Kitaalamu Nyongo ya Mamba [crocodile bile] siyo sumu, wachina hutumia kama vumbi la Congo kwenye ngono

Ningeamini endapo ningesikia amesema alichukua sehemu ya nyongo na kuilamba au kuitafuna na aka survive
 
Mkuu, a big credit to you too for sparing your time for us all only to expose the long time hidden truth about Croc bile whether it is poison or not.

My worries started when I experienced the notion that the bile is poisonous is prevalent in Central, Eastern and southern Africa only whereas Crocs are also found in other parts of the world in which you would never hear peoples of those areas claiming crocs bile is poison.

Alligators are crocs found in the US and Canada, Caimans are found in the Amazon, never can you hear such nonsense, fallacy and myth that crocs bile is poison!!, above all there is no single scientific evidence from any recognised institution or any research to prove the bile to be poison only the evidence you have presented have proved the opposite.

Those who ponders deep in matters looking for truth are those who always succeed,-- this is the attribute which white men surpass black men.
Mkuu unaandika kwa hasira kweli utadhani nyongo ya mamba sio SUMU.

Kulingana na maelezo niliyosoma hapo juu kuna process zinazofanywa kabla ya ku consumpt hiyo nyongo.

Kuna vitu vingi tu ambavyo vina sumu tena kali ila tunakula baada kuviandaa kwa utaratibu tuliyofundishwa.

Mfano kanda ya ziwa tunakula sana ugali wa mhogo, tukiwa wadogo na mpaka leo kuna mihogo huwa ina sumu tena kali sana. Ukila huo mhogo ukausindikiza na maji unafariki ndani ya muda mfupi.
Lakini kuna jinsi tunavyoindaa na inakuwa salama kwa kuliwa.

Kwa hiyo kuna hata wanyama wengi ambao wana sumu, Lkn wanaweza kuliwa baada ya kuwandaa.

Kwa hiyo mkuu Mokaze usipingane na watu wanaosema nyongo ya mamba ni sumu.

Na mimi nakwambia nyongo ya mamba ni sumu hatari sana. Kuna kabila X mkoa X miaka ya nyuma wameitumia sana nyongo hii kuua watu. Tena wametumia kwa umahiri mkubwa sana.

Kwa mfano mtu anaweza akukuwekea kwenye chakula na akajua kwa kipimo alichowekea kitakuua baada ya muda gani ili kupoteza ushahidi.

WANAOSEMA NYONGO HIYO NI SUMU SIO WAJINGA. Wana mifano mingi ya kimaeneo. Kuna watu walimuua mamba kwa kutokujua kwao waligawana nyama na kwenda kula. Kilichotokea ni historia kijijini.
 
Mkuu unaandika kwa hasira kweli utadhani nyongo ya mamba sio SUMU.

Kulingana na maelezo niliyosoma hapo juu kuna process zinazofanywa kabla ya ku consumpt hiyo nyongo.

Kuna vitu vingi tu ambavyo vina sumu tena kali ila tunakula baada kuviandaa kwa utaratibu tuliyofundishwa.

Mfano kanda ya ziwa tunakula sana ugali wa mhogo, tukiwa wadogo na mpaka leo kuna mihogo huwa ina sumu tena kali sana. Ukila huo mhogo ukausindikiza na maji unafariki ndani ya muda mfupi.
Lakini kuna jinsi tunavyoindaa na inakuwa salama kwa kuliwa.

Kwa hiyo kuna hata wanyama wengi ambao wana sumu, Lkn wanaweza kuliwa baada ya kuwandaa.

Kwa hiyo mkuu Mokaze usipingane na watu wanaosema nyongo ya mamba ni sumu.

Na mimi nakwambia nyongo ya mamba ni sumu hatari sana. Kuna kabila X mkoa X miaka ya nyuma wameitumia sana nyongo hii kuua watu. Tena wametumia kwa umahiri mkubwa sana.

Kwa mfano mtu anaweza akukuwekea kwenye chakula na akajua kwa kipimo alichowekea kitakuua baada ya muda gani ili kupoteza ushahidi.

WANAOSEMA NYONGO HIYO NI SUMU SIO WAJINGA. Wana mifano mingi ya kimaeneo. Kuna watu walimuua mamba kwa kutokujua kwao waligawana nyama na kwenda kula. Kilichotokea ni historia kijijini.
Bonge La Pointi hivi Watu wanapenda kusema tu ni sumu ili wapate sifa gani. Kama siyo Sumu wajaribu waone.
 
Tufanye tu real practical kwa kumnywesha panya hiyo nyongo tuone nini kinatokea hizo tafiti tuachane nazo kwanza.
Panya anaweza asilete matokeo chanya, sababu panya ukimnywesha 'indocid' kwake ni sumu inamuua, lakini kwa binadamu ni dawa.
 
Ningeamini endapo ningesikia amesema alichukua sehemu ya nyongo na kuilamba au kuitafuna na aka survive
Umesoma paper yake ya utafiti ujiridhishe alifanya nini kujua siyo sumu?
Kama kuna binadamu au mnyama alipewa ale unajuaje?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom