Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,387
- 217,470
- Thread starter
- #61
Hatuulizi tu kwa vile tunauliza, This is JFNimekisoma kile kitabu 1967.
I am feeling mock shock nikisikia kuna hakifahamu hiki kitabu cha Norman Vincent Pearle.
Hatuulizi tu kwa vile tunauliza, This is JFNimekisoma kile kitabu 1967.
I am feeling mock shock nikisikia kuna hakifahamu hiki kitabu cha Norman Vincent Pearle.
Huyu jamaa Huwa nasikia wakimwita Lumumba buku 7.......
Ukipewa option ya kuchagua nani aendelee kuishi Kati ya USSR na MAVI....
Automatically unachagua MAVI
Ndugu yangu, mwenzio huwa siamini katika kumhukumu kwa POROJO.Ukweli gani na haki anayoisimamia Mbowe, au unafuata #Hashtag za Mbowe siyo gaidi? Mbowe angekuwa mtu wa haki angeruhusu Chacha Wangwe agombee mwaka 2008/09! Mbowe añgekuwa mtu wa haki asingemfukuza Zitto Kabwe alipotaka kugombea Uenyekiti mwaka 2010.
Mbowe añgekuwa mtu wa haki asingemnyang'anya Dr Slaa haki ya kugombea uRais wa Tanzania mwaka 2015 na kumpa Lowassa baada ya Lowassa kumpa Tsh 10 Billion
Magaidi wenywe wanamshangaa vipi huyu katoka wapi tena haahahaa
Unanichochea nikikalie chini nikisomeKitabu kina madini sana hiki!
Mandela alitetea maslahi ya wananchi wote wa Taifa lakeMbowe ni zaidi ya Mandela
Umewasahau Boko Haram, Abu Sayaf, PKK, Lord Resistance Army, Rwandese Patriotic Front, Wale wa Colombia na wengineo wote... wana ishara ya kubeba hizo mambo ulizochora, labda Chadema nao wataenda kujifunza maana ndivyo wanavyoambiwa wawe... wape jina la ugaidi ili wawe magaidi wa kweli.. ni hilo tu ndio lililobaki...
Shukran mkuuPitia hiyo hapo
Wewe ni mchanga kwenye mambo haya. Unasubiri kusoma Tanzania Daima ndiyo ikujuze.Ndugu yangu, mwenzio huwa siamini katika kumhukumu kwa POROJO.
-Chacha Wangwe alipata ajali ya gari na kupoteza maisha, lakini kama unao ushahidi/vielelezo vinavyoweza kuthibitisha vinginevyo nadhani itakuwa ni busara ukavipeleka kwenye vyombo vy dola. Kama hauna pia utaonyesha hekima kama ukiliacha na kujinyamazia.
-Marehemu mama yake Zitto akiwa mjumbe, Kamati Kuu iliwaona Zito MM1 na wenzie wana makosa ya kula njama za kutaka kuunng'oa uongozi. Kitila Mkumbo MM2 alikiri na Mathias (......) MM3 alikamatwa na ushahidi. Hata hivyo, wote walikwisha mtosa na kurudi kwao CCM.
-Dr Slaa alijua na alishiriki katika hatua na ngazi zote za kumpokea Lowasa akitokea CCM. Lakini alipobadilika alitumia haki yake, akajiuzulu.
-Hilo la tshs 10 billion, HAUJACHELEWA, nalo yafaa ulipeleke TAKUKURU kama ilivyokuwa kwa akina Lijualikali/Ndugai, lakini ukiwa hauna ushahidi/vielelezo NAWE utaishia kuwa kichekesho/kituko vilevile
Ahsante 🤣 🤣 🤣Wewe ni mchanga kwenye mambo haya. Unasubiri kusoma Tanzania Daima ndiyo ikujuze.
Mandela alitetea maslahi ya wananchi wote wa Taifa lake
Mbowe kajipambanua kutetea maslahi ya kabila lake
😂😂😂😂😂Aliyempelekea hicho kitabu Mbowe amefanya jambo la heri. Mbowe ana NEGATIVITY sana na utawala wa Samia. Hivyo basi akimaliza kusoma kitamsaidia kuishi kama raia mwema
Msajili wa vyama vya siasa, policcm wanakisoma pia???Aliyempelekea hicho kitabu Mbowe amefanya jambo la heri. Mbowe ana NEGATIVITY sana na utawala wa Samia. Hivyo basi akimaliza kusoma kitamsaidia kuishi kama raia mwema
Mueleweshe ili na wengine tujue,DUNIANI ni bara ambalo linakaribiana na bara gani,mi mwenyewe umeniacha.Duniani!
Ni kumuacha tu huyo jamaa...ana maisha magumu mnoo now...buku saba haitoki siku hizi...stress kibao anazoHuyu jamaa Huwa nasikia wakimwita Lumumba buku 7.......
Ukipewa option ya kuchagua nani aendelee kuishi Kati ya USSR na MAVI....
Automatically unachagua MAVI
Una ushahid wa haya usemayo?au unaamua tu kusema ili kufurahisha wanaokutuma?Ukweli gani na haki anayoisimamia Mbowe, au unafuata #Hashtag za Mbowe siyo gaidi? Mbowe angekuwa mtu wa haki angeruhusu Chacha Wangwe agombee mwaka 2008/09! Mbowe añgekuwa mtu wa haki asingemfukuza Zitto Kabwe alipotaka kugombea Uenyekiti mwaka 2010.
Mbowe añgekuwa mtu wa haki asingemnyang'anya Dr Slaa haki ya kugombea uRais wa Tanzania mwaka 2015 na kumpa Lowassa baada ya Lowassa kumpa Tsh 10 Billion
Ninaandika ninachofahamu na nilichokiona. Wewe ni mchanga sana kwenye duru za Siasa za upinzani.Una ushahid wa haya usemayo?au unaamua tu kusema ili kufurahisha wanaokutuma?