Papaa Azonto
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 319
- 276
Wanajamvi.
Leo katika kupita zangu page ya Simu.TV ya youtube nimekutana na hii mada ya Kiswahili na uvuvi wa kufikiri na kutenda. Mtafiti huyu amesema amefanya utafiti ndani na nje ya nchi kuhusu hili na alichogundua kuwa watumiaji wa kiswahili ni wavivu wa kufikiri na kutenda.
Case study zake ni Tanzania , Kenya ...Burundi ...Uganda .NK
Je, ni kweli watumaji wa Kiswahili ni wavivu wa kufikri na kutenda?
Karibuni.
Nimeambatisha Hii link ya You Tube hapa chini. muitazame muone huyu mtafiti alivyofanya utafiti wake wa kwanini maeneo mengi kiswahili kinakozungumzwa sana watuw wake ni wavivu wa kifikiria. baadhi ya maeneo ni kama kanda ya kusini huko Mtwara,Mombasa, Pwani....NK
Source Simu.Tv na CH 10.
Leo katika kupita zangu page ya Simu.TV ya youtube nimekutana na hii mada ya Kiswahili na uvuvi wa kufikiri na kutenda. Mtafiti huyu amesema amefanya utafiti ndani na nje ya nchi kuhusu hili na alichogundua kuwa watumiaji wa kiswahili ni wavivu wa kufikiri na kutenda.
Case study zake ni Tanzania , Kenya ...Burundi ...Uganda .NK
Je, ni kweli watumaji wa Kiswahili ni wavivu wa kufikri na kutenda?
Karibuni.
Nimeambatisha Hii link ya You Tube hapa chini. muitazame muone huyu mtafiti alivyofanya utafiti wake wa kwanini maeneo mengi kiswahili kinakozungumzwa sana watuw wake ni wavivu wa kifikiria. baadhi ya maeneo ni kama kanda ya kusini huko Mtwara,Mombasa, Pwani....NK
Source Simu.Tv na CH 10.