuo ganiMazindu...
Nyerere hakutaifisha shule ili Waislam wasome.
Ingekuwa hivyo Waislam ungewaona wengi kwenye vyuo.
Takwimu zinakataa hili.
Vito...Mohamed Said anataka Abdul Sykes apewe sifa kubwa kuzidi Nyerere! Wakati hakuwahi kuwa kiongozi wa TANU!
Fogo...abdul sykes ndio baba wa huyu msanii dully sykes??
Jiwe...Huyu mzee ndio aliyebaki pekee anayelialia mitandaoni kuhusu hao babu zake wasio enda shule.
Hataki kutambua kuwa kwenye movie kuna main character na minor characters..sasa unapotaka minor characters wapate umuhimu kuliko main character utakua unaharibu movie.
Namshauri akae kutulia alee wajukuu..historia ya nchi hii ilikwisha andikwa hizo story zake feki akaweke kwenye makabati yake watasoma wajukuu zake.
#MaendeleoHayanaChama
Fogo...tungewaona wengi vp wakati wao wenyewe walikua bize madrasa na elimu akhera,kwani hao maprofesa waislamu walisoma shule na vyuo gani
Taja nchi 10 za Kisslamu duniani halafu zinao wasomi wengi. Kwa asili uislamu una aleji na ELIMU, hilo linajulikana, sema kama unataka kubishana tu mzee wangu. Libya ya Gadaff ilifadhili elimu from the scratch to higher level, nambie Walibya wangapi walikua na degree walau moja? Nenda kote Qatar, Saudia kote huko kunako itwa Mataifa tajiri ya Waarabu, angalia think tank wao ni kina nani? Sio Wazawa mzee. Njoo mikoa ya pwani hata sasa hivi, angalia idadi ya watoto wanao maliza form 4 hasa wa kike ni wa ngapi? Na hili nalo Nyerere anahusika kwenye hu ulimwengu wa elimu bure? Kumsingizia mtu ni DHAMBI kubwa, hata kama sio wa dini yako. Mwinyi akiwa rais alizifanya shule karibu zote za Nyerere kua day schools ili watoto wengi wasome, idadi ya waislamu kipindi hicho walikua wangapi? Mlipenda zaidi madrasa na sio elimu dunia, kuweni wakweli mzeeMazindu...
Nyerere hakutaifisha shule ili Waislam wasome.
Ingekuwa hivyo Waislam ungewaona wengi kwenye vyuo.
Takwimu zinakataa hili.
It is team work, without the minor characters you cannot have a complete movie!! It is important to know our true history ili tuweze kutambika vizuri!!!Huyu mzee ndio aliyebaki pekee anayelialia mitandaoni kuhusu hao babu zake wasio enda shule.
Hataki kutambua kuwa kwenye movie kuna main character na minor characters..sasa unapotaka minor characters wapate umuhimu kuliko main character utakua unaharibu movie.
Namshauri akae kutulia alee wajukuu..historia ya nchi hii ilikwisha andikwa hizo story zake feki akaweke kwenye makabati yake watasoma wajukuu zake.
#MaendeleoHayanaChama